Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

..Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

..Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

..Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

..Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania.

..Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

..Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa.

..Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:

..Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Hii kitu niliwahi kugusia ila watu ni wagumu kuelewa
👇Wazo lenye mantiki: Filamu ya Royal tour ni janja ya mabeberu kujipatia pesa kupitia sekta ya utalii, taifa letu ni kivutio kikubwa cha utalii...
 
Mleta mada na wakenya wako waliokutuma kuja kuandika ujinga huu mmebanwa pabaya, tena katikati ya makalio. Mlikuwa mshazoea kwenda kuihadaa dunia kuwa mlima Kilimanjaro upo Kenya, na kwamba ziwa Nyasa linamilikiwa na Malawi. Dunia ya sasa sio ya kudanganyana tena. Andikeni hata thread 10000 na IDs tofauti tofauti, kikubwa dunia imeshafahamu vivutio vyetu halisi ni vipi na mwenye kutaka kuthibitisha anakaribishwa. Wenye akili tulijua tu kwamba film hii itawaumiza wengi, hasa wale chawa wasiokuwa na moyo wa utaifa, na mabwanyenye wao.
Hakuna mkenya ambae alishadai mlima Kilimanjaro upo kenya. Walikuwa wanawazidi akili tu na kuwaambia watalii ukishukia Nairobi inakuwa rahisi kufika kilimanjaro makampuni ya utalii ya Kenya yanapiga pesa.

Dunia ya sasa ni kijiji na ipo viganjani. Kila kivutio cha utalii cha kila mahala kinajulikana. Acha ujuha.
 
..Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

..Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

..Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

..Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania.

..Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

..Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa.

..Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:

..Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Nitaiangalia kesho, ila hata kabla ya kuiangalia sikuwa nategemea la ajabu. Kuonyesha mbuga ni mambo ambayo yamashafanyika sana; kweli hii ilitakiwa ionyeshe upande ambao haujulikani sawasawa hasa usalama mitaani, huduma za dharura, na nightlife kwenye miji
 
Walengwa au walio lengwa ktk Filamu hii ni mataifa ya Marekani/Ulaya n.k.
huko ndiko kunako soko kubwa la watalii na hawavijui vivutio vya kitalii.
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji , hii filamu ni yao, walituomba watutengenezee, tukakubali, wametumia gharama zao, na sasa baada ya uzinduzi, wataendelea na biashara yao kurudisha gharama zao.
Tena mbele ya safari, in future, mnaweza kuja kuwa surprised kukuta hata the main character, alilipwa tuu kama ma starring wengine wote wa movies nyingine zote!, the only difference, zile nyingine ni fiction movies, this is non fiction.

P
Sio kila movie ni fictious. Zingine ni true story.

Hii royal tour ni documentary.
 
..wamezungumzia Tanzanite na wamefika mpaka mgodini.

..bahati mbaya mbuga kama katavi, kitulo, burigi-chato, gombe,...hazikuonyeshwa.
Hivi Kuna rais yeyote duniani aliyeko madarakani anafanya kama anayofanya Samia ya kuacha shughuli za kitaifa na kuwa busy na filamu?
Bora muda huu tungepata kiongozi mwingine tuu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
..Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

..Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

..Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

..Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania.

..Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

..Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa.

..Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:

..Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Mie nimeiona pia na ni kweli imetumika kumtangaza Rais badala ya utalii . Nguvu zinazo tumika kuitangaza haziendani na filamu yenyewe.
 
..Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

..Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

..Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

..Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania.

..Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

..Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa.

..Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:

..Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Hiyo RT imegharimu kiasi gani?
 
..Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

..Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

..Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

..Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania.

..Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

..Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa.

..Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:

..Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Tunakusifu kwa kujitolea muda wako kuangalia 7b/- ikichomwa moto. Wengine sidhani kama tutajaribu. Tunajuwa mama na genge lake wako kule kula bata. Kumuona rihanna, kupepesa macho, kutumbuwa tozo na kodi zetu.
Tunajipanga uchaguzi. Watakiona cha mtema kuni
 
Nimetoka kuangalia filamu ya COUNTDOWN.....😱😱🥶🥶😰😰😰

Naogopa kwenda chumbani

Naogopa kubaki hapa sebleni mwenyewe

Naogopa kwenda maliwato na nimekunywa mvinyo mtamu kachupa kameisha....

Na kesho saa 12 alfajiri natakiwa niwe kwenye usafiri nna safari....

Eeh Mola nani alinituma kuiangalia hiyo movie....

Hata usingizi wenyewe umekata.....

Sorry sijasoma hata uzi unasemaje zaidi ya kichwa cha uzi...

Granny is scared 😧!!
😂😂
Mkuu, hapo dawa ni shoo tu😊
 
Uyo bi mkubwa namshangaa San vitu vimepanda Bei na Wala han hata mpango navyo, mambo aliyotakiwa kufanya waziri wa utalii anafanya yy, nchi za nje Kuna mabalozi Kila nchi ambapo wanaweza kufanya kazi izo anazokwenda yy lkn bado anaend mwenyew nazn tunachekwa Sana uko nje ,wazungu washenz Sana wanampa mama kichwa uku wanampoteza mwishowe wanatamuacha peke ake pakiwa pameshaharibika ,ndo watanzania tulivyo
Fanya kazi mtoto wa kiume acha kulia lia, vitu vikipanda bei hiyo nifursa kwako pia, kati ya sababu sometimes supply inakuwa ndogo, tumia fursa hiyo na wewe ili unufaike kulia lia kwako ukiwa nyuma ya keyboard haitakusaidia kitu. Kuwa mbunifu wa kuanzisha mambo yatayokulipa kwenye kipindi iki kigumu.
 
..Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

..Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

..Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

..Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania.

..Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

..Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa.

..Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:

..Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Asante kwa Maoni.
 
Mleta mada na wakenya wako waliokutuma kuja kuandika ujinga huu mmebanwa pabaya, tena katikati ya makalio. Mlikuwa mshazoea kwenda kuihadaa dunia kuwa mlima Kilimanjaro upo Kenya, na kwamba ziwa Nyasa linamilikiwa na Malawi. Dunia ya sasa sio ya kudanganyana tena. Andikeni hata thread 10000 na IDs tofauti tofauti, kikubwa dunia imeshafahamu vivutio vyetu halisi ni vipi na mwenye kutaka kuthibitisha anakaribishwa. Wenye akili tulijua tu kwamba film hii itawaumiza wengi, hasa wale chawa wasiokuwa na moyo wa utaifa, na mabwanyenye wao.
Mkuu kwa hiyo filamu ku base tu Kaskazini ni sawa?

Dah!! Hivi unajua tuna Mbuga nyingine kubwa mbili kuizidi Serengeti?
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji , hii filamu ni yao, walituomba watutengenezee, tukakubali, wametumia gharama zao, na sasa baada ya uzinduzi, wataendelea na biashara yao kurudisha gharama zao.
Tena mbele ya safari, in future, mnaweza kuja kuwa surprised kukuta hata the main character, alilipwa tuu kama ma starring wengine wote wa movies nyingine zote!, the only difference, zile nyingine ni fiction movies, this is non fiction.

P
[emoji3064][emoji3064]
 
Afadhali usiiangalie utapoteza muda wako bure, bora muda huo uchukue rozari tu usali, maana tulitarajia sehemu kama kitulo ziwemo, utalii wa chakula hasa vyakula vya pwani pwani na bara, ruaha, wangetupia na madini mengi tuliyonayo, Nadhani dhana ya utalii hawaielewi vizuri mtalii haji kupumzika tu wengine anakuja na kuangalia fursa za hapa na pale
Nafasi hiyo, Rais na hata serikali haijaweka katazo la kutengeneza filam zingine ambazo zitangaza Tanzania na vivutio vyake.

Hakuna fanani ambae awezi kukosolewa, hiyo ni kawaida sana, hivyo basi nawashauri mliona mapungufu andaeni filam zingine kwa jina tofauti, naona niwapeni wazo hili, mkifanya hivyo faida zitaptikana kwenu binafsi kwa kuungiza kipato na kwa Taifa kwa ujumla katika kuitangaza Nchi pia.
 
Back
Top Bottom