Nimechukia sana kukosekana kwenye ajira za jana. Nina jazba sana nimekata tamaa

So painful!
 
Sorry bana, ila nawachana tuu haoo hkl wanaonyata kitaa na suti & tai hawawez endesha hata boda et it is too risk afu wana na engineering zao wana hustle kitaaa hata kama kaz n ya kuchafuka na oil[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahah acha uongo
 
Poleni sana
Mama amefungua njia
Ni mwanzo mzuri
Ingekua Hayati bado ingekua bila bila labda

Mungu akujalie next time upateπŸ™πŸ½
 
Samahani, ulisomea career gani?
 
Hizo nafasi zilitekwa na watu wa ccm wakaanza kuingza watu wao kigezo, walichotumia kuteka nafasi hizo ni neno kujitolea hapo ndo walipomzunguka mama yetu rais
 
Mkuu umeongea point sana , yaan vigezo Vya kufauru kuanzia form 4 Mpk chuo kikuu vilitakiwa viongezwe, ili watu wengine waende kusoma ufundi na kufanya mambo mengne wanao fika chuo wawe wasomi kwel kwel .
 
Mkuu ukiona maisha magumu achana nayo, fanya inshu zingine

Yaan kwa elimu uliyonayo unakaa kuitegemea serikali? Pambana mkuu, afu kingne punguza kuweka big expectations kwenye maisha itakuwa high disappointed.
 
Kumbe kuchagua kozi ya kusoma kunahitaji akili nako. Basi kama kunahitaji akili, wewe uliyechagua kusoma kozi ya wito ya mshahara wa laki tano ndio hazipo timamu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu ujue unawaumiza madogo....

Kuwa na huruma nao mkuu.....
 
Wasome kozi za hela,
Finance,
Accounting,
Business Administration,.
Economics,
Commerce,
Science zenye hela,
Engineering zenye hela,
Umeorodhesha kozi nyingi hapo juu....

Kwa hiyo hao wana ajira za kumwaga?!!!

Mathalani mainjinia ili wapate tenda ni rahisi?!!!
Wana uchumi wa kufungua vikampuni uchwara ?!!!

Hao wengine si ndio wanaopanga foleni interview ya watu 10 wenyewe wakiwa 2000?!!!!

Mkuu banaa 🀣🀣🀣🀣
 
Usikate tamaa mkuu...jipange unanafasi nyingine,kila ktu hutokea na sababu
 
Ingekuwa ni rahisi kama unavyoandika hapa basi kila mtu angekimbilia huko
Yani huyu bwege ameniudhi kweli,eti anasema elimu aliyopata ndio mtaji wake,hakuna bank inakopesha MTU fresh from chuo.

Labda angesema kwa elimu aliyoipata chuoni basi aitumie kwa kufanya utapeli ile hela tuna kwenye no hii...
 
Pole sana mkuu. Hii ndio Tanzania ilipofikia. Wanaajiri wanavyotaka wao. Naona walimu wengi wa sayansi wanekula shavu.

Hakuna kukata tamaa. Let us fight until last breath. Piga moyo konde
 
Una mimba?
AhΓ ahaa kweli nimecheka sana,Ila kuna watu mlimpenda magu aisee,acha nikunon'goneze watu wasisikie tukabambikiwa kesi ya kina sioi summary,Magu katika marais waliopita ndio Rais fala kuliko wote waliopita.

Usimwambiee MTU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…