proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Sikatai kwa hili achague yeye ni long investment au short?Wew ndo umetoa ushauri wa maana sana aisee Tena ardhi akiwekeza soon anakuwa tajiri mdogo
I am a psychotherapist and a linguist .πππππππππππ
Kuna mda unavotaniana na kina dronedrake au Intelligent businessman unaweza ona haupo serious kabisa
ππππ
Respect mkuu ππππππ
bado haujaijua betting unafanya utanisema una busara ungelijibu vibaya ningejua IQ yako cha kufanya tafuta connection ya kuhamia maeneo yenye biashara na vyuo kwa ajili ya kusoma.
Na maanisha usipohama hilo eneo ukahamia sehemu zenye mzunguko wa hela kama Dar... utaenda kusoma ukimaliza utarudishwa huko huko pia hadi upewe IT au cheo chochote ni connection.
Tafuta connection ya uhamisho ama nenda kusoma ila weka akilini neno kuhama na connection.
ukiendelea kuwaza kufanyiwa re-cate utatumia nguvu kubwa halafu mwisho utakuja kukata tamaa maana mshahara ni mshahara tu hautoshi.
Nikupongeze kitu kimoja umeshagundua kuwa ajira ni utumwa. Neno mtumishi kwa mimi mwanalugha (a linguist PhD) limejificha kwenye maana ya msingi "mtu anayetumwa" yaani anayetumika kwa niaba ya mtu fulani ambaye anapata faida kukutumia anavyotaka.
Poor Brain Intelligent businessman
kwa huyu dogo bora aache hivi vitu ni bahati kamwe usijemtupa shimoni angali mbichi kijana wa watu.bado haujaijua betting unafanya utani
Ndio maana nikasema bado haujaijua betting ni haki Yako kusema hivyokwa huyu dogo bora aache hivi vitu ni bahati kamwe usijemtupa shimoni angali mbichi kijana wa watu.
Sijashuhudia mtu aliyefanikiwa sana kwa kutegemea kubet ni wachache sana ndio maana huitwa mchezo wa kubahatisha.
your comment is too ironical may you please come up with the direct one?Ndio maana nikasema bado haujaijua betting ni haki Yako kusema hivyo
Pesa unayo komaa na biashara kijana bila shaka unaogopa kuthubutuWakuu baada ya kuchakata mawazo mengi sana, kuanzisha biashara au kwenda kusoma, Kwa Sasa Sina familia yoyote age miaka 26. Nimeweza na kung'amua mambo yafuatayo.
Kigoma ni sehemu ngumu kidogo kwa kufanya biashara nimeona hii hela yangu million 15 niiweke bank kwanza isije kupotea, nimewaza nikasome kitu gani ili nichomoke huku nimewaza vitu vitatu kwa uzoefu wenu naombeni muweze kunisaidia kuchakata, najua watanifanyia re-categorization lakini ni njia ya Mimi kufika ninapotaka kwenda nikimbie kidogo kwenye kushika chaki.
Nina passion kubwa ya kusoma information technology mkoa niliopo kuna uhaba mkubwa wa IT, halmashauri na mkoani pia, lakini ugumu unakuja kwenye ruhusa nimeanza kazi na degree, Nina miaka miwili kazini, then ruhusa wanatoa baada ya kukaa miaka 3 kazini, pia kwa sababu nimeanza na degree watanipa miaka 2 ya kwenda kusoma masters.
Plan A ya kwenda kusoma IT ikifeli, nimeona course ambazo open university wanatoa uwezo wa kusoma nikiwa kituo cha kazi ninao, nimewaza vitu viwili business administration (accounting) au bachelor of science in food nutrition and dietetics, nimejaribu kuchunguza OUT hawatoi bachelor ya I.T.
form six nilipata division 2 point 11. Vipi wakuu kwenu hipi itakua ni Bora zaidi?
OUT wanatoa IT/ computer science pia kama ndo tamanio lako,check prospectus yaoWakuu baada ya kuchakata mawazo mengi sana, kuanzisha biashara au kwenda kusoma, Kwa Sasa Sina familia yoyote age miaka 26. Nimeweza na kung'amua mambo yafuatayo.
Kigoma ni sehemu ngumu kidogo kwa kufanya biashara nimeona hii hela yangu million 15 niiweke bank kwanza isije kupotea, nimewaza nikasome kitu gani ili nichomoke huku nimewaza vitu vitatu kwa uzoefu wenu naombeni muweze kunisaidia kuchakata, najua watanifanyia re-categorization lakini ni njia ya Mimi kufika ninapotaka kwenda nikimbie kidogo kwenye kushika chaki.
Nina passion kubwa ya kusoma information technology mkoa niliopo kuna uhaba mkubwa wa IT, halmashauri na mkoani pia, lakini ugumu unakuja kwenye ruhusa nimeanza kazi na degree, Nina miaka miwili kazini, then ruhusa wanatoa baada ya kukaa miaka 3 kazini, pia kwa sababu nimeanza na degree watanipa miaka 2 ya kwenda kusoma masters.
Plan A ya kwenda kusoma IT ikifeli, nimeona course ambazo open university wanatoa uwezo wa kusoma nikiwa kituo cha kazi ninao, nimewaza vitu viwili business administration (accounting) au bachelor of science in food nutrition and dietetics, nimejaribu kuchunguza OUT hawatoi bachelor ya I.T.
form six nilipata division 2 point 11. Vipi wakuu kwenu hipi itakua ni Bora zaidi?
Hajitambui huyoUna milioni 15 lakini hujui cha kufanya unaipeleka benki wakazungushe kwenye mikopo. Kigoma sijawahi kufika lakini ukiniambia biashara ngumu huko kigoma hakuna wafanyabiashara? Wao hawaoni huo ugumu unao uona? Hakuna kitu ambacho hakina changamoto mdogo wangu ni kupambana kwa kila fursa iliyopo mbele yako.
Broken English imekua kichaka Cha kukimbilia aisee wabongo bhana π€£π€£π€£π€£π€£your comment is too ironical may you please come up with the direct one?
Poor Brain
Laiti ungejuwa hata kidgo mazingira ya biashara nnchi hi bas ungemshauri kijana akaongezee elimu tuKusoma tena? Siyo ungekomaa na business tu?
kama ulikuwa unakunja laki tano kwa mwezi karume ni kitu gani kilikusukuma uache hiyo kazi yenye pesa mpaka kuamua kuomba ajira za TAMISEMI? hiyo milioni 15 umeipataje pataje mkuu huko kwenye kazi yako ya ualimu? pia unataka ukasomee IT ili upangiwe kwingine hivi unaijua sheria ya ajira za TAMISEMI kweli? maisha ni popote mkuu mtaji wako ni afya njema na akili ya kuona fursa pia mfano wa kijiwe cha kahawa kwa huo mtaji ni biashara kubwa sana sema huwezi kuelewNarudia Tena mkuu, siwezi invest million 15 alafu nikauza 60,000/= kwa siku na Mimi nikajitapa kwamba Nina biashara huo ni ujinga, ningekua kwenye miji mikubwa ungenishangaa sana, lakini kwa kigoma ndio nimeshindwa ning'amue nifanye nini, nimefanya biashara dar kwa mtaji wa million 1.5 nilikua nauza viatu hapo karume kwa mwezi nilikua sikosi laki 5 hapo nimeshafanya kila kitu, hapa nazingumzia kigoma, hizo idea za kufungua kijiwe cha kahawa sio mambo yangu ndoto zangu ni kubwa zaidi ya hizo.
Kwaio sisi walimu unatuonaje kwani?πππUalimu ni kazi nayo kwani? Hamia Dar Maji was biashara kakomae utatoboa
Sasa kama unaona dar inalipa si uje huku dar?Fanya mchakato hamia darNarudia Tena mkuu, siwezi invest million 15 alafu nikauza 60,000/= kwa siku na Mimi nikajitapa kwamba Nina biashara huo ni ujinga, ningekua kwenye miji mikubwa ungenishangaa sana, lakini kwa kigoma ndio nimeshindwa ning'amue nifanye nini, nimefanya biashara dar kwa mtaji wa million 1.5 nilikua nauza viatu hapo karume kwa mwezi nilikua sikosi laki 5 hapo nimeshafanya kila kitu, hapa nazingumzia kigoma, hizo idea za kufungua kijiwe cha kahawa sio mambo yangu ndoto zangu ni kubwa zaidi ya hizo.
Mkuu,kama ulikuwa unakunja laki tano kwa mwezi karume ni kitu gani kilikusukuma uache hiyo kazi yenye pesa mpaka kuamua kuomba ajira za TAMISEMI? hiyo milioni 15 umeipataje pataje mkuu huko kwenye kazi yako ya ualimu? pia unataka ukasomee IT ili upangiwe kwingine hivi unaijua sheria ya ajira za TAMISEMI kweli? maisha ni popote mkuu mtaji wako ni afya njema na akili ya kuona fursa pia mfano wa kijiwe cha kahawa kwa huo mtaji ni biashara kubwa sana sema huwezi kuelew