Kunataarifa zindai kwamba kuna hati za maelewano zipatazo 30 zilisainiwa na Rais katika ziara yake ya Dubai.
Pia inadaiwa, huu mkataba wa Bandari ni moja tu kati ya vilivyomo kwenye maelewano hayo. Pia kuna sekta zingine kama posta nk.
Inasemekana kwamba, MOU hizo zote zikiwekwa wazi, basi waTanganyika wote mtalala uchi barabarani mkigalagala na kulia.
Ombi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.
Umeambiwa na nani ?...Inasemekana kwamba, MOU hizo zote zikiwekwa wazi, basi waTanganyika wote mtalala uchi barabarani mkigalagala na kulia.
Ombi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.
Kwani alihitaji ruhusa yenu ?WANASHERIA WAANDIKE BARUA KWA DP WORLD WAKIMTAADHALISHA KUWA YALIYOFANYWA NA SAMIA WATANGANYIKA HATUKUMTUMA. HIVYO HAWATAPOKELEWA HAPA
Akili za kinafiki na kijinga za kitanzania. Tunayaongea maendeleo wakati wa kunywa bia za jioni na kupiga stori za kupitisha wakati lakini kivitendo hatuna ujasiri wa kweli wa kuyatafuta.Wanao pinga huu uwekezaji wengi ni wapiga dili bandarini so wanajua muwekezaji akiingia mianya yote itazibwa…
Watu wanapiga sana pale hasa wafanyakazi wa bandari!
Hii point yako inajibu vipi ukweli au uongo wa hizo MOU 30....,Wanao pinga huu uwekezaji wengi ni wapiga dili bandarini so wanajua muwekezaji akiingia mianya yote itazibwa…
Watu wanapiga sana pale hasa wafanyakazi wa bandari!
Hoja juu ya vipengele vya mkataba vinavyoiuza Tanganyika viondoleweWanao pinga huu uwekezaji wengi ni wapiga dili bandarini so wanajua muwekezaji akiingia mianya yote itazibwa…
Watu wanapiga sana pale hasa wafanyakazi wa bandari!
Mnateseka nyie.Kunataarifa zindai kwamba kuna hati za maelewano zipatazo 30 zilisainiwa na Rais katika ziara yake ya Dubai.
Pia inadaiwa, huu mkataba wa Bandari ni moja tu kati ya vilivyomo kwenye maelewano hayo. Pia kuna sekta zingine kama posta nk.
Inasemekana kwamba, MOU hizo zote zikiwekwa wazi, basi waTanganyika wote mtalala uchi barabarani mkigalagala na kulia.
Ombi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.
Umbea tu umewajaa hawa watuKumbe umesikia,nikajua umeziona
Ungekuwa mwanaume ningeasa uache umbeya mtt wa kiumeWapo watu wanazijua zote 30, na wameziona pia
Poleni sana.WANASHERIA WAANDIKE BARUA KWA DP WORLD WAKIMTAADHALISHA KUWA YALIYOFANYWA NA SAMIA WATANGANYIKA HATUKUMTUMA. HIVYO HAWATAPOKELEWA HAPA
Huyo ni Mbea fulani tu hvNa wewe ni mmoja wapo kati ya hao waliyoiona!?
Haziwekwi sasa halafu tuone mtafanya nnOmbi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wewe unaonekana una la kufanyaKilichobaki ni kumuibia Muarabu mpaka awaambie CCM nimekoma kuwekeza, Hivi hajui tukienda Sumbawanga kwa wazee tunaweza kuiba mpaka Meli? Hawatujui hawa ngoja wakutane na Vibaka wazoefu waone kama watafikia hata lengo moja.
Jazaneni maujingawazalendo wamesha "ziscan" wanasubiri right time wapige kwenye mshono
Haya nenda kadaiTudai hati za maridhiano zote ziwekwe wazi kwanza kabla hata ya kupelekwa bungeni