Nimeamua niachane na mke wangu sababu muonekano wake haunivutii

Yaani mke wake ni tipwatipwa A.K.A kibonge nyanya sasa shida inaanzia hapo, huyo mwanamke atalia sana kuambiwa kiuno na mgongo vimeungana na shingo na mabega vimeungana atalia sana inabidi aanze gym mara moja na apunguze kula kula hovyo.
We unamjua? mwenyewe kasema hivi kwani?
 
Umemuona mke wake before and after,?? Au unatukana tu bila sababu za msingi
 
Mimi nilizani kanenepeana kumbe English figure? !

Hiyo ni rahisi sana kumfanya kunawiri.

Inavyoonekana hampendi tu .

Sasa umeamua kumtia ila.

Basi muache kwa Kheri na amani.
 
Mkuu rikiboy umesema vyema
 
Kiasili mwanaume hua anakua na hisia na mwanamke siku 90 za mwanzo kwenye mahusiano hapo ndio mkiwa kitandani hata kuandaana kunakuepo, baada ya siku 90 kitandani lolote ni sawa tu hapo ndio mwanaume huanza kumtoa kasoro mwanamke na kuanza kutafuta mbadala kwa siri kubwa, sasa hapo ndio kinaingia kipengele cha tabia ndio itambeba mwanamke na hekma na busara za mwanaume ndio zitaongoza mahusiano maana wakati huo ile hamu na tamaa ishakwisha kabisa kwani unamjua mwanamke kila kona na yeye ashaanza kukuzoea na hadi kujamba anajamba mbele yako, sasa utaacha wangapi? Wewe tafuta mchepuko huku ukivumilia mwenzako maisha yaendelee
 
Ana 27 wewe una ngapi Mzee utateseka Sana maisha ya ndoa, ikiwa una zaid ya 30 huelewi unachoongea.

Nina 21 kwenye ndoa naelewa mambo kibao.


Niliingia kwenye ndoa na 26 na Sasa Nina 52 years.

Mbususu zote ni nyama. Utakuja ihitaji kw ajili ya kuvhomeka tu Mzee. Sura hutakuja kuhitaji machoni mwako.

Kikubwa Angalia unataka nini black or white, chocolate or brown product.

Sasa Mzee ukijichanganya utaumia
 
Mleta mada amekuwa mkweli na muwazi. Wadau mnapaswa kuja na ushauri bora wa mawazo kuliko kumlaumu, kumkejeli au kumuhukumu. Jambo kama hilo limewapata wanaume wengi, lakini wengi wamekaa kimya au kufanya maamuzi mabovu.

Ni kweli jamaa havutiwi tena na mkewe, sasa afanye nini?
 

Mke wa Ndoa au ilikuwa Kampani tu ?
 
Weww umeongeaa mkweli mtupu
 
Hyo hali huwatokea wengi ni kumuomb mungu tu huwa namtafuta mwanmke kweli nampata siku hyo hyo naona kasoro zake ambazo ni kero kwangu

Unamkuta mwingine ni mfupi sana ,anaongeaa sana,hana exposure ,miguu imepinda ,au mdomo umekah kam ya mwanaume bas nawaacha tu alfu nakutana na wabovu zaid

Namuomba mungu anioneshe mwanmke sahih kwangu
 

Wewe zoa yeyote tu utachagua hadi lini kikubwa awe hanuki zaga basi weka ndani
 
Nigei no yke plz nikusaidie kumuondoa chaaap
 
Siamini kma kwenye maneno yako yote hayo,hamna sehemu umeandika hofu ya Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…