Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

Kama Kasulu kuna fursa kwa nini usiombe uhamisho uende huko?
 
Nimetenga mpaka 1.5 m nihame huu mkoa, nifike hata kibaha tu lakini Ngoma imekua ngumu, nadhani kwa sababu sijampata mtu sahii wa kunifanyia mchongo.
"As long as" huko ndani ya ajira tena ajira ya ualimu hutoboi na utakuwa masikini milele! Chukua maamuzi magumu huku ukimtanguliza Mungu! Umesema hujaoa na hela ya mtaji unayo! Maeneo ya mbezi mwisho ni maeneo mapya yenye msongamano mkubwa wa watu na wengi zaidi 75% ni wageni (hakuna uswahili)! Tafuta chumba cha karibu upange anzisha biashara ya vyakula. Ukipata watu sahihi utakaowaajiri utatoboa!
 
Shukrani sana mkuu nimekuelewa.
 
Optimists
Mkuu nafikiri ukiweza fanya michakato ya kusoma nje haswa Western countries, yaani endelea na masters.. NI vema Sana Kama unampango was kufanya kazi hukohuko.

1.. Tafuta nchi ambazo Zina sera nzuri za kufanya kazi na maswala mazima ya uhamiaji Kwa wageni.
2.. Nchi zinazotoa government scholarship, zinazokubali kiurahisi mifumo ya elimu ya Tanzania

DOKEZO: Sweden...
✓Wana government full funded scholarship.
✓Tanzania ni eligible
✓No English test
✓ minimum ni 2 years of work experience
✓Centralized University application system
✓Hulazimishwi kurudi in your home country baada ya kumalizia masomo

Zipo nyingi mfano Canada,USA,German
 
Optimists
Mkuu nafikiri ukiweza fanya michakato ya kusoma nje haswa Western countries, yaani endelea na masters.. NI vema Sana Kama unampango was kufanya kazi hukohuko.

1.. Tafuta nchi ambazo Zina sera nzuri za kufanya kazi na maswala mazima ya uhamiaji Kwa wageni.
2.. Nchi zinazotoa government scholarship, zinazokubali kiurahisi mifumo ya elimu ya Tanzania

DOKEZO: Sweden...
✓Wana government full funded scholarship.
✓Tanzania ni eligible
✓No English test
✓ minimum ni 2 years of work experience
✓Centralized University application system
✓Hulazimishwi kurudi in your home country baada ya kumalizia masomo

Zipo nyingi mfano Canada

NB : ziwe Western countries
 
Shukrani sana Mkuu, ngoja niwaze kwa upande huu, sijawai kufikiria kabisa.
 
Mimi ninakuelewa ila post yako ya kwanza kwenye mada imebeba mawazo na fikira zoote za huyu dogo.

Mimi nitakuwa wa mwisho kumshauri ijapo ninaamini anayo maamzi tayari.
 
 
Kwanza mkuu nikwambie kitu kimoja. Huwezi kufanya biznez ukiwa upo kazini. Hilo ni gumu kama huna msaidizi mwenye uelewa wa biashara. Biashara inahitaji ujitoe kweli kweli ikiwezekana uache kabisa ajira. Na ukifikia hatua ya kuacha ajira na kuingia kwenye biashara, basi nakuhakikishia una miaka miwili tu ya kuhusle, baada ya hapo itakuwa history.

Kuhusu kusoma naona ni mule mule tu. Ajira ni ajira hata kama upo TRA. Nakushauri ujitoe muhanga japo ni ngumu kwa sababu unadaiwa umeshachukuwa mkopo. Kusoma unapoteza muda.
 
Nimeangalia Nimeikosa mkuu, wanatoa kwa ngazi ya certificate sio degree.
Ipo nadhani umeshindwa kuona tu,inaitwa bachelor of Science in information communication and technology (ICT)

Ingia kwenye tovuti ya OUT then fungua kwenye menu then ingia academics then faculties then bofya faculty of science,technology and environmental studies (FTES) mwisho ingia kwenye undergraduate programmes utaona orodha ya bachelor degrees zinatolewa ikiwemo hiyo na data science na zinginezo
All the best
 

Attachments

  • Screenshot_2024-04-12-23-01-12.png
    210.7 KB · Views: 6
Health service? Management ?
Mkuu hiii kozi mzumbe haipo
Pale inaitwa Health system management, yaani unasoma afu ata jina la kozi yako hulijui?
 
Watu wanatoboa na milioni moja mkuu...ni mipango mizuri na target tu✊🏽
Nyie watu mnaongea tu hamuijui kigoma vzuri... mm namuelewa jamaa kwasbb nimeishi kigoma huku hata uwe na million 100 kama sio mwenyeji wa kigoma inaweza kuisha bila ww kujua...!!! Ww mkoa wachanga wameushindwa unafikiri kuna biashara hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…