π€£π€£π€£ unataka niaibike shoga yangu
Siyo kichwa hiki,mi namwambia then atajijua mwenyewe... Pm ya nn....yaan ni live bila chengaπ€£π€£π€£ unataka niaibike shoga yangu
π π Wewe unaweza? Hebu nifundishe...Siyo kichwa hiki,mi namwambia then atajijua mwenyewe... Pm ya nn....yaan ni live bila chenga
Huo ujanja wote unaogopa kumwambia mtu hisia zako kweli, mzee mwenzangu unayumba[emoji1787]Naogopa kumtaja
Ha haa kwenye suala hilo sina ujanja Mzee mwenzangu. Jamaa mpoleee...sijui namuanza vipiHuo ujanja wote unaogopa kumwambia mtu hisia zako kweli, mzee mwenzangu unayumba[emoji1787]
Haha, nitume niwe kuwadi..acha nature ifanye kazi yake. Duniani tupo mda mfupi sana ujue...Ha haa kwenye suala hilo sina ujanja Mzee mwenzangu. Jamaa mpoleee...sijui namuanza vipi
Au waacheNiwadandeje sasa!
Kama mpole sana atazingua huyo kwa publicπ π Wewe unaweza? Hebu nifundishe...
Tatizo mpole sana
Mkuu huo ukichaa umefikia level ya kukomaa na sio kuanza.Ukichaa huanza hivihivi!
Halafu Nishamuona kwenye huu uzi. Dah nateseka mieKama mpole sana atazingua huyo kwa public
Utakufa bure,embu mwambie bana au ni The Icebreaker ? Kama ni huyu bas hii ni golden chance maana jamaa nae anatafuta manziπHalafu Nishamuona kwenye huu uzi. Dah nateseka mie
Kha!Utakufa bure,embu mwambie bana au ni The Icebreaker ? Kama ni huyu bas hii ni golden chance maana jamaa nae anatafuta manziπ
Unacheka nn ?π
Embu subiri kwanza,usiondoke kwa air tafadhali....Nina neno naweNgoja kwanza nimalizie haya Maandazi japo hii Chai imesha poa.
Ha ha ha,we ndo umemalizaTutakufata tu utake usitake......