Nimechoshwa na Huu umungu mtu unaooneshwa na serikali! Mpaka Sasa Mshahara haujatoka? Mnatuchukuliaje?

Nimechoshwa na Huu umungu mtu unaooneshwa na serikali! Mpaka Sasa Mshahara haujatoka? Mnatuchukuliaje?

Tarehe ya mwisho kulipwa mshahara, as long as ililipwa kabla ya mwisho wa huo mwezi, ni irrelevant katika mazungumzo ya mshahara wa mwezi huu.
Kama ni kosa basi serikali ndio ilikosea kwa kulipa, hilo sio kosa la wafanyakazi, wao wamefanya kazi kwa siku 30 wanastahili ujira wao.
 
Kama ni kosa basi serikali ndio ilikosea kwa kulipa, hilo sio kosa la wafanyakazi, wao wamefanya kazi kwa siku 30 wanastahili ujira wao.
Kwani wapi nimesema ni kosa?

Mshahara wa June, siku 30 za June hazijamalizika, unasemaje wafanyakazi wamefanya kazi kwa siku 30?
 
Mshahara ki sheria ni 30th ya mwezi husika, kukupa 25th ni kukusaidia aka hisani ya serikali.
Kuwa mtulivu.
 
Watoe hata tar 32 maana mkiona wengine wanakomeshwa ninyi wa mshahara mnajionaga mko salama
 
Kama mshahara ni wa mwezi June, obligation ya serikali kulipa mshahara inaanza baada ya mwezi kuisha.

Mwezi haujaisha.

Serikali haina obligation ya kulipa mshahara wa mwezi ambao bado haijaisha.

Ukibisha weka mkataba wa kazi au standing order ya serikali kutoka kwa katibu mkuu utumishi iki validate madai yako.
Standing Order of Public Servants 2009..(Kanuni za Kudumu za Utumishi wa Umma 2009) kanuni Namba E.4
Screenshot_20240624_200929_Adobe Acrobat.jpg
 
Kwanza hata Kingereza huelewi, bitrthday ni siku aliyozaliwa, kama alhamisi ndiyo itakuwa birthday yake. Unaongelea birthday au birthdate? Fikiri japo kiduchu.

Mimi nasherehekea birhday yangu kwa kumcha na kumshukuru Allah kila siku yangu ya kuzaliwa ikifika, kumbiuka, siyo tarehe ya kuzaliwa.

Huo wa kugeuziwa birthday ikawa birthdate ndiyo ujinga mliosomea, mimi sina huo.
Hahaha. Sawa ila ujue mimi ni wakili mwenye uzoefu wa miaka 12. Yes sina hela.

Hizo technicality za birthday na birthdate ni upuuzi tu.

Mtulipe
 
Mwaka wa fedha unaanza tarehe 01/07 na kuisha tarehe 30/06.
Unaanza Mwanzo wa mwezi na kuisha Mwisho wa mwezi na sio tarehe 22
Kwa nini hauanzi tarehe 22 .
Hiyo ya kulipwa mshahara tarehe 22 ni favour tu na sio haki yako kulipwa tarehe hiyo.
Ingetakiwa ukiwa mtu makini hiyo fedha uanze kuitumia kuanzia tarehe 01 mwezi unaofuata
Hili taifa lina baadhi ya watumishi ni wajinga na hawajitambui na kwa akili hizi mtaendelea kuwa watumwa wa kusubiri mishahara ndio msurvive.
Embu jiongezeni bana mnatia aibu ebo yaani mtu mzima kabisa unalalamikia mshahara wakati mwisho wa mwezi haujafika stupid asshole mkubwa wewe
Acha ujinga wewe, Kuwa na adabu kama una ugonjwa wa akili wahi Mirembe chap.
 
Hivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu utumishi yeye yupo Kimya tu! Hii haikubaliki kabisa

From now siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka napewa stahiki yangu kwa maana Mshahara Nyie wengine watumishi ambao hamjielewi au hamjui haki zenu endeleeni na kazi zenu!

Bullshit!!!!!!!!!!

Note
Moderator msifute Huu Uzi naona siku hizi mmekuwa machawa na boss wenu mello
😆😆😆
 
Siku thelathini gani?

Mishahara ya serikali inalipwa kwa kuangalia calendar month.

Serikali ikikulipa mshahara wa mwezi June kabla mwezi June haujaisha, hiyo ni favor tu. Wanajiwahi wenyewe wasicheleweshe mshahara. Mshahara una accounting processes zake za payroll zinachukua siku kadhaa ku clear kibenki. Wakitaka kujiwahi wasipitilize tarehe 1, ndiyo wanaanza kulipa wiki moja kabla au hata zaidi ya hapo.

Hawana obligation ya kukulipa mshahara wa June kabla mwezi June haujaisha. Mshahara wa June unatakiwa kuanza kulipwa July 1.

Ukija hapa July 2 unalalamika hujalipwa mshahara wa June nitakuelewa.

Ukidai mshahara wa June kabla mwezi wa June haujaisha, hapo unaomba advance ya mshahara, hudai mshahara.

Kwa sababu mwezi wa June haujaisha.
Vijana kama Hawa wana mchango mdogo sana katika taifa
 
Back
Top Bottom