mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,773
- 2,183
Nyie Mataga mtapata shida sana. Na mtahangaika sana. Mama anazidi kuupiha mwingi. Kwa kuwa tarakimu hazidanganyi, hivi karibuni tutaanza kutoa takwimu. Hapo ndo Mataga itabidi mtafute mahali la kujificha.Kama walitumia gharama zao ile bilioni 7 imetumika maeneo gani?
Hebu nawewe tueleze neno "hiko" ni kiswahili cha wapi? Kazi kuchafua lugha tu. Unakera wewe?Mtoa mada hiko kiingereza ni bora ungetumia Kiswahili.
πππππππππππππAisee kumbe ni tamthilia ya kumchamba marehemu.
Akikujibu nitag..... hahahahaaa!Hebu nawewe tueleze neno "hiko" ni kiswahili cha wapi? Kazi kuchafua lugha tu. Unakera wewe?
Umei download hile application [emoji16][emoji16][emoji16] tambua kwamba you are next to die [emoji1782]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Huwezi amini mtu wangu hii movie imenifanya niwe muoga na vi applications nisivyovijua si download kabisa imenitoa kwenye fiction na kuniletea kwenye real life[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]wanavyokufa utafikiri kweli mzungu ni balaa sio kwa ufundi huo mpaka mtu unaogopaAhahahahahaa sirudii tena kuangalia muvi za aina hii nikiwa pekeyangu usiku tena nimebwia mvinyo ....
Nililala kwa shida sana usiku ule....
Niliumia sana yule black alivyokufa kwa kugongwa na gari....
The way he dies, process shows the path between life and death....
Ile app ni konyooo, fundisho kuto ku accept vitu ambavyo havieleweki...
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Huwezi amini mtu wangu hii movie imenifanya niwe muoga na vi applications nisivyovijua si download kabisa imenitoa kwenye fiction na kuniletea kwenye real life[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]wanavyokufa utafikiri kweli mzungu ni balaa sio kwa ufundi huo mpaka mtu unaogopa
Nimetoka kuangalia filamu ya COUNTDOWN.....[emoji33][emoji33][emoji3063][emoji3063][emoji27][emoji27][emoji27]
Naogopa kwenda chumbani
Naogopa kubaki hapa sebleni mwenyewe
Naogopa kwenda maliwato na nimekunywa mvinyo mtamu kachupa kameisha....
Na kesho saa 12 alfajiri natakiwa niwe kwenye usafiri nna safari....
Eeh Mola nani alinituma kuiangalia hiyo movie....
Hata usingizi wenyewe umekata.....
Sorry sijasoma hata uzi unasemaje zaidi ya kichwa cha uzi...
Granny is scared [emoji47]!!
Vipi safari ulienda, download hiyo app ya countdown
HahahahHii filamu ni sisi tuliwaomba watuombe watutengenezee au wao walituomba tuwaombe watutengenezee?
Dhambi ya unafki haimwachi mtu salamaSamia anakiri kwamba Magufuli alipata korona.
Ila alituambia tarehe 17/03/2021 kuwa Magufuli alifariki kwa matatizo ya moyo aliyokuwa nayo muda mrefu.
Je . Magufuli aliugua Korona lini??
Na je kwanini iwe sehemu ya Royal Tour??
Bila shaka madalali wa Chanjo ya Kovid ndio wamelipia fedha za kuitengeneza hiyo documentary.
Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.
Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.
Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.
Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.
Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.
NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.
cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Mambo ya movie acha tu.Saanaaa yaaniii, inatisha simu yako mwenyewe ila mauza uza kama yoteee...
Uchawi upo sio lazima uwe wa tunguli...π
Na sio tuu application, link zozote ambazo sizielewi zinatumwa kwenye emails na whatsapp sizifungui hataaa π π
Miaka yote hii mmeshindwa kuuelimisha ulimwengu kuwa Kilimanjaro iko Tanzania halafu mnategemea hii movie ndio itawaelimisha!Mwenzio kapewa tapishi hili na mabwanyenye ya nchi jirani, ambayo yalitaka dunia iendelee kuamini kuwa mlima Kilimanjaro upo Kenya na ziwa Nyasa ni la Malawi.
Hii film inakwenda kuwaumbua na kuwalaza njaa mabwanyenye wote. Maana dunia itaelewa ukweli kuhusu mmiliki halisi wa mlima Kilimanjaro, ziwa Nyasa nk. Hongera raisi wetu Samia.
π²Samia anakiri kwamba Magufuli alipata korona.
Ila alituambia tarehe 17/03/2021 kuwa Magufuli alifariki kwa matatizo ya moyo aliyokuwa nayo muda mrefu.
Je . Magufuli aliugua Korona lini??
Na je kwanini iwe sehemu ya Royal Tour??
Bila shaka madalali wa Chanjo ya Kovid ndio wamelipia fedha za kuitengeneza hiyo documentary.
Na sio kila filamu lazima ipendwe na watu woteNimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.
Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.
Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.
Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.
Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.
NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.
cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman