Nimechaguliwa PCM Bwiru Boys; Je, ni shule nzuri?

Nimechaguliwa PCM Bwiru Boys; Je, ni shule nzuri?

1.Bila tuition hutoboi. Nenda kwa Michael Mnyama ukaanze tution.
2. Uwe na nidhamu. Kuna mwalimu anaitwa 'MATITI' ni dicpline master, hachekagi na mtu.
3. Usifuatize mkumbo. Vijana wa o-level ni watoro sana. Usiige
4. Usiende ziwani. 2018/19 kijana (the late Elnisi) wa EGM alikufa maji
5. Wafanye walimu kua marafiki zako (Anza na mwalimu Heartman wa Chemistry)
6. Nenda ukasome, Advance sio Olevel
7. Nenda ukasome, PCM sio makalio
8. Anza na Mwenyezi Mungu. Usiache ibada, kumuomba na kumshukuru.
Michael mnyama moja ya walimu wa tuition wazuri sana....M ni moja ya products za huyu jamaa ...
 
Jamani embu elezea vizuri maana nineshìndwa kutoa ushauri wa mtoto wa mdogo wangu.

Yeye matokea yake alipata Ana B tu cha ajabu ati kachaguliwa CBG li shule liko huko pwani.
Hii CBG atakuwa nani?
Wazazi wamekataa nasikia wanataka aende chuo.
Naomba.kujua ni faida gani za kwenda chuo na sio kwenda f5?

Plz yeyote mwenye uelewa aseme chochote.
Kama shule Ina combination ya PCB aende, wanabadilisna mbona.
Ila ajipime maana PCB ni moto wa gas bora PCM. Anaweza lamba hadi division 3 kama hayuko makini.
 
Mmh mbona siijui hiii mkuu???? Imeanza lini
IPO chief kwa wale wanafunzi ambao selection zao waliweka vyuo vya kati kama 1st choice.na wakafanikiwa kupangiwa huko

Wao gharama za ada ni ndogo kwao wanachotoa ni ile administrative cost basi. Ila ada,msosi,hostel juu ya serikali. Try to look gharama za ada chuo for gvt sponsored kwenye website za DIT,MUST& ATC zimeainishwa. Ila ili use beneficiary lazima use directly selected by gov not otherwise
 
IPO chief kwa wale wanafunzi ambao selection zao waliweka vyuo vya kati kama 1st choice.na wakafanikiwa kupangiwa huko

Wao gharama za ada ni ndogo kwao wanachotoa ni ile administrative cost basi. Ila ada,msosi,hostel juu ya serikali. Try to look gharama za ada chuo for gvt sponsored kwenye website za DIT,MUST& ATC zimeainishwa. Ila ili use beneficiary lazima use directly selected by gov not otherwise
#hii serikali hii, Mimi chaguo la kwanza likikuwa chuo, chaguo la pili technical college na la tatu ndo advance. Ila nimepelekwa advance 🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️ daaaaaah!
 
Walimu wengi wa advance hasa science they teach like uko chuo and shule nyng za advance over 90% zipo free sana ko ni uwezo wa akili Ku master mazingira
Example advance nlyosoma mm INA comb 2 PCM &PCB Lkn the school is extremely free teacher hawana habari ya kumfuatilia advance yyte yule,but watu wanakaa kwao wanapiga mapindi huko sinza ,mchikichini wanakuja kupiga tu paper school au mnaji organize kulipa mwalimu flan kipanga aje awape madesa
All in all usitegemee uongozi au usimamamizi wa walimu na shule tegemea uelewa,kujitambua kwako na jitihada basi.
Usimamizi waachie
(H kunani.....Combinations)
Well said.... Nakumbuka shule yangu ya boys mkoani Kilimanjaro mwalimu alikuwa hakufuatilii kwa lolote, hivyo ni jitihada zako tu za kujitambua na kusoma.. wadau wengi walifuata mkumbo na matumizi ya madawa...
.wengi walifeli na baadhi walifukuzwa kwa migomo... Wengine wale wa kishua walipoona hawafuatiliwi walihama, walishazoea private kufuatiliwa na kumegewa madesa

All the best.
 
#hii serikali hii, Mimi chaguo la kwanza likikuwa chuo, chaguo la pili technical college na la tatu ndo advance. Ila nimepelekwa advance 🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️ daaaaaah!
If I'm not wrong nliona kwenye web ya tamisemi kuna,option ya kuchange tahsusi I think na chuo pia though sijafuatilia ,try to look out
 
If I'm not wrong nliona kwenye web ya tamisemi kuna,option ya kuchange tahsusi I think na chuo pia though sijafuatilia ,try to look out
#uliiona lini??
Maana mwezi wa nne ndo walitoa nafasi kwa wanafunzi ya kubadili machaguo yao kwenye selform zao kupitia tamisemi. Na mimi nilifanya hivyo, lakini sasa ndo nikapelekwa kwenye chaguo langu la tatu.
Sasa hiyo unayosema wewe, sijajua??
 
#uliiona lini??
Maana mwezi wa nne ndo walitoa nafasi kwa wanafunzi ya kubadili machaguo yao kwenye selform zao kupitia tamisemi. Na mimi nilifanya hivyo, lakini sasa ndo nikapelekwa kwenye chaguo langu la tatu.
Sasa hiyo unayosema wewe, sijajua??
Niliona ,muda kdgo nafkr b4 selection hivyo sikuizingatia iko vipi.
 
Back
Top Bottom