Hamiyungu
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 594
- 751
Kunataarifa zindai kwamba kuna hati za maelewano zipatazo 30 zilisainiwa na Rais katika ziara yake ya Dubai.
Pia inadaiwa, huu mkataba wa Bandari ni moja tu kati ya vilivyomo kwenye maelewano hayo. Pia kuna sekta zingine kama posta nk.
Inasemekana kwamba, MOU hizo zote zikiwekwa wazi, basi waTanganyika wote mtalala uchi barabarani mkigalagala na kulia.
Ombi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.
Wanao pinga huu uwekezaji wengi ni wapiga dili bandarini so wanajua muwekezaji akiingia mianya yote itazibwa…
Watu wanapiga sana pale hasa wafanyakazi wa bandari!