Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
πππI miss you more...uko wapi siku hizi?I miss you Sister π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππI miss you more...uko wapi siku hizi?I miss you Sister π
ππππππI miss you more...uko wapi siku hizi?
Hakuna mitishamba wala ushirikina unaoweza kuongeza chances za kupata madini. Mnataka kumtapeli mtu mabaye tayari yuko desperateKutumia mitishamba sio ushirikina,
Una hamu ya kupoteza fedha zaidi? Endelea na mchezo unataka kuanza halafu kuna siku utakumbuka onyo langu!Sawa mkuu, any idea sehemu pa kuanzia?
Hata Mungu alimtoa mwanae wa pekee ili kukomboa ulimwengu, Habrahamu alimtoa Isaka km sadaka.
Sikia huwezi kupata ukitakacho km huwezi kutoa sadaka kubwa.
Ushawahi kujihusisha na mambo ya uchimbaji ndugu!?Naibili Pesa au mafanikio Yana code nyingi sana na wanaopata huwa hawatoi code zao. Mchakato huo wa madini ni kama kubet vile lakini kama unataka mchakato wa hela nzuri ni PM nikuelekeze ujaribu na wewe bahati yako. Yote haya tunayoyahangaikia ni kuwa na ustawi wa kifedha
Naibili huyu usikubali ushauri wake mpk akuonyeshe bank statement zake za mwaka huu.Naibili Pesa au mafanikio Yana code nyingi sana na wanaopata huwa hawatoi code zao. Mchakato huo wa madini ni kama kubet vile lakini kama unataka mchakato wa hela nzuri ni PM nikuelekeze ujaribu na wewe bahati yako. Yote haya tunayoyahangaikia ni kuwa na ustawi wa kifedha
Sisi tumelala sana nje huko migodini tena kwenye migodi ya wababe huko magharibi.Si unipe ushauri mkuu? Ila sema ushauri nnaotaka leo ni kutoka kwa wafanyabiashara sio waajiriwa
Mume sina labda uje weyee sweetheart unioe πWe mwanamke yaelekea unamcheza shere sana mumeo
Naoa mke wa tatu mkaldayo, sasa majukumu yananiweka busy kidogo.Dah mkuu Kazakh ni kitambo sana jamvin. Ulipoteaga wapi?
Sijawahi kabisaa na hiyo michongo kwangu ipo kama yote mpaka maeneo na document nina access nazo ni vile tu bado sijaamua kutilia maanani sanaUshawahi kujihusisha na mambo ya uchimbaji ndugu!?
RED flag, we Jamaa ni Dume Ila umevaa uhusika wa kike why?We vipi buda
Mume sina labda uje weyee sweetheart unioe π
Mhmm!Nampa mchongo from the scratch na anakuwa yupo front yeye mwenyewe na hatoboki mfukoni wala nini, mafanikio Yana codes nyingi sana. πππ
Sababu nimesema buda? Haya basi tufanye wewe ndo JIKE mie DUME hapo vipi?RED flag, we Jamaa ni Dume Ila umevaa uhusika wa kike why?
UDOM its better waendelee na UVCCM wazalishe TISIII wengi kuliko haya mabomu wanayotutengenezeaUnatumia njia gani kupima natural au artificial ??je unatumia wataalamu
Binafsi nakushauri mkuu jitahidi kufanya kazi na wataalamu na kuna kamashine kanauzwa milioni 10 nako hutumika kudetect madini aina mbali mbali.Tembea depertment za UDSM na UDOM utawapa wataalamu wa kutosha au nenda GST.
Chunya kuna reserve kubwa sana ya dhahabu so jitahid ufanye kisasa boss
Binafsi nasomea mineral exploration and mining geology.Namaliza mwakani