FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Siku hizi mrima unajiendesha kwa asara,kuupaka rangi, kujaza mafuta,kuufanyia service inabidi tumpe mwarabu wa Dubai.Tuzione,
Sijui kama mlima Kilimanjaro umepona.
Nasikia wamejipanga hata bwawa la Rufiji lijiendeshe kwa hasara..., hivyo atapewa mwarabu kufanya service ya kuleta mvua na kulijaza maji lijaeSiku hizi mrima unajiendesha kwa asara,kuupaka rangi, kujaza mafuta,kuufanyia service inabidi tumpe mwarabu wa Dubai.
kama ni kweli basi Wazanzibar wana nia ovu na nchi yetuKunataarifa zindai kwamba kuna hati za maelewano zipatazo 30 zilisainiwa na Rais katika ziara yake ya Dubai.
Pia inadaiwa, huu mkataba wa Bandari ni moja tu kati ya vilivyomo kwenye maelewano hayo. Pia kuna sekta zingine kama posta nk.
Inasemekana kwamba, MOU hizo zote zikiwekwa wazi, basi waTanganyika wote mtalala uchi barabarani mkigalagala na kulia.
Ombi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.
Dhambi ya ukanda itawamaliza mpaka kwa vizazi vyenukama ni kweli basi Wazanzibar wana nia ovu na nchi yetu
Kunataarifa zindai kwamba kuna hati za maelewano zipatazo 30 zilisainiwa na Rais katika ziara yake ya Dubai.
Pia inadaiwa, huu mkataba wa Bandari ni moja tu kati ya vilivyomo kwenye maelewano hayo. Pia kuna sekta zingine kama posta nk.
Inasemekana kwamba, MOU hizo zote zikiwekwa wazi, basi waTanganyika wote mtalala uchi barabarani mkigalagala na kulia.
Ombi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.
anaye zungumza ukanda ndiyo mbaguzi mwenyeweDhambi ya ukanda itawamaliza mpaka kwa vizazi vyenu
Wewe kwanza mimi nimeonyesha hiyo tabia unayoianzishaanaye zungumza ukanda ndiyo mbaguzi mwenyewe
WANASHERIA WAANDIKE BARUA KWA DP WORLD WAKIMTAADHALISHA KUWA YALIYOFANYWA NA SAMIA WATANGANYIKA HATUKUMTUMA. HIVYO HAWATAPOKELEWA HAPA
Je, huko si kukiuka sheria ya kulinda maliasili ya mwaka 2017?Kwa bahati mbaya Mwigulu ametangaza rasmi kwamba serikali HAWATAPELEKA tena mkataba wowote bungeni, kwamba ITACHELEWESHA utekelezaji wa shughuli za miradi. CCM na Rais wake ni SCAM
Sana πππππππY
ale maneno ya βMtanikumbuka...β yanaumiza sana, unaweza ukalia yani ππππ
#) tu? Mbona umelala wewe. hizo za Dubai tu, bado hujasema za Oman. Kia si unaona management imeshaanza kufanya mambo yake pale, maduka bado?View attachment 2744152
Kunataarifa zindai kwamba kuna hati za maelewano zipatazo 30 zilisainiwa na Rais katika ziara yake ya Dubai.
Pia inadaiwa, huu mkataba wa Bandari ni moja tu kati ya vilivyomo kwenye maelewano hayo. Pia kuna sekta zingine kama posta nk.
Inasemekana kwamba, MOU hizo zote zikiwekwa wazi, basi waTanganyika wote mtalala uchi barabarani mkigalagala na kulia.
Ombi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.
Watu wanajiuliza sababu ya kufichwa ni zipi#) tu? Mbona umelala wewe. hizo za Dubai tu, bado hujasema za Oman. Kia si unaona management imeshaanza kufanya mambo yake pale, maduka bado?
Bado za Saudu Arabia.
Bado za Qatar.
Bado za Kuwait.
Za Algeria tayari umeziona?
Watu tunaongelea MoU kama 200 za nchi za Kiarabu, wewe uko wapi n hivyo vi 30 vyako?