Nimeamua nithubutu ingawa nina mtaji pungufu ya laki saba. Nawe waweza jaribu mahali unapoishi

Nimeamua nithubutu ingawa nina mtaji pungufu ya laki saba. Nawe waweza jaribu mahali unapoishi

Duu wakuu kazi hii ningumu sana,sio rahisi kama nilivyofikilia,nilipata asara ya takribani kilo 170 anaenichukuliaga mchele walimuuzia Chenga badala ya mchele.Ilinibidi niziuze chenga kilo moja angalau buku na hela yangu ikawa imerudi kiasi.

Lakini namshukuru Mungu sikukata tamaa,awamu yatatu imenilipa vizuri.Na deni la munzani nimelilipa na watu wananilipa vizuri tu.Na hivi karibuni naingiza mchele zaidi ya kilo mia tano.

Pia hapa nimepopanga baba mwenye nyumba kakubali kunijenge banda la kuku,nataka nifunge na kuku wakienyeji nampango nianze na majike matano na jogoo moja.

Nimesoma sana namna yakuwafuga kuku wakienyeji kule kwenye jukwaa la kilimo,ufugaji,na uvuvi.Naamini ntaweza pia.

Nawashauli wengine wasikate tamaa pindi biashara inapoyumba.

Biashara yoyote ile ina ups and downs chamsingi ni kukabiliana na changamoto na si kuzikimbia changamoto.
 
Siku nyingine jitahidi kutumia maneno yenye mtazamo chanya!
Mkuu achana nae huyo, hasara katika biashara yeyote ni jambo la kawaida.Suala la msingi nikutokata tamaa.
 
Tatizo kubwa kwa sisi wanavyuo hatuwazi nje ya box,kila mtu akipata vilaki kadhaa(mwanachuo) anakimbilia kufungua banda la chipsi.OK fine malengo yako baada ya hilo banda?.

OK Mimi ni mwanachuo wa mwaka wa pili,nimeamua kuja na ubunifu tofauti wa biashara yangu.Nimendunduliza nikafikisha laki sita na nusu na ninadream zakuja kuwa bakharesa hapo baadae.Unajua nimefanya nini?.

Nimetafuta vijana waaminifu wawili niliosoma nao wakafeli school.Mmoja yupo huko hom(mkoani) mwingine nimemtumia nauli elfu 50 aje dsm nikae nae geto(kashafika).

Nimechofanya yule wa mkoani(ninamuamini sana) nilimtumia laki nne na nusu,akanunua mchele kg 400.kilo kwa sasa mchele mpya ni 1000Tzsh.Kwahiyo apo ilienda sh laki nne.akabakiwa na sh elfu arobain,nmejumlisha na hela yakutoa mchele mashineni na magunia yakuuwekea.

Baada ya hapo akaenda tafuta usafili ambao kila kg 100,wamemtoza sh elfu 10000.kwahiyo kg 400 akawa kamaliza ela mpaka mzigo kufika dar.

Sasa unajua nmeamua kuifanya vipi hii biashara.Mimi nauza kuanzia Kg5. Kwa shilling 1800 kila kilo.Nmechukua oda ya mama ntilie wanao uza chakula chuo nacho somea,pia na baadhi ya mama ntilie wamtaani.
Pia nawauzia wanafunzi wanao jipikia kwenye magheto.Jambo la msingi nimelofanya nikuwa mtu akihitaji mchele ananipigia simu.nampelekea mchee mpaka mahali anapokaa.
Kama itakuwa mbali sana ambapo ntahitaji usafiri basi itabidi kg1 mteja ainunue kwa sh 1900.

Mchele naouza quality yake kwenye maduka ya mitaani ni sh 2200.
Sasa nmeanza na hizi kg 400,ambazo nikiziuza kwa kg1, sh 1800. Ntatoa sh 720000.Na hii nategemea ndani ya siku 10,mpaka 12 ntakuwa nmeshaipata.kwahiyo awamu ijayo ntatuma kg zaidi ya 580 km bei haitopanda

Tumekubaliana nahawa jamaa zangu wawili tutaanza kulipana japo ela ya sabuni baada ya miezi minne.Nahuku nikiwa nimesubili ela ya bum nitoe kama laki tatu niongezee ili mtaji ukue baada ya mauzo.
Pia nmekopwa mzani ntakuwa nalipa kidogo kidogo kadri mauzo yangu yatakavyokuwa.

Chakula ambacho nakula mie na huyu jamaa yangu kipo nje ya bajeti ya mtaji.


Nawewe mwanafunzi mahali ulipo/mtu mwenye mtaji mdogo waweza jaribu hii nahakika itakulipa.

Au kama mtu yeyote mwenye ushauli zaidi namna ntakavyoboresha zaidi anaweza nisaidia(tusaidia).

Sitaki kazi.
.................
................

Update
...........
Nashukuru sana kwa member wanavyonipa saport,wapo wengine wanahitaji namba yangu ili waweze kuniunga mdogo wao japo kilo kadhaa napatikana kwa namba hii 0753980107 au 0679569625.

Popote pale ndani ya dar ntakufikishia mchele utakao uhitaji.Kama ukipiga nisipopokea naweza kuwa nipo darasani piga namba hii 0718696135 kwa jamaa nae saidiana nae haka kabiashara.

Nitoe pia shukrani kwa member mmoja ingawa sifahamu anatumia jina gani humu JF lakini kaniunga Kg180.

Asanteni sana wadau.
Huo mchele unauuzia wapi? Yaani hayo maelezo yako hayana budget ya frem wala mizani
 
Huo mchele unauuzia wapi? Yaani hayo maelezo yako hayana budget ya frem wala mizani
Mkuu mzani ninao nilikopeshwa,lakini now nimeshalipa deni lake.Sasa ivi naumiliki mweyewe niwangu.

Frem sina,naupaki mahali napoishi.Nauzia mama ntilie,pia wanafunzi wengi wananipigia simu nawapelekea mchele mahali walipo.

Pia nikipata muda natembea nyumba mpaka nyumba kuwaonyesha sample ya mchele anae hitaji nampelekea.Ingawa nikazi ngumu lakini inanilipa vizuri tu.
 
Jitahidi kutafuta watu waaminifu watakaokuuzia mchele huko unaponunua.

Inasikitisha mtu anakuuzia wewe chenga kwa bei ya mchele daraja la juu.

Anategemea wewe ukauzeje?

Kuna watu wana roho mbaya sana.
Asante mkuu kwa mchango wako murua.
 
Mkuu mzani ninao nilikopeshwa,lakini now nimeshalipa deni lake.Sasa ivi naumiliki mweyewe niwangu.

Frem sina,naupaki mahali napoishi.Nauzia mama ntilie,pia wanafunzi wengi wananipigia simu nawapelekea mchele mahali walipo.

Pia nikipata muda natembea nyumba mpaka nyumba kuwaonyesha sample ya mchele anae hitaji nampelekea.Ingawa nikazi ngumu lakini inanilipa vizuri tu.
Poa ndugu
 
Hongera Kwa kuthubutu kwako kikubwa Uwe mvumilivu,kuwa mbunifu, nidhamu, Uwe Makin, uweze kuiongoza biashara yko, kuwa mwaminifu na mkweli na kufanya kazi kwa bidii na maarifa hasa uweze kuiongoza na kusimamia biashara kwani wengi hushindwa hpo hsa ukizingatia ww ni mwanafunzi.
 
Mkuu mzani ninao nilikopeshwa,lakini now nimeshalipa deni lake.Sasa ivi naumiliki mweyewe niwangu.

Frem sina,naupaki mahali napoishi.Nauzia mama ntilie,pia wanafunzi wengi wananipigia simu nawapelekea mchele mahali walipo.

Pia nikipata muda natembea nyumba mpaka nyumba kuwaonyesha sample ya mchele anae hitaji nampelekea.Ingawa nikazi ngumu lakini inanilipa vizuri tu.

usiseme ni ngumu watu watakuona machinga ila mwenyewe unajua unachofanya acha waendelee na usharobaro! niliwahi uza hereni nikiwa chuo dozeni jumla manunua 12,000/ nauza @ hereni 1 shilingi2000, 2000×12×8 kwa mwezi faida ni kama 96 minimum sometimes hadi 120,000/ nlikuwa napata hapo nikienda chuo nnazo kwenye handbag tu wala huwezi jua nimebeba kitu hyo biashara ilinipa hela ya kula full time na sikuwa na boom watu walikuwa wanaona nafanya ujinga flan hivi[emoji1] [emoji1] hadi nikaikuza nafanya ingine zaidi
 
usiseme ni ngumu watu watakuona machinga ila mwenyewe unajua unachofanya acha waendelee na usharobaro! niliwahi uza hereni nikiwa chuo dozeni jumla manunua 12,000/ nauza @ hereni 1 shilingi2000, 2000×12×8 kwa mwezi faida ni kama 96 minimum sometimes hadi 120,000/ nlikuwa napata hapo nikienda chuo nnazo kwenye handbag tu wala huwezi jua nimebeba kitu hyo biashara ilinipa hela ya kula full time na sikuwa na boom watu walikuwa wanaona nafanya ujinga flan hivi[emoji1] [emoji1] hadi nikaikuza nafanya ingine zaidi
Asante Madam kwa mchango wako,ngoja niendelee kukomaa namshukuru Mungu nachopata ingawa si kikubwa lakini kinanisukuma.
 
Hongera Kwa kuthubutu kwako kikubwa Uwe mvumilivu,kuwa mbunifu, nidhamu, Uwe Makin, uweze kuiongoza biashara yko, kuwa mwaminifu na mkweli na kufanya kazi kwa bidii na maarifa hasa uweze kuiongoza na kusimamia biashara kwani wengi hushindwa hpo hsa ukizingatia ww ni mwanafunzi.
Mkuu asante sana.
 
Hongera sana kijana....Idea yako mzuri...mwezi ulipita kaka yangu alinitafuta na kuniambia ana shilingi milioni 5.Anataka kuanzisha biashara lakini hajuwi aanze biashara gani....Nilimshauri wakati huu wa msimu mikoani nenda kanuniue mpunga then sangisha uanze biashara ya kuuza mchele.Muda huu yuko mkoani na ameshaanza kununua...Kwa uchumi wa kipindi hiki biashara ya nafaka ndio utapata wateja....kwani ndio hitaji kubwa la mwanadamu kuliko nguo ama makazi....Hongera sana kjana na Allah atakubariki....Waarabu wana msemo wao hesema MANIJITAHADA WAJADAA(kila mwenye kujitahidi atafanikiwa),,,,,,
 
Duu wakuu kazi hii ningumu sana,sio rahisi kama nilivyofikilia,nilipata asara ya takribani kilo 170 anaenichukuliaga mchele walimuuzia Chenga badala ya mchele.Ilinibidi niziuze chenga kilo moja angalau buku na hela yangu ikawa imerudi kiasi.

Lakini namshukuru Mungu sikukata tamaa,awamu yatatu imenilipa vizuri.Na deni la munzani nimelilipa na watu wananilipa vizuri tu.Na hivi karibuni naingiza mchele zaidi ya kilo mia tano.

Pia hapa nimepopanga baba mwenye nyumba kakubali kunijenge banda la kuku,nataka nifunge na kuku wakienyeji nampango nianze na majike matano na jogoo moja.

Nimesoma sana namna yakuwafuga kuku wakienyeji kule kwenye jukwaa la kilimo,ufugaji,na uvuvi.Naamini ntaweza pia.

Nawashauli wengine wasikate tamaa pindi biashara inapoyumba.
Hongera, endelea kupambana,
 
Tatizo kubwa kwa sisi wanavyuo hatuwazi nje ya box,kila mtu akipata vilaki kadhaa(mwanachuo) anakimbilia kufungua banda la chipsi.OK fine malengo yako baada ya hilo banda?.

OK Mimi ni mwanachuo wa mwaka wa pili,nimeamua kuja na ubunifu tofauti wa biashara yangu.Nimendunduliza nikafikisha laki sita na nusu na ninadream zakuja kuwa bakharesa hapo baadae.Unajua nimefanya nini?.

Nimetafuta vijana waaminifu wawili niliosoma nao wakafeli school.Mmoja yupo huko hom(mkoani) mwingine nimemtumia nauli elfu 50 aje dsm nikae nae geto(kashafika).

Nimechofanya yule wa mkoani(ninamuamini sana) nilimtumia laki nne na nusu,akanunua mchele kg 400.kilo kwa sasa mchele mpya ni 1000Tzsh.Kwahiyo apo ilienda sh laki nne.akabakiwa na sh elfu arobain,nmejumlisha na hela yakutoa mchele mashineni na magunia yakuuwekea.

Baada ya hapo akaenda tafuta usafili ambao kila kg 100,wamemtoza sh elfu 10000.kwahiyo kg 400 akawa kamaliza ela mpaka mzigo kufika dar.

Sasa unajua nmeamua kuifanya vipi hii biashara.Mimi nauza kuanzia Kg5. Kwa shilling 1800 kila kilo.Nmechukua oda ya mama ntilie wanao uza chakula chuo nacho somea,pia na baadhi ya mama ntilie wamtaani.
Pia nawauzia wanafunzi wanao jipikia kwenye magheto.Jambo la msingi nimelofanya nikuwa mtu akihitaji mchele ananipigia simu.nampelekea mchee mpaka mahali anapokaa.
Kama itakuwa mbali sana ambapo ntahitaji usafiri basi itabidi kg1 mteja ainunue kwa sh 1900.

Mchele naouza quality yake kwenye maduka ya mitaani ni sh 2200.
Sasa nmeanza na hizi kg 400,ambazo nikiziuza kwa kg1, sh 1800. Ntatoa sh 720000.Na hii nategemea ndani ya siku 10,mpaka 12 ntakuwa nmeshaipata.kwahiyo awamu ijayo ntatuma kg zaidi ya 580 km bei haitopanda

Tumekubaliana nahawa jamaa zangu wawili tutaanza kulipana japo ela ya sabuni baada ya miezi minne.Nahuku nikiwa nimesubili ela ya bum nitoe kama laki tatu niongezee ili mtaji ukue baada ya mauzo.
Pia nmekopwa mzani ntakuwa nalipa kidogo kidogo kadri mauzo yangu yatakavyokuwa.

Chakula ambacho nakula mie na huyu jamaa yangu kipo nje ya bajeti ya mtaji.


Nawewe mwanafunzi mahali ulipo/mtu mwenye mtaji mdogo waweza jaribu hii nahakika itakulipa.

Au kama mtu yeyote mwenye ushauli zaidi namna ntakavyoboresha zaidi anaweza nisaidia(tusaidia).

Sitaki kazi.
.................
................

Update
...........
Nashukuru sana kwa member wanavyonipa saport,wapo wengine wanahitaji namba yangu ili waweze kuniunga mdogo wao japo kilo kadhaa napatikana kwa namba hii 0753980107 au 0679569625.

Popote pale ndani ya dar ntakufikishia mchele utakao uhitaji.Kama ukipiga nisipopokea naweza kuwa nipo darasani piga namba hii 0718696135 kwa jamaa nae saidiana nae haka kabiashara.

Nitoe pia shukrani kwa member mmoja ingawa sifahamu anatumia jina gani humu JF lakini kaniunga Kg180.

Asanteni sana wadau.
Hongera.. Upo chuo gan mkuu?
 
safi sana mkuu..mtaji ukikua jaribu kuboresha biashara yako weka na unga wa sembe..vitunguu..karoti nk..trust me soon hautakua hapo mkuu
 
Back
Top Bottom