Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

matusi ya waja baada ya kuvushwa mto na walimu dah [emoji205]

tunasahau kabisa mchango wa hawa watu kwenye msingi wa maisha yetu, ufahamu, uelewa na mafanikio tulonayo sasaivi [emoji205]

ni vizuri kuwa watu wa shukran na waungwana kwa walimu regardless hali zao. Lakini wametoa tongotongo mpka upo hapo leo[emoji205]
kutambua mchango wao ndo kuwacha wanakufa njaa ?
 
lin wataanza kuthaminiwa kama hamtaki mapungufu yao hamtak watu wayaseme , ni aibu kazi ya ualimu ni kwa wale walioferi na ndio maana wanalipwa kiduchu
walioferi unamaanisha nini??
 
kuwaheshimu ni kuficha matatizo yao ili yasitatuliwe?
Walimu kushangaa subaru ndiyo matatizo ya walimu? Na hiyo ndiyo namna ya kufichua matatizo ya walimu??
Hapana walimu waheshimiwe
 
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Maisha hayana mwenyewe usitukane mamba angali hujavuka mto na nidhamu ya mdomo na matamshi yako ni silaha kubwa sana kwa mwanaume …. Chunga sana kupitia hii thread nadhani ushajitathmini hulka yako ya ushindanishi na upumbavu
 
Subaru Forester ni vigari ya watu wa kipato cha chini hata walimu wanaweza kuwa nayo, kwa hiyo mko level moja nao. Ni vipao mbele tu. Acha majivuno na ushamba wa magari, hiyo sio gari ya kuringishia watu. Tafuta hela ununua chuna ya maana.
 
Mpwayungu umebadilisha ID. Duniani watu hawafanani. Kuna matajiri na masikini. Universal nature ndivyo ilivyo. Serikali ndiyo inayotesa walimu. Wachache wanapewa posho (walimu wakuu), walimu wengine hawapewi. Kosa ni la SERIKALI
 
Umeenda kwenye kikao cha shule...tena cha walimu wakuu...wewe ukiwa kama nani??? Je siyo miongoni mwa hao walimu ?

Hizi gari mnazonunua kwa pesa za urithi ndo zinawapa viburi.
 
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
WALIMU WA JF TUNAONEWA SANA
 
Tumia akili
downloadfile-1.jpg
 
Mwenzako mpwayungu alitaka kumalizia stress zake kwa walimu,alikutana na pin mpaka akatamani bora angezaliwa mwanamke.Na mpaka sasa vita imemshinda
 
Subaru Forester ni vigari ya watu wa kipato cha chini hata walimu wanaweza kuwa nayo, kwa hiyo mko level moja nao. Ni vipao mbele tu. Acha majivuno na ushamba wa magari, hiyo sio gari ya kuringishia watu. Tafuta hela ununua chuna ya maana.
Mi kule juu nilikambia kaache kuropokwa hivyo kaache ligi za kijinga.Na nilitaka kajibu ili tuweke bond kaone watu wanamiliki magari gani
 
Mtoa mada ni Mshamba sana

Kwanza Walimu wenyewe sikuhizi karibu wote wana magari tena mazuri tu

Walikushangaa kwa kukuona Mshamba
 
Back
Top Bottom