Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
- Thread starter
-
- #81
Nadhani Ndio maana watu wametoka nje ya box na kujadili hiyo mikopo yake ambayo tunatakiwa kuilipa?Ndiyo maana watu wanashangaa juhudi za makusudi za kumchafua marehemu badala ya kuweka energy hiyo kutatua matatizo yaliyopo na kupanga mipango ya baadae.
JPM alifanya yake, maisha na urais wake ni somo, kuna wanaomuunga mkono kwasababu tu aliwapa ujasiri, kuwatia moyo, uthubutu, ari na ile tu feeling kuwa inawezekana. Kauli kama sisi si masikini, au tunafanya bla blah kwa pesa ya ndani, zilikuwa designed kutia watu moyo. Unatakiwa utoke nje ya hilo boksi lako kuelewa kwanini wananchi wengi wa kawaida walimkubali sana na bado wanamkubali JPM.
Aliagizwa na Mkapa. Magufuli ingekuwa amri yake asingefanya hivyo.Lakini Magufuli huyo huyo asiyependa watu kujenga na kutajirika, iliipa familia yako nyumba Oysterbay!! Naona sasa unaanza kuchanganyikiwa…
Nimecheka hadi nimepaliwa, hivi we Jamaa unatoaga wapi hizi picha [emoji848][emoji13][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2215125
Kuna watu wamezoea siasa za maji taka na chuki binafsi.Nakubaliana na wewe labda, lakini ishu ni kwanini ulisema JPM aliipa familia yako nyumba? Lengo lilikuwa nini?
Wazazi wako hawamo moyoni mwako na hata umtumbukize vipi moyoni mwako hatarudi kamwe unapoteza muda wako bure hatarudi.Ni Imani yangu mkuu kwake najua hatarudi Tena ila anaishi moyoni Mwangu.... Karibu Umoja party
Mkuu K, Umeandika Vyema Sana. Kama zito alikuwa anataka Kuzungumzia Mikopo Yote Kwa Nini Spika Ndugai alivyotoka hadharani na Kukemea Mikopo Wakati Bunge Lilipitisha Tozo, Kwa Nini Zito hakuwahi Kuzungumzia Mikopo ya Hangaya inayokopwa Kila Kukicha Yeye Yuko Busy na Mikopo Ya JPM Pekee?Kuna watu wamezoea siasa za maji taka na chuki binafsi.
Siasa za kulambana viatu kwa kuwa umepewa hiki au kile. Au unataka hiki au kile.
Siasa za chuki kwa sababu hujapewa hiki au kile.
Siasa za makundi na makabila.
Wakawa wananiweka huko.
Nikawaambia kwamba, huko sipo.
Kama ningekuwa mtu wa kufuata siasa hizo, mimi ningekuwa supporter mkubwa wa JPM.
Kwa sababu ni Msukuma kama mimi, halafu alikuwa mtu ambaye anapiga story regularly na mshua wangu tangu wakati bado JPM waziri, kwa hivyo JPM alikuwa mshua fulani yupo kwenye family network nikikutana naye namwambia mimi mtoto wa fulani anamjua baba yangu kipindi kirefu tu, pia, amefanikisha familia yangu kupewa nyumba Oysterbay.
Kuna mambo ya ndani sana JPM alikuwa frustrated kwenye serikali ya Mkapa alikuwa hawezi kusema kwenye vikao, lakini alikuwa akiongea na baba yangu anafunguka. Ndiyo maana nikasema kwamba, JPM angekuwa na amri hata uuzaji wa mashirika ya umma na nyumba za Oysterbay usingefanyika. Kwa sababu haya ni maongezi ambayo mimi nayajua JPM alishafanya na baba yangu, wote wakiwa wanapinga uuzwaji wa mashirika ya umma ulivyofanyika, wakati huo JPM akiwa waziri.
Kwa hiyo, kama hapa JF ningekuwa mtu wa kutokuangalia philosophical positions, ningekuwa mtu wa kuangalia JPM kanifaidishaje mimi na familia yangu tu, ukabila na urafiki, ningekuwa team praise, nisingemsema vibaya JPM.
Ningemtetea kufa na kupina kama "Mnamhala". Godfather fulani hivi Don Vito Corleone.
Lakini, kwa kuwa mimi si mtu wa kuangalia chuki binafsi wala mahaba binafsi, naangalia philosophical positions tu, naweza kumsema vibaya au kumsifia JPM, kwa hoja, bila kujali kwamba alikuwa na ukaribu na baba yangu, au ni Msukuma kama mimi, au aliipa familia yangu nyumba Oysterbay na kutujengea daraja la Tanzanite juu.
Naangalia principles tu, philosophically.
Sipo kwenye chuki wala mahaba kwa mtu binafsi.
Nimeandika hapo juu kwamba moja ya maongezi ya JPM na baba yangu yalikuwa ni kupinga uuzwaji holela wa mashirika ya umma. Na mimi nipo katika msimamo huo, moja ya mambo niliyokubaliana na JPM.Nimejaribu kukuelewa, lakini maneno yako na historia ya michango yako haisapoti ulichoandika hapo juu. Katika michango yako mbalimbali kuhusu hayati JPM unaji-contradict sana. Nitaishia hapo
Kwa nyongeza tu, wewe unaona ni sahihi Mkapa alivyowapa ninyi na wengine nyumba za serikali? Kwa kipindi kile, unadhani ilikuwa sahihi kuuza makampuni ya umma na kuua TiPPER?? Unadhani JPM alikuwa sahihi kupinga au Walau kuwa frustrated kwa hayo maamuzi?
MKuu hoja ya Wazazi wangu imefikaje Hapa?Wazazi wako hawamo moyoni mwako na hata umtumbukize vipi moyoni mwako hatarudi kamwe unapoteza muda wako bure hatarudi.
Nchi za dunia ya kwanza wote wale waliozifikisha nchi zao hapo zilipo hakuna anayesema "zidumu fikra zake", alifariki na waliobaki wanaendelea na yao.
Hiyo ni kampeni imepangwa kumchafua marehemu
Umechagua kumchukia Kama naye alivyo chagua kumchukia Magu! Kila mtu akaye na uchaguzi wake!Wakuu nimekuwa na chuki sana na Huyu zito.
.
Namchukia sana kutoka rohoni mwangu.
.
Amekuwa na chuki sana na JPM kila akipata forum ya Kuzungumza anamzungumza Kwa mabaya JPM.
.
Unakuwaje na chuki na mtu ambae hawezi kukujibu Kwa lolote
View attachment 2215113
SSH alikuwa vice na Vice wa SSH alikuwa financial wa serikali ya JPM walikubali vp mikopo hii. Na leo wao ndio tumewapa nchi yetu.Kuna kauli za Zitto amechemka, kama ile kauli ya kusema wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato ni ujinga.
Lakini, kwenye kukopa, hili ni kweli, hata ukisikiliza mazungumzo ya Tido Mhando na rais SSH, rais kalitaja hili.
Kwa hivyo, kwenye hilo Zitto yuko sawa.
Tuache kuongozwa na hisia, twende kwa data.
Mimi huwa sipendi sana ku dismiss hoja za watu kwamba zinatokana na chuki binafsi, bias au conspiracy theory.Mkuu K, Umeandika Vyema Sana. Kama zito alikuwa anataka Kuzungumzia Mikopo Yote Kwa Nini Spika Ndugai alivyotoka hadharani na Kukemea Mikopo Wakati Bunge Lilipitisha Tozo, Kwa Nini Zito hakuwahi Kuzungumzia Mikopo ya Hangaya inayokopwa Kila Kukicha Yeye Yuko Busy na Mikopo Ya JPM Pekee?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ila dah Jiwe alikuwa Fisadi, muongo na muuajiHana akili huyo achana nae.
Anasem miradi ya JPM, hiyo miradi ya Magufuli ni ipi? Ni mali yake binafsi? Iko chato nyumbani kwa Magufuli hiyo Miradi?
Ukweli gani anataka huyo mrundi? Kwani mikopo ni mara ya kwanza nchi hii tumechukua? Mbona haijawahi kua na faida yoyote. Angalau Magufuli alikopa kujenga Bwawa la Nyerere, kujenga SGR nk. Alitaka afanyeje?
Zitto ni mtu asie na akili sio wa kumsikiliza.
Mkuu Rais gani alikuwa mpigaji na muuaji zaidi ya Jiwe?Wazalendo tulishampuuza. Alishapewa mzinga wake yupo busy kulamba asali. Hana budi kumpondea JPM aliyewabania wapigaji wote.
Alikuua then Ukafufuka?Ila dah Jiwe alikuwa Fisadi, muongo na muuaji
Mwacheni awe na chuki hamjui wasiojulikana kipindi cha jpm walimkosakosa mara ngapiWakuu nimekuwa na chuki sana na Huyu zito.
.
Namchukia sana kutoka rohoni mwangu.
.
Amekuwa na chuki sana na JPM kila akipata forum ya Kuzungumza anamzungumza Kwa mabaya JPM.
.
Unakuwaje na chuki na mtu ambae hawezi kukujibu Kwa lolote
View attachment 2215113
Ishu moja kubwa katika kauli zako ni wewe kusema JPM aliwapa nyumba Oysterbay (lakini kumbe ni Mkapa), halafu uliwahi kusema kuwa hukumpenda JPM kwasababu ya kudhoofisha real estate na kufanya nyumba yenu ya Oysterbay (ya serikali) kupungua thamani na labda kukosa kodi. Kimsingi nadhani umeshindwa ku-reconcile hizo issues, mara nyingi unajichanganya….