Nimedhulumiwa MilionI 10, siku ya Tano sasa sijapata Usingizi

Wakuu nawashukuruni sanaa, meseji zenu zimenifariji sanaa, nimefarijika kuona kuna wengine wamewai kupoteza vikubwa sanaa zaidi yangu, bado naendelea kujifunza taratibu ntaanza kurecover ila moyo wa kusamehe sidhani kama nnao ila ntasahau tu. Shukrani sana🙌🏾🙏🏾
 
Kuna mwamba humu aliwahi kutoa tangazo la kulaani kunyimwa haki na hakimu mmoja halafu akatoa na siku kadhaa za matazamio.......The rest is the subject which deals with past events.....
Kama kumbukumbu zangu ziko vizuri jamaa anaitwa mng'oa kucha
 
Halafu humu kuna ID za kitapeli zinajiuliza na kujijib....humu jf inabidi ufungue macho matatu ndo utaweza kushtukia huu mchezo[emoji848][emoji848]
 
Kuna mwamba humu aliwahi kutoa tangazo la kulaani kunyimwa haki na hakimu mmoja halafu akatoa na siku kadhaa za matazamio.......The rest is the subject which deals with past events.....
Nakumbuka kilichofuata ilikuwa tanzia kutoka idara ya Mahakama.
Niliogopa SANA, aisee! Na muda alitaja.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Mi ntamuamini mtu nalala naye kitanda kimoja... kazini enyewe kuna watu nimefanya nao kazi miaka 4 ila bado siwaamini... verification ni muhimu sana
 
Pole Sana Boss.
Hawa marafiki aisee, jamaa tunapambana, tuna hussle pamoja kumbe kuna Muda ananizunguka anakimbia nyumbani kumtongoza wife.


Marafiki sio wa kuamini Sana hasa hawa wanaojinesha wako loyal.
 
Nakumbuka kilichofuata ilikuwa tanzia kutoka idara ya Mahakama.
Niliogopa SANA, aisee! Na muda alitaja.

Everyday is Saturday............................... 😎
Yule jamaa huwa natamani sana nimfahamu. Kiboko ya dhulma. Dawa ya watu wanaodhulumu watu ni kumalizana nao tu
 
Alikua ni kijana wa gheto tu maana alifukuzwa kazi akashuka sanaa kiuchumi na hii project ndio ilimpa walau nafasi ya pili, anapokaa nilifika na vitu alivyoviacha thamani yake haizidi au haifiki milioni moja.

Kipi kilichosababishwa afukuzwe kazi!?
 
Sisi ni marafiki, alikua na kazi nzuri baadae akafukuzwa alishuka sanaa sanaa, akaanza upya... hii project yeye ndio mwanzo alini invite kwakua alikua hana hizo sifa zote timilifu zilizokua zinahitajika.
Mkuu Mimi nilipata tatizo linalofanana na la kwako miaka 2 iliyopita.Mbaya zaidi Mimi nilidhulumiwa na ndugu yangu.Ushauri wangu ni kwamba chukulia tukio hilo kama fundisho,achana na mawazo ya kulipiza kisasi hayana maana yoyote.Pesa zinatafutwa,utapata zingine,samehe na sahau.
 
Mungu akupe moyo wa subra,ndo Mana watu wanachuk
 
Pole ndugu vuta subra na angekuwa ana ku copy kwa email na scanned bills mpaka final Transaction.
Ila Ni upumbavu kukimbia na ku risk dhulma ya 5m inaweza kuteketeza familia yake .
Tujifunze kuwa na hofu ya Mungu.
Someni habari za Yezebel jinsi maiti yake ilivyoliwa na mbwa kwa issue yake tu ya forgery.

Kaka fuata sheria na ukiona wanakuzungusha Basi chukua sheria mkononi
 
Mkuu tafuta mtaalam,
Amtupie kijini shoga.

Jamaa yako akiona wanaume awe anakata viuno hadharani..

Mloge tu,

Hakuna jinsi ,
*****.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…