Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Naibili Pesa au mafanikio Yana code nyingi sana na wanaopata huwa hawatoi code zao. Mchakato huo wa madini ni kama kubet vile lakini kama unataka mchakato wa hela nzuri ni PM nikuelekeze ujaribu na wewe bahati yako. Yote haya tunayoyahangaikia ni kuwa na ustawi wa kifedha
Ushawahi kujihusisha na mambo ya uchimbaji ndugu!?
 
Naibili Pesa au mafanikio Yana code nyingi sana na wanaopata huwa hawatoi code zao. Mchakato huo wa madini ni kama kubet vile lakini kama unataka mchakato wa hela nzuri ni PM nikuelekeze ujaribu na wewe bahati yako. Yote haya tunayoyahangaikia ni kuwa na ustawi wa kifedha
Naibili huyu usikubali ushauri wake mpk akuonyeshe bank statement zake za mwaka huu.
 
Haya mambo ya madini ni complicated Sana, nilianza hii kazi kwa mtaji Wa 2m Kwa kununua nikajapigwa mawe feki, nikaamua kuajiriwa kuchimba shimo la mshua fulani nako pia majanga tupu,
Haya mambo unaweza ukatumia utaalamu ama ushirikina na pia ukafeli.
 
Unatumia njia gani kupima natural au artificial ??je unatumia wataalamu
Binafsi nakushauri mkuu jitahidi kufanya kazi na wataalamu na kuna kamashine kanauzwa milioni 10 nako hutumika kudetect madini aina mbali mbali.Tembea depertment za UDSM na UDOM utawapa wataalamu wa kutosha au nenda GST.

Chunya kuna reserve kubwa sana ya dhahabu so jitahid ufanye kisasa boss


Binafsi nasomea mineral exploration and mining geology.Namaliza mwakani
UDOM its better waendelee na UVCCM wazalishe TISIII wengi kuliko haya mabomu wanayotutengenezea
 
Back
Top Bottom