Nimedokezwa: MOU 30 alizosaini Rais Dubai zikiwekwa hadharani, waTanganyika wote tutalala uchi barabarani

Nimedokezwa: MOU 30 alizosaini Rais Dubai zikiwekwa hadharani, waTanganyika wote tutalala uchi barabarani

Kunataarifa zindai kwamba kuna hati za maelewano zipatazo 30 zilisainiwa na Rais katika ziara yake ya Dubai.

Pia inadaiwa, huu mkataba wa Bandari ni moja tu kati ya vilivyomo kwenye maelewano hayo. Pia kuna sekta zingine kama posta nk.

Inasemekana kwamba, MOU hizo zote zikiwekwa wazi, basi waTanganyika wote mtalala uchi barabarani mkigalagala na kulia.

Ombi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.

Wanao pinga huu uwekezaji wengi ni wapiga dili bandarini so wanajua muwekezaji akiingia mianya yote itazibwa…

Watu wanapiga sana pale hasa wafanyakazi wa bandari!
 
Wanao pinga huu uwekezaji wengi ni wapiga dili bandarini so wanajua muwekezaji akiingia mianya yote itazibwa…

Watu wanapiga sana pale hasa wafanyakazi wa bandari!
Akili za kinafiki na kijinga za kitanzania. Tunayaongea maendeleo wakati wa kunywa bia za jioni na kupiga stori za kupitisha wakati lakini kivitendo hatuna ujasiri wa kweli wa kuyatafuta.

Ni nchi moja imejaa washenzi wa kila aina. Kuna hawa wanaomfanyia fitina Rais SSH wakisahau kuwa malipo ya dhambi ya ubaguzi yapo hapa hapa chini ya jua, hausubiriwi ufe ndio ukutane na adhabu.
 
Wanao pinga huu uwekezaji wengi ni wapiga dili bandarini so wanajua muwekezaji akiingia mianya yote itazibwa…

Watu wanapiga sana pale hasa wafanyakazi wa bandari!
Hoja juu ya vipengele vya mkataba vinavyoiuza Tanganyika viondolewe
 
Kunataarifa zindai kwamba kuna hati za maelewano zipatazo 30 zilisainiwa na Rais katika ziara yake ya Dubai.

Pia inadaiwa, huu mkataba wa Bandari ni moja tu kati ya vilivyomo kwenye maelewano hayo. Pia kuna sekta zingine kama posta nk.

Inasemekana kwamba, MOU hizo zote zikiwekwa wazi, basi waTanganyika wote mtalala uchi barabarani mkigalagala na kulia.

Ombi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.
Mnateseka nyie.
Yaani sasa hamna tena mnalowaza, ni bandari tu as if za kwenu.
 
Kilichobaki ni kumuibia Muarabu mpaka awaambie CCM nimekoma kuwekeza, Hivi hajui tukienda Sumbawanga kwa wazee tunaweza kuiba mpaka Meli? Hawatujui hawa ngoja wakutane na Vibaka wazoefu waone kama watafikia hata lengo moja.
Bora wewe unaonekana una la kufanya
 
Back
Top Bottom