Kilichowaleta Kunguni Humo Ni Wivu TuKunguni hawangalii masikini wala tajiri.
Prado hizo ziko 2. noah 2. Amarok 1. Pick up 1, Terrano 1, Pikipiki XL 250 iko 1.
Vikorokoro ni vingi ndio maana wadudu wanaingia bila taarifa
Mama angu alinisimulia kuwa kunguni zamani hizo kijijini walikuwa wanasumbua,mpk serikali ya kijiji inawahamisha watu,mnaweza hama mwaka mzima mkaacha nyumba,makazi mkirudi kunguni mnawakuta![emoji119][emoji848]nikasema hawa wadudu kiboko!kinguni sio uchafu mzee hawa wadudu hawana adabu tu
nakumbuka mwaka fulani MAREKANI kunguni lilikuwa JANGA kubwa kwao mpk likajadiliwa kwenye BUNGE nakumbuka kipindi hicho RAISI alikuwa OBAMA
hoja ilikuwa KUNGUNI wao dawa zote zimegonga mwamba na wanekuwa wengi mno
HUKO uganda JESHI la KULINDA nchi liliingilia kati na kuchukua OPERESHENI maalum ya kuwa tokomeza Baada ya wananchi kuomba msaada zaidi toka serikalini
hawa wanajeshi wanaweza kukaa kimya mwaka mzima tena bila hata ya kula
wakiwa wanafanya tafiti zao katika maabara kutengeneza chanjo zao kukabiliana na madawa mbalimbali
na dawa ikiwa kali sana kwao inawaua
wanachukua sample na kuisambaza katika maabara zao dunia nzima na kuifanyia uchunguzi mpk wanapata SOLUTION
ndio ile unakuta wametulia hata mwaka mzima lkn ghafla wanaibuka tena na ukitumia hiyo dawa tena haiwadhuru kumbe wajomba washaifanyia utafiti na kupata ANTDOTE yake
hawa wadudu inahitajika kampeni ya mwakamzima wewe ukisikia dawa yoyote unawapelekea moto tu hata kma unaona wameisha inakupaswa kila baada ya wiki 2 au mwenzi unapuliza dawa tofauti tofauti
Ngao ndo ipi tena?Hiyo machine sio mchezo niliitumia kuua mende .Sehemu nilipomwagia kila mdudu aliekua anakatiza huo ukanda alikua anakufa kwa miaka 3 mfululilizo.
Hakuna kitu,mi ilidunda,yaani hata hawakushtuka!Dawa ya kunguni mkuu ni mafuta ya taa na sabuni ya unga
Mimi hii ilidunda! Haijuwauwa!Sawa sawa mkuu ila ukitaka iwe mujarabu unatia na chumvi lazma wakasimulieane uko akhera!
Jamani labda km kunguni wako wa aina tofauti,ila hawa naowajua Mimi hii njia ilifeli!Kunguni hata MAJI YA POVU KALI unawaua vizur tu.. Nunua sabun ya buku 2 dofi alaf changanya yote na maji Lita 20 njoo nishkuru baada ya wiki alafu mwagia KO na zote Kama unaosha kitanda
Mkuu hiyo dawa ni hatari sema umeweka kidogo ungechukua za 100ml chupa tatu ukapuliziaKunguni wanakera sana, unakosa usingizi wakati mwingine unadhalilika!
Basi bwana kuna hii dawa inaitwa diazinone, niliitumia mwaka 2015 na nikafanikiwa kuwaangamiza hawa wadudu korofi.
Ghafla tena naitwa nyumbani kwamba wadudu wanasumbua, njoo utupe msaada, nikaenda kweli nikakuta wamejaa kwenye neti, godoro mpaka kitandani, hadi watoto wamehamishiwa vyumba vingine.
View attachment 1938474View attachment 1938476
Nilivyoona hii hali basi nikaingia mjini na sh elfu 10 tu nikiwa na uhakika hii inamaliza kila kitu.
Kweli, nikapata dawa chupa 1 sh elfu 2.5 nikachukua 2 kwa elfu 5.
Chupa ya spray nikabeba kwa elfu 4.
View attachment 1938493
Chupa 1 unachanganya na lita 2 za maji safi.
View attachment 1938504
Kisha unakoroga vizuri (hakikisha kama unaweza uvae gloves, barakoa kuoa suffocation, PPE ni muhimu maana hii ni sumu hatari sana)
Nikachanganya dawa vizuri na maji mpaka ikawa kama maziwa
View attachment 1938512
Baada ya hapo nikaweka kwenye chupa nikaanza spray, vitu vyote lazima viwe katika sehemu ya wazi yenye hewa na mwanga wa kutosha ili mdudu aonekane vizuri na kuepuka suffocation.
Kusema kweli hii dawa ilileta matokeo mazuri sana mpaka sasa wadudu wamepungua kwa asilimia 90
SawaChawa ndo wanaletwa na uchafu
Sawa, ila mara nyingi nimekuwa nikiona kunguni kwenye poor housing systems na mazingira ambayo si masafi sana.Chawa ndo wanaletwa na uchafu
Sijui kwa wengine ila mi home waliletwa na dada wa kazi kutoka kijijini!Sawa
Sawa, ila mara nyingi nimekuwa nikiona kunguni kwenye poor housing systems na mazingira ambayo si masafi sana.
Sure kaka icho chuo ni noma, pamoja na kua cha technologia, wamekosa teknolojia ya kuwaondoa hao viumbeSema tuu chuo jirani na Azania secondary school [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Kunguni hawana adabu, niliwaokota hostel nikawapeleka home, piga dawa waapi, bimkubwa aliishia kutupa masofa yake aliyokuwa anayapenda kama nini sijui, hata sijui walikuja kuishake pale home.Heeee yaani mna mpaka prado mna net ya maana mapazia ya bei nyumba ina rangi lakini hao wadudu wanaingia, pole
Pale UJAMAA 1 , Walinipa tabu saanaWale wa Pugu Boyz kwenye mabweni wachukue notes za maangamizi ya kunguni
Mtakua watu wachafu sana mpka mpate kunguni,badilikeni acheni kua wachafu...Kunguni wanakera sana, unakosa usingizi wakati mwingine unadhalilika!
Basi bwana kuna hii dawa inaitwa diazinone, niliitumia mwaka 2015 na nikafanikiwa kuwaangamiza hawa wadudu korofi.
Ghafla tena naitwa nyumbani kwamba wadudu wanasumbua, njoo utupe msaada, nikaenda kweli nikakuta wamejaa kwenye neti, godoro mpaka kitandani, hadi watoto wamehamishiwa vyumba vingine.
View attachment 1938474View attachment 1938476
Nilivyoona hii hali basi nikaingia mjini na sh elfu 10 tu nikiwa na uhakika hii inamaliza kila kitu.
Kweli, nikapata dawa chupa 1 sh elfu 2.5 nikachukua 2 kwa elfu 5.
Chupa ya spray nikabeba kwa elfu 4.
View attachment 1938493
Chupa 1 unachanganya na lita 2 za maji safi.
View attachment 1938504
Kisha unakoroga vizuri (hakikisha kama unaweza uvae gloves, barakoa kuoa suffocation, PPE ni muhimu maana hii ni sumu hatari sana)
Nikachanganya dawa vizuri na maji mpaka ikawa kama maziwa
View attachment 1938512
Baada ya hapo nikaweka kwenye chupa nikaanza spray, vitu vyote lazima viwe katika sehemu ya wazi yenye hewa na mwanga wa kutosha ili mdudu aonekane vizuri na kuepuka suffocation.
Kusema kweli hii dawa ilileta matokeo mazuri sana mpaka sasa wadudu wamepungua kwa asilimia 90
Dah wale jamaa ni jeshi kweli, wakati nipo boarding bhana, ukiingia tu kitandani Hao wanaanza kuja mdogo mara wanaingia kwenye nywele, utasikia shingoni wengine wanauma mapajani na mikoni,Kunguni ni kama jeshi la wa Vietnam katika Movie za kimarekani
Wana speed kali, halafu wanakua kunyuti, mumgu kawajaalia wale wapuuzi, anasimama sehemu na huhisi km kuna kitu, siku moja niko hostel mchana, namuona kabisa nikajidai kujitikkisa alisogea kidoogo kwa speed ya ajabu kisha akasimama, pale aliposimama huwezi kujua kama kuna kitu. Ndio nikajua hawa umbwa kwanin usiku anakuuma ila ukishtuka kapoteaDah wale jamaa ni jeshi kweli, wakati nipo boarding bhana, ukiingia tu kitandani Hao wanaanza kuja mdogo mara wanaingia kwenye nywele, utasikia shingoni wengine wanauma mapajani na mikoni,
Nilikua nikishtuka kwa kuchoka vurugu zao nawasha tochi/solartaa, mara naona wahuni wanasepa speed kwenye machimbo yao, ukilala tena hao wanakuja tena.
Utakuwaje msafi kama wewe sio mchafu?Mtakua watu wachafu sana mpka mpate kunguni,badilikeni acheni kua wachafu...
Dawa ilikuwa inakuja na vyandarua vile va msaada.Ngao ndo ipi tena?
Hawa wadudu washenzi sana. Hiyo dawa imenifaa pia. Inapendekezwa maji hayo yawekewe sabuni ya unga. Ifanyike mara kadhaa hata kwa muda wa wiki mbili mpaka tatizo litakapoisha. Aidha, inapofanyika hivyo si budi kuanika baadhi ya vitu nje mfano. Godoro, chaga, n.kSuluhisho pekee la Kunguni ni Maji ya Moto. Chemsha Maji yapate Moto kwa kiwango cha Juu kabisa halafu kamwagie Sehemu zote zenye Mazalia yao. Fua vitu vyote halaf anika Juani baada ya hapo kunguni utawasikia kwa wengine