Nimedhulumiwa MilionI 10, siku ya Tano sasa sijapata Usingizi

Pole sana mkuu. Ulifanya vyema kusamehe japo inauma. Pesa ya dhulma huwa haina manufaa. Ona sasa hiko kiasi cha pesa ni kikubwa sana lakini hakikumsogeza jamaa popote sana sana itakuwa aliitumia kwa starehe.
 
🤣🤣🤣🤣 It's just my skepticism this is a fiction story umenifurahisha na hii comment ety wewe mjinga
 
MENGI YA MAVICHAA MABARABARANI HUWA YAMEWATENDA VIBAYA SANA NDUGU,JAMAA,RAFIKI NA N.K..
 
Haki ya mtu haipotei bro itachelewa tu kukufikia soon
 
Ulozi wa kaka mshanajr ndo unaonekana faida yake sas a. Kaka mshana Huyo mfanye apalalize tu.
 
Naona umepuliza halafu ukauma[emoji3]
 
Alikua ni kijana wa gheto tu maana alifukuzwa kazi akashuka sanaa kiuchumi na hii project ndio ilimpa walau nafasi ya pili, anapokaa nilifika na vitu alivyoviacha thamani yake haizidi au haifiki milioni moja.
ndo mana kumbe alikuwa mchovu tu,basi kuna mahali anapiga business ili akipata faida aje akulipe na mara nyingi wabachemkaga vibaya,atarudi tu na utamwona,omba Mungu sana ila mwanzo nlitaka nikwambie mpige juju ila kausha,bob marley alishawaigi imba UR BEST FRIEND COULD BE UR ENEMY
 
Kuna mwamba humu aliwahi kutoa tangazo la kulaani kunyimwa haki na hakimu mmoja halafu akatoa na siku kadhaa za matazamio.......The rest is the subject which deals with past events.....
Can u xlain more?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…