Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu nisipopokea(nikiwa darasani) ujaribu kupiga namba ya jamaa yangu nae fanya nae haka kabiashara.Namba zote nimeziweka kwenye post number 1,yangu na ya jamaa yangu.Safi nitakutafuta nikuungishe angalau kg 10
Asante mkuu ntajifunza kutofautisha na pia asante kwa mchango wako.biashara yako nzuri tatzo hujui kutofautisha matumiz ya L na R
Asante Mkuu sasaivi najitahidi nikuze mtaji kwanza maana na plan ndefu sana kaka.Hongera kwa ubunifu mzuri saaana ,isitoshe biashara ya mazao inalipa saana ...cha msingi kingine ni kujarbu kuweka na mwingine stoo pia....ikibidi kwa baadae uanzishe cafe yako ili uwe ukijiuzia ww mwenyewe!! Inalipa saana!!! Big up n keep it
Nakupongeza sana. Ni ubunifu mkubwa. LAKINI Unahitaji elimu ya chuo (sijui chuo gani- University or? )kufanya hayo? Kwa nini usitumbukie mzima mzima!Tatizo kubwa kwa sisi wanavyuo hatuwazi nje ya box,kila mtu akipata vilaki kadhaa(mwanachuo) anakimbilia kufungua banda la chipsi.OK fine malengo yako baada ya hilo banda?.
OK Mimi ni mwanachuo wa mwaka wa pili,nimeamua kuja na ubunifu tofauti wa biashara yangu.Nimendunduliza nikafikisha laki sita na nusu na ninadream zakuja kuwa bakharesa hapo baadae.Unajua nimefanya nini?.
Nimetafuta vijana waaminifu wawili niliosoma nao wakafeli school.Mmoja yupo huko hom(mkoani) mwingine nimemtumia nauli elfu 50 aje dsm nikae nae geto(kashafika).
Nimechofanya yule wa mkoani(ninamuamini sana) nilimtumia laki nne na nusu,akanunua mchele kg 400.kilo kwa sasa mchele mpya ni 1000Tzsh.Kwahiyo apo ilienda sh laki nne.akabakiwa na sh elfu arobain,nmejumlisha na hela yakutoa mchele mashineni na magunia yakuuwekea.
Baada ya hapo akaenda tafuta usafili ambao kila kg 100,wamemtoza sh elfu 10000.kwahiyo kg 400 akawa kamaliza ela mpaka mzigo kufika dar.
Sasa unajua nmeamua kuifanya vipi hii biashara.Mimi nauza kuanzia Kg5. Kwa shilling 1800 kila kilo.Nmechukua oda ya mama ntilie wanao uza chakula chuo nacho somea,pia na baadhi ya mama ntilie wamtaani.
Pia nawauzia wanafunzi wanao jipikia kwenye magheto.Jambo la msingi nimelofanya nikuwa mtu akihitaji mchele ananipigia simu.nampelekea mchee mpaka mahali anapokaa.
Kama itakuwa mbali sana ambapo ntahitaji usafiri basi itabidi kg1 mteja ainunue kwa sh 1900.
Mchele naouza quality yake kwenye maduka ya mitaani ni sh 2200.
Sasa nmeanza na hizi kg 400,ambazo nikiziuza kwa kg1, sh 1800. Ntatoa sh 720000.Na hii nategemea ndani ya siku 10,mpaka 12 ntakuwa nmeshaipata.kwahiyo awamu ijayo ntatuma kg zaidi ya 580 km bei haitopanda
Tumekubaliana nahawa jamaa zangu wawili tutaanza kulipana japo ela ya sabuni baada ya miezi minne.Nahuku nikiwa nimesubili ela ya bum nitoe kama laki tatu niongezee ili mtaji ukue baada ya mauzo.
Pia nmekopwa mzani ntakuwa nalipa kidogo kidogo kadri mauzo yangu yatakavyokuwa.
Chakula ambacho nakula mie na huyu jamaa yangu kipo nje ya bajeti ya mtaji.
Nawewe mwanafunzi mahali ulipo/mtu mwenye mtaji mdogo waweza jaribu hii nahakika itakulipa.
Au kama mtu yeyote mwenye ushauli zaidi namna ntakavyoboresha zaidi anaweza nisaidia(tusaidia).
Sitaki kazi.
.................
................
Update
...........
Nashukuru sana kwa member wanavyonipa saport,wapo wengine wanahitaji namba yangu ili waweze kuniunga mdogo wao japo kilo kadhaa napatikana kwa namba hii 0753980107 au 0679569625.
Popote pale ndani ya dar ntakufikishia mchele utakao uhitaji.Kama ukipiga nisipopokea naweza kuwa nipo darasani piga namba hii 0718696135 kwa jamaa nae saidiana nae haka kabiashara.
Nitoe pia shukrani kwa member mmoja ingawa sifahamu anatumia jina gani humu JF lakini kaniunga Kg180.
Asanteni sana wadau.
Biashara yoyote ya chakula lazima ikaguliwe na tfda (Tanzania Food And Drugs Authority). Wanakagua sio tu chakula (pengine mpunga umelimwa kwenye eneo lenye DDT), packaging na storage premises. Nadhani suala la kodi ni la kila mtanzania na kuna kodi za aina nyingi. Sina uhakika kama mchele una vat au hauna. Sikumbuki kama ulizungumzia ushuru.Mkuu kulipa kodi ntalipa tu kama nikistahili kulipa.Lakini mkuu biashara ya mtaji wa laki sita na nusu ukinilipisha kodi ndio naanza mtaji wangu wote siutateketea Mkuu.
Kuhusu kuuza mchele kwa bei ya chini nafikili nauza kwa bei ya chini tena sana just imagine stop over(Kimara) wanauza mchele 2500/2000 kwa kg1. Mie nauza 1800.Tena mtu mwingine akichukua kuanzia kilo mia namushushia kidogo.
Kuhusu tfda kukagua nafikili wanakagua vitu vinavyostahili kutumika km vinafaa au havifai sasa jambo la kujiuliza mchele unao toka shambani ambao hauna chemical yeyote una expire date Mkuu?.
Mkuu nimekupata vizuri sana na katika vitu ambavyo sipend nikufanya biashara kiujanja ujanja nimeuchukua ushauri yako.Biashara yoyote ya chakula lazima ikaguliwe na tfda (Tanzania Food And Drugs Authority). Wanakagua sio tu chakula (pengine mpunga umelimwa kwenye eneo lenye DDT), packaging na storage premises. Nadhani suala la kodi ni la kila mtanzania na kuna kodi za aina nyingi. Sina uhakika kama mchele una vat au hauna. Sikumbuki kama ulizungumzia ushuru.
Wageni aka wawekezaji wanapokuja kuwekeza kuna advantage wanazopata ambazo watanzania hatupati. Ili na sisi tufanye biashara halali lazima na sisi tupate advantage kama easy access kwenye mikopo yenye riba nafuu na misamaha ya kodi at least kwa kipindi fulani. Wewe hapo ulipo ulisha create ajira kwa ajili ya watu wawili. Tupate ushauri kwenye packaging na usafirishaji. Nk.
Nakutakia kila la kheri lakini biashara ikikua jitahidi uifanye kihalali.
Asante mkuu ngoja nikomae.Hakuna mtu asiekula asee ni bonge la idea keep it up
Na hilo ndio tatizo kubwa la watanzania wa kizazi hiki.biashara yako nzuri tatzo hujui kutofautisha matumiz ya L na R
Duu mkuu kutumbikia mazima nalo ni neno,lakini ngoja nitafute angalau hats cheti kwanza cha degree yangu.Nakupongeza sana. Ni ubunifu mkubwa. LAKINI Unahitaji elimu ya chuo (sijui chuo gani- University or? )kufanya hayo? Kwa nini usitumbukie mzima mzima!
Nasema hivyo kwa kukumbuka falsafa ya Prof wangu wakati nasoma education . Alisema which is better, kutumia hela nyingi kulipa ada au kumpa motot hizo hela akaanza biashara mapema? Akauliza kama baadaye utakuwa mfanya biashara za mitaani, is there a need to waste time on University education!
Hongera sana!
usikopeshe sana ndo mwanzo wa kuangauka,,,watu hawana tabia ya kulipa madeni bila shuruti..goog ideaTatizo kubwa kwa sisi wanavyuo hatuwazi nje ya box,kila mtu akipata vilaki kadhaa(mwanachuo) anakimbilia kufungua banda la chipsi.OK fine malengo yako baada ya hilo banda?.
OK Mimi ni mwanachuo wa mwaka wa pili,nimeamua kuja na ubunifu tofauti wa biashara yangu.Nimendunduliza nikafikisha laki sita na nusu na ninadream zakuja kuwa bakharesa hapo baadae.Unajua nimefanya nini?.
Nimetafuta vijana waaminifu wawili niliosoma nao wakafeli school.Mmoja yupo huko hom(mkoani) mwingine nimemtumia nauli elfu 50 aje dsm nikae nae geto(kashafika).
Nimechofanya yule wa mkoani(ninamuamini sana) nilimtumia laki nne na nusu,akanunua mchele kg 400.kilo kwa sasa mchele mpya ni 1000Tzsh.Kwahiyo apo ilienda sh laki nne.akabakiwa na sh elfu arobain,nmejumlisha na hela yakutoa mchele mashineni na magunia yakuuwekea.
Baada ya hapo akaenda tafuta usafili ambao kila kg 100,wamemtoza sh elfu 10000.kwahiyo kg 400 akawa kamaliza ela mpaka mzigo kufika dar.
Sasa unajua nmeamua kuifanya vipi hii biashara.Mimi nauza kuanzia Kg5. Kwa shilling 1800 kila kilo.Nmechukua oda ya mama ntilie wanao uza chakula chuo nacho somea,pia na baadhi ya mama ntilie wamtaani.
Pia nawauzia wanafunzi wanao jipikia kwenye magheto.Jambo la msingi nimelofanya nikuwa mtu akihitaji mchele ananipigia simu.nampelekea mchee mpaka mahali anapokaa.
Kama itakuwa mbali sana ambapo ntahitaji usafiri basi itabidi kg1 mteja ainunue kwa sh 1900.
Mchele naouza quality yake kwenye maduka ya mitaani ni sh 2200.
Sasa nmeanza na hizi kg 400,ambazo nikiziuza kwa kg1, sh 1800. Ntatoa sh 720000.Na hii nategemea ndani ya siku 10,mpaka 12 ntakuwa nmeshaipata.kwahiyo awamu ijayo ntatuma kg zaidi ya 580 km bei haitopanda
Tumekubaliana nahawa jamaa zangu wawili tutaanza kulipana japo ela ya sabuni baada ya miezi minne.Nahuku nikiwa nimesubili ela ya bum nitoe kama laki tatu niongezee ili mtaji ukue baada ya mauzo.
Pia nmekopwa mzani ntakuwa nalipa kidogo kidogo kadri mauzo yangu yatakavyokuwa.
Chakula ambacho nakula mie na huyu jamaa yangu kipo nje ya bajeti ya mtaji.
Nawewe mwanafunzi mahali ulipo/mtu mwenye mtaji mdogo waweza jaribu hii nahakika itakulipa.
Au kama mtu yeyote mwenye ushauli zaidi namna ntakavyoboresha zaidi anaweza nisaidia(tusaidia).
Sitaki kazi.
.................
................
Update
...........
Nashukuru sana kwa member wanavyonipa saport,wapo wengine wanahitaji namba yangu ili waweze kuniunga mdogo wao japo kilo kadhaa napatikana kwa namba hii 0753980107 au 0679569625.
Popote pale ndani ya dar ntakufikishia mchele utakao uhitaji.Kama ukipiga nisipopokea naweza kuwa nipo darasani piga namba hii 0718696135 kwa jamaa nae saidiana nae haka kabiashara.
Nitoe pia shukrani kwa member mmoja ingawa sifahamu anatumia jina gani humu JF lakini kaniunga Kg180.
Asanteni sana wadau.