Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Kiufupi ilibidi iwe vile ili tutoke kwenye mkwamo uliokuwepoAnajitoa ufahamu , natolea mfano makampuni binafsi ya uhandisi , tender nyingi walinyimwa + kubambikiziwa Kodi zisizolipika , kufungiwa accounts , kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi + Sera mbovu na mazingira mabovu ya uongozi chatonian + mdororo WA uchumi uliotokana na hizo issues hapo , kuna makampuni mengi Tu yamefunga biashara , kufilisika , kupunguza wafanyakazi / mishahara .
Magufuli alikuwa shetani ibilisi kabisa yule
Pole Sana mkuuNimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,
uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?
Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?
sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu
kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017
upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
MI NAONA SHIDA SIO MAGUFULI MIAKA YA NYUMA ATA WANAOMALIZA DARASA LA SABA KUINGFIA FORM 1 UNAKUTA SHULE NZIMA WATU ISHIRINI SASA SAIV ANAFELI MTU MMJA KUINGIA FORM 1 NAPO UYO AKUENDA KWENYE MTIANI,IVYO KUFIKA MWAKA 2013 NAKUMBUKA NILIKUA SANGU SECONDARY FORM 5 NAANZA WAHITIMU WALISHAKUA WENGI SANA IVYO KUFIKA 2015 HALI ILIKUA TETE TUNAKUJA KUMALIZA 2018 CHUO NDIO HALI MBAYA ZAIDI ,SOLUTION NI KUPUNGUZA WATU WANAINGIA FORM 1 NK NAPO NI NGUMU MANA WANAKUA WADOGO SANA IVYO KUENDELEA KUKUA KIAKILI WAKIFIKA 4M4 AFADHALI... DAWA NI KUFUNDISHA MASOMO YA KUJITEGEMEA NA WANAOTAKIWA KUWA WATUMISHI WA SELIKALI WAWE WANABANWA SANA KWENYE UFAULU.NADHANI NDIO SOLUTION.NA SISI TULIOMALIZA CHUO KIKUU MPKA SAIV MTU UNAMIAKA M3 AU ZAIDI MTAANI UNAWAZAJE AJIRA .TUPAMBANE MAZEEE,TUPAMBANE NDIO DAWA IYO .WENGINE ATA VYETI ATUJACHUKUA TUPO TOWN TUNAKOMAA TU NA ATUJATOKA FAMILIA NZURINimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,
uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?
Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?
sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu
kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017
upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
Hongera tajiriNani alikutuma usomee ualimu mkuu, unasoma kozi za kimasikini.
Mimi wanangu sitowaruhusu kusoma kozi za kiduwanzi hivyo, unesi, ualimu sijui utabibu.Hongera tajiri
Tatizo wote hatuwezi kua matajiri kama wewe,mnajifaragua tu hapa JFMimi wanangu sitowaruhusu kusoma kozi za kiduwanzi hivyo, unesi, ualimu sijui utabibu.
Kuna mzee alinitamkia live hivi,ila wanae ni walimu woteMimi wanangu sitowaruhusu kusoma kozi za kiduwanzi hivyo, unesi, ualimu sijui utabibu.
πππππππHiyo kwangu mimi sahau mkuu, siwezi kupoteza pesa zangu kwa kozi za witoKuna mzee alinitamkia live hivi,ila wanae ni walimu wote
Umemrithi Dada yangu FaizafoxxyAjiri[emoji3581]
Ajili[emoji735]
Kama huna akili wanao wanazitoa wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo kwangu mimi sahau mkuu, siwezi kupoteza pesa zangu kwa kozi za wito
Kumbe kuchagua kozi ya kusoma kunahitaji akili nako. Basi kama kunahitaji akili, wewe uliyechagua kusoma kozi ya wito ya mshahara wa laki tano ndio hazipo timamu. πππππππKama huna akili wanao wanazitoa wapi
Mkuu mi nimeishia kidato cha nne lakini nimejiajili.Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,
uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?
Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?
sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu
kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017
upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
Kuna mtoto wa rafiki yangu aliniambia kwa machozi jana, kuwa kuna rafiki yake amepata lakini ilibidi mumewe (wa huyo aliyepata) ilibidi atoe milioni moja ili kuhakikishiwa jina la mke wake kuwepo. Sasa nyie endeleeni kusikiliza kelele za Ummy na bosi wake. Tafuteni hela vijana. Nimeamua kujipanga wanangu wakimaliza elimu wasije wakaajiriwa wakasake notiNimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,
uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?
Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?
sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu
kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017
upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
unawaonea chuk waliopata.wao ndio mola kawapa
Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,
uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?
Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?
sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu
kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017
upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
Nawaza kufungua shule na kituo cha afyaNimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,
uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?
Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?
sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu
kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017
upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana