Kama ni kosa basi serikali ndio ilikosea kwa kulipa, hilo sio kosa la wafanyakazi, wao wamefanya kazi kwa siku 30 wanastahili ujira wao.Tarehe ya mwisho kulipwa mshahara, as long as ililipwa kabla ya mwisho wa huo mwezi, ni irrelevant katika mazungumzo ya mshahara wa mwezi huu.
Nikweli mzigo tayariShimo limetema tayari NMB
Kwani wapi nimesema ni kosa?Kama ni kosa basi serikali ndio ilikosea kwa kulipa, hilo sio kosa la wafanyakazi, wao wamefanya kazi kwa siku 30 wanastahili ujira wao.
Tayari kiongozi kwa batchesN
Nikweli mzigo tayari
Kweli?Umeshatoka.
Umeongea kitu kikubwa, wengine hata hatuna uhakika kama wiki hii utatoka au la!Tulieni nyie, tuulizeni wenzenu tulioko mashirika binafsi huwa tunalipwa tarehe ngapi na hatuna kelele.
Jifunze nidhamu ya pesa, usiishi kwa tarehe za mshahara.
Standing Order of Public Servants 2009..(Kanuni za Kudumu za Utumishi wa Umma 2009) kanuni Namba E.4Kama mshahara ni wa mwezi June, obligation ya serikali kulipa mshahara inaanza baada ya mwezi kuisha.
Mwezi haujaisha.
Serikali haina obligation ya kulipa mshahara wa mwezi ambao bado haijaisha.
Ukibisha weka mkataba wa kazi au standing order ya serikali kutoka kwa katibu mkuu utumishi iki validate madai yako.
Standing Order of Public Servants 2009..(Kanuni za Kudumu za Utumishi wa Umma 2009) kanuni Namba E.4View attachment 3024998
Hahaha. Sawa ila ujue mimi ni wakili mwenye uzoefu wa miaka 12. Yes sina hela.Kwanza hata Kingereza huelewi, bitrthday ni siku aliyozaliwa, kama alhamisi ndiyo itakuwa birthday yake. Unaongelea birthday au birthdate? Fikiri japo kiduchu.
Mimi nasherehekea birhday yangu kwa kumcha na kumshukuru Allah kila siku yangu ya kuzaliwa ikifika, kumbiuka, siyo tarehe ya kuzaliwa.
Huo wa kugeuziwa birthday ikawa birthdate ndiyo ujinga mliosomea, mimi sina huo.
Acha ujinga wewe, Kuwa na adabu kama una ugonjwa wa akili wahi Mirembe chap.Mwaka wa fedha unaanza tarehe 01/07 na kuisha tarehe 30/06.
Unaanza Mwanzo wa mwezi na kuisha Mwisho wa mwezi na sio tarehe 22
Kwa nini hauanzi tarehe 22 .
Hiyo ya kulipwa mshahara tarehe 22 ni favour tu na sio haki yako kulipwa tarehe hiyo.
Ingetakiwa ukiwa mtu makini hiyo fedha uanze kuitumia kuanzia tarehe 01 mwezi unaofuata
Hili taifa lina baadhi ya watumishi ni wajinga na hawajitambui na kwa akili hizi mtaendelea kuwa watumwa wa kusubiri mishahara ndio msurvive.
Embu jiongezeni bana mnatia aibu ebo yaani mtu mzima kabisa unalalamikia mshahara wakati mwisho wa mwezi haujafika stupid asshole mkubwa wewe
πππHivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa
From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!
Bullshit!!!!!!!!!!
Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa na boss wenu mello
Vijana kama Hawa wana mchango mdogo sana katika taifaSiku thelathini gani?
Mishahara ya serikali inalipwa kwa kuangalia calendar month.
Serikali ikikulipa mshahara wa mwezi June kabla mwezi June haujaisha, hiyo ni favor tu. Wanajiwahi wenyewe wasicheleweshe mshahara. Mshahara una accounting processes zake za payroll zinachukua siku kadhaa ku clear kibenki. Wakitaka kujiwahi wasipitilize tarehe 1, ndiyo wanaanza kulipa wiki moja kabla au hata zaidi ya hapo.
Hawana obligation ya kukulipa mshahara wa June kabla mwezi June haujaisha. Mshahara wa June unatakiwa kuanza kulipwa July 1.
Ukija hapa July 2 unalalamika hujalipwa mshahara wa June nitakuelewa.
Ukidai mshahara wa June kabla mwezi wa June haujaisha, hapo unaomba advance ya mshahara, hudai mshahara.
Kwa sababu mwezi wa June haujaisha.
Vojana kama wepi?Vijana kama Hawa wana mchango mdogo sana katika taifa
Huyo aliekuwa quotedVojana kama wepi?
OK.Huyo aliekuwa quoted