Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

Nitaiangalia kesho, ila hata kabla ya kuiangalia sikuwa nategemea la ajabu. Kuonyesha mbuga ni mambo ambayo yamashafanyika sana; kweli hii ilitakiwa ionyeshe upande ambao haujulikani sawasawa hasa usalama mitaani, huduma za dharura, na nightlife kwenye miji
Unadhani huo upande usiojulikana Sana unaweza kuvutia watalii wengi zaidi kuliko kuonyesha kuonyesha vivutio vinavyojulikana sana kama mbuga za wanyama ?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hii filamu imeonesha mbuga zote na kila kivutio kilichopo nchini. Sema tu kama ilivyo ada vijana wa kitanzania mara nyingi huwa tayari kutumiwa na maadui dhidi ya nchi yao wenyewe kupitia kigezo cha utofauti wa kisiasa. Israel, New Zealand, Rwanda nk zimesharekodi filamu hizi za Royal Tour lkn kwa vile vijana wao wana mioyo ya utaifa, elimu na akili, basi ilikuwa ngumu maadui wa nchi hizo kuwatumia vijana wa mataifa hayo kuandika propaganda za ushuzi kama hizi tunazoshuhudia kwa vijana wetu. Nimeamini ni kwann mwl Nyerere alikataa siasa ya vyama vingi maana aliwaelewa tosha vijana wa kitanzania walivyo mbumbumbu katika kuchanganua mambo, na kwamba ni rahisi sana wao kuhadaika na pengine kupelekea kuiingia nchi yao wenyew machafuko kwa sababu ya faida ya walio/wanaowatuma. Maadui wa taifa mara nyingi wamekuwa wakipitisha ajenda zao kimya kimya kupitia huu unaoitwa uhuru wa kutoa maoni, wanasiasa nk.
Ndio maana anko magu alilijua Hilo
 
Tofauti tu ni kwa Rais wetu kushiriki hiyo tour otherwise hakuna kipya!
 
..Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

..Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

..Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

..Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania.

..Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

..Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa.

..Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:

..Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Hata Pepsi tunaijuwa lakini hujiulizi kwanini kila siku wanatangaza hiyo hiyo Pepsi
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tofauti tu ni kwa Rais wetu kushiriki hiyo tour otherwise hakuna kipya!
Hakuna cha tofauti hata hizo nchi zingine pia viongozi wao walishiriki. Israel the royal tour 👇

images (65).jpeg

Rwanda the royal tour 👇

images (64).jpeg


39876622880_75ab92ae28_b.jpg

Ukisoma post ya #11 na #98 kwenye uzi huu utaelewa kila kitu.
 
..Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

..Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

..Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

..Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania.

..Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

..Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa.

..Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:

..Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Sio lazima kila kitu kipendwe na wote,hata wewe wapo wasiokupenda na wapo wanaokupenda,huwezi kupendwa na watu wote.
 
..Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

..Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

..Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

..Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania.

..Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

..Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa.

..Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:

..Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Kama haijakufurahisha ujuwe wewe siyo target audience. Endelea na kazi yako inayokupa shibe.

Hiyo ndiyo layout yake kadri director alivyoiandika. Peter Greenberg hajaanza kuandika na kushoot royal tour ya Tanzania. Soma hapa;
"He also produces and hosts a television series called The Royal Tour which airs on PBS. The series features various heads of state giving Greenberg and viewers a personal tour of their country. It has featured a number of world leaders including New Zealand's Helen Clark, Israel's Benjamin Netanyahu, Abdullah II of Jordan, Peru's Alejandro Toledo, Mexico's Felipe Calderón, Rwanda's Paul Kagame, Poland's Mateusz Morawiecki and Tanzania's Samia Suluhu Hassan. Greenberg was previously the Travel Channel's chief correspondent."
 
Hata Pepsi tunaijuwa lakini hujiulizi kwanini kila siku wanatangaza hiyo hiyo Pepsi
Wanao sema hawajaona jipya hawajui nguvu ya matangazo ya biashara.Hii ni documentary ni tangazo la biashara.
Bidhaa au huduma huwa zinatangazwa mara kwa mara ili mteja anase na kuvutiwa kununua huduma au bidhaa.
Ndio maana baadhi wanakosoa bila kujua azma ya hii documentary.
 
Labda lengo ni kuvutia sehemu ambazo accessible to many and can accommodate large crowds at once.

Kwenda kutangaza maajabu ya bonde gani huko sijui Mbeya wakati wakipata watalii 3000 kwa week kuwasafirisha shida hakuna tour operators wa kutosha, wala mahala sahihi pa kuwalaza wote at once.

So nadhani lengo ni kuwaonyesha vivutio muhimu vya kitaifa inaweza kuwa mundane kwetu lakini kwa watu wanaongalia kwa mara ya kwanza it’s an awe.

Otherwise sitegemei bi tozo aonyeshe story ya wanyamapori hizo documentaries ni for naturists lovers hawa ni automatic watalii bila ya kuangalia sinema kama ilivyo kwa wale wazungu wenye ambitions za kutembelea nchi nyingi duniani kabla ya kufariki.

Hayo makundi mawili juu ni wachache wengi ni wale ambao they need convincing on what to expect kuona wakija tanzania nadhani ndio lengo la hiyo documentary.

As for naturists documentary lovers Simba hana jipya, anaishi kwenye pack, Simba jike akijichuza kubeba mimba ya mwanaume nje ya pack anafukuzwa, akiwa peke yake jamaa wengine wakimsarandia kama ana watoto wanaviuwa, mara nyingi Simba jike akifukuzwa akikutana na mkiwa mwenzake wanaungana, au kama alikuwa na rafiki dada kwenye kundi atampigania harudi kwenye kundi kwa kumtafutia bwana ndani ya pack, akirudishwa atawinda huyo kuwafurahisha Simba wenzake in return anakuwa hana hofu ya usalama wa watoto wake akiwa ndani ya pack etc na drama za akina Simba.

Chui, tembo, fisi, nyati na wengine wote wana story zao, tofauti ya naturists documentaries kuna dramatisations of events (enhe itakuwaje sasa hapo simba kafukuzwa); hii ya bi tozo ni promotion documentary so it should be boring; compared to other documentaries aimed to educate on everyday life of wild animals.

Muwe mnapongeza basi yeye kathubutu
 
Tangu lini mpemba akajua mambo ya utalii wa mbuga, yeye mpeni mashua akavue samaki arudi nyumbani ale urojo
Wapemba ndio walistaarabika kwanza,ndio ukaona hata Msumbiji kuna mji waitwa Pemba.Hata mahindi yalianza kulimwa Pemba,mbegu ilipotoka India,ndio ikasambaa kwingine.Na ndio chakula kikuu Afrika mashariki na kati.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mwenzio kapewa tapishi hili na mabwanyenye ya nchi jirani, ambayo yalitaka dunia iendelee kuamini kuwa mlima Kilimanjaro upo Kenya na ziwa Nyasa ni la Malawi. Hii film inakwenda kuwaumbua na kuwalaza njaa mabwanyenye wote. Maana dunia itaelewa ukweli kuhusu mmiliki halisi wa mlima Kilimanjaro, ziwa Nyasa nk. Hongera raisi wetu Samia.
Na wao pia nasikia wanatoa filamu yao inayoonyesha Mlima Kilimanjaro na serengeti zipo kwao...Filamu inaitwa the Tour Guide
 
Mleta mada na wakenya wako waliokutuma kuja kuandika ujinga huu mmebanwa pabaya, tena katikati ya makalio. Mlikuwa mshazoea kwenda kuihadaa dunia kuwa mlima Kilimanjaro upo Kenya, na kwamba ziwa Nyasa linamilikiwa na Malawi. Dunia ya sasa sio ya kudanganyana tena. Andikeni hata thread 10000 na IDs tofauti tofauti, kikubwa dunia imeshafahamu vivutio vyetu halisi ni vipi na mwenye kutaka kuthibitisha anakaribishwa. Wenye akili tulijua tu kwamba film hii itawaumiza wengi, hasa wale chawa wasiokuwa na moyo wa utaifa, na mabwanyenye wao.
Umesema kweli,sisi wananchi,sasa tumeelewa kwa nini,wanaumia kuhusu hii filam,kumbe walikuwa wanajitangazia vivutio vya Tanzania ni vya nchi nyingine.
 
JokaKuu amezingua sana. Royal tour ingekuwa Kwa ajili ya wabongo si ingezinduliwa hapahapa Tanzania? Ililenga kutangaza vivutio vya nchi yetu nje ya mipaka ya Tanzania, na huko nje hivo vitu kwenye hiyo filamu ni vigeni kwao. MATAGA waache kudandia vitu visivyowahusu
Hata hapa itazinduliwa, Arusha
 
Back
Top Bottom