Nimefanikiwa kupambana na kunguni na kuwapunguza kwa kiasi kikubwa sana

Nimefanikiwa kupambana na kunguni na kuwapunguza kwa kiasi kikubwa sana

Kunguni hawangalii masikini wala tajiri.

Prado hizo ziko 2. noah 2. Amarok 1. Pick up 1, Terrano 1, Pikipiki XL 250 iko 1.

Vikorokoro ni vingi ndio maana wadudu wanaingia bila taarifa
Kilichowaleta Kunguni Humo Ni Wivu Tu
Pia Tumia Dawa Inaitwa Lava Nayo Hii Bhaghosha
 
kinguni sio uchafu mzee hawa wadudu hawana adabu tu
nakumbuka mwaka fulani MAREKANI kunguni lilikuwa JANGA kubwa kwao mpk likajadiliwa kwenye BUNGE nakumbuka kipindi hicho RAISI alikuwa OBAMA
hoja ilikuwa KUNGUNI wao dawa zote zimegonga mwamba na wanekuwa wengi mno

HUKO uganda JESHI la KULINDA nchi liliingilia kati na kuchukua OPERESHENI maalum ya kuwa tokomeza Baada ya wananchi kuomba msaada zaidi toka serikalini


hawa wanajeshi wanaweza kukaa kimya mwaka mzima tena bila hata ya kula
wakiwa wanafanya tafiti zao katika maabara kutengeneza chanjo zao kukabiliana na madawa mbalimbali

na dawa ikiwa kali sana kwao inawaua
wanachukua sample na kuisambaza katika maabara zao dunia nzima na kuifanyia uchunguzi mpk wanapata SOLUTION
ndio ile unakuta wametulia hata mwaka mzima lkn ghafla wanaibuka tena na ukitumia hiyo dawa tena haiwadhuru kumbe wajomba washaifanyia utafiti na kupata ANTDOTE yake

hawa wadudu inahitajika kampeni ya mwakamzima wewe ukisikia dawa yoyote unawapelekea moto tu hata kma unaona wameisha inakupaswa kila baada ya wiki 2 au mwenzi unapuliza dawa tofauti tofauti
Mama angu alinisimulia kuwa kunguni zamani hizo kijijini walikuwa wanasumbua,mpk serikali ya kijiji inawahamisha watu,mnaweza hama mwaka mzima mkaacha nyumba,makazi mkirudi kunguni mnawakuta![emoji119][emoji848]nikasema hawa wadudu kiboko!
Lkn sikuhizi dawa zipo,wanakufa kabisa!
Mi niliyotumia walikufa kabisa hawakubaki!
 
Kunguni hata MAJI YA POVU KALI unawaua vizur tu.. Nunua sabun ya buku 2 dofi alaf changanya yote na maji Lita 20 njoo nishkuru baada ya wiki alafu mwagia KO na zote Kama unaosha kitanda
Jamani labda km kunguni wako wa aina tofauti,ila hawa naowajua Mimi hii njia ilifeli!
 
Kunguni wanakera sana, unakosa usingizi wakati mwingine unadhalilika!

Basi bwana kuna hii dawa inaitwa diazinone, niliitumia mwaka 2015 na nikafanikiwa kuwaangamiza hawa wadudu korofi.

Ghafla tena naitwa nyumbani kwamba wadudu wanasumbua, njoo utupe msaada, nikaenda kweli nikakuta wamejaa kwenye neti, godoro mpaka kitandani, hadi watoto wamehamishiwa vyumba vingine.

View attachment 1938474View attachment 1938476

Nilivyoona hii hali basi nikaingia mjini na sh elfu 10 tu nikiwa na uhakika hii inamaliza kila kitu.

Kweli, nikapata dawa chupa 1 sh elfu 2.5 nikachukua 2 kwa elfu 5.

Chupa ya spray nikabeba kwa elfu 4.

View attachment 1938493

Chupa 1 unachanganya na lita 2 za maji safi.

View attachment 1938504

Kisha unakoroga vizuri (hakikisha kama unaweza uvae gloves, barakoa kuoa suffocation, PPE ni muhimu maana hii ni sumu hatari sana)

Nikachanganya dawa vizuri na maji mpaka ikawa kama maziwa

View attachment 1938512

Baada ya hapo nikaweka kwenye chupa nikaanza spray, vitu vyote lazima viwe katika sehemu ya wazi yenye hewa na mwanga wa kutosha ili mdudu aonekane vizuri na kuepuka suffocation.

Kusema kweli hii dawa ilileta matokeo mazuri sana mpaka sasa wadudu wamepungua kwa asilimia 90
Mkuu hiyo dawa ni hatari sema umeweka kidogo ungechukua za 100ml chupa tatu ukapulizia
Mimi pia nafanya famigation
 
Sawa
Sawa, ila mara nyingi nimekuwa nikiona kunguni kwenye poor housing systems na mazingira ambayo si masafi sana.
Sijui kwa wengine ila mi home waliletwa na dada wa kazi kutoka kijijini!
Na hakukuwa na uchafu!
 
Kunguni ni kama jeshi la wa Vietnam katika Movie za kimarekani
 
Heeee yaani mna mpaka prado mna net ya maana mapazia ya bei nyumba ina rangi lakini hao wadudu wanaingia, pole
Kunguni hawana adabu, niliwaokota hostel nikawapeleka home, piga dawa waapi, bimkubwa aliishia kutupa masofa yake aliyokuwa anayapenda kama nini sijui, hata sijui walikuja kuishake pale home.
 
Kunguni wanakera sana, unakosa usingizi wakati mwingine unadhalilika!

Basi bwana kuna hii dawa inaitwa diazinone, niliitumia mwaka 2015 na nikafanikiwa kuwaangamiza hawa wadudu korofi.

Ghafla tena naitwa nyumbani kwamba wadudu wanasumbua, njoo utupe msaada, nikaenda kweli nikakuta wamejaa kwenye neti, godoro mpaka kitandani, hadi watoto wamehamishiwa vyumba vingine.

View attachment 1938474View attachment 1938476

Nilivyoona hii hali basi nikaingia mjini na sh elfu 10 tu nikiwa na uhakika hii inamaliza kila kitu.

Kweli, nikapata dawa chupa 1 sh elfu 2.5 nikachukua 2 kwa elfu 5.

Chupa ya spray nikabeba kwa elfu 4.

View attachment 1938493

Chupa 1 unachanganya na lita 2 za maji safi.

View attachment 1938504

Kisha unakoroga vizuri (hakikisha kama unaweza uvae gloves, barakoa kuoa suffocation, PPE ni muhimu maana hii ni sumu hatari sana)

Nikachanganya dawa vizuri na maji mpaka ikawa kama maziwa

View attachment 1938512

Baada ya hapo nikaweka kwenye chupa nikaanza spray, vitu vyote lazima viwe katika sehemu ya wazi yenye hewa na mwanga wa kutosha ili mdudu aonekane vizuri na kuepuka suffocation.

Kusema kweli hii dawa ilileta matokeo mazuri sana mpaka sasa wadudu wamepungua kwa asilimia 90
Mtakua watu wachafu sana mpka mpate kunguni,badilikeni acheni kua wachafu...
 
Kunguni ni kama jeshi la wa Vietnam katika Movie za kimarekani
Dah wale jamaa ni jeshi kweli, wakati nipo boarding bhana, ukiingia tu kitandani Hao wanaanza kuja mdogo mara wanaingia kwenye nywele, utasikia shingoni wengine wanauma mapajani na mikoni,
Nilikua nikishtuka kwa kuchoka vurugu zao nawasha tochi/solartaa, mara naona wahuni wanasepa speed kwenye machimbo yao, ukilala tena hao wanakuja tena.
 
Dah wale jamaa ni jeshi kweli, wakati nipo boarding bhana, ukiingia tu kitandani Hao wanaanza kuja mdogo mara wanaingia kwenye nywele, utasikia shingoni wengine wanauma mapajani na mikoni,
Nilikua nikishtuka kwa kuchoka vurugu zao nawasha tochi/solartaa, mara naona wahuni wanasepa speed kwenye machimbo yao, ukilala tena hao wanakuja tena.
Wana speed kali, halafu wanakua kunyuti, mumgu kawajaalia wale wapuuzi, anasimama sehemu na huhisi km kuna kitu, siku moja niko hostel mchana, namuona kabisa nikajidai kujitikkisa alisogea kidoogo kwa speed ya ajabu kisha akasimama, pale aliposimama huwezi kujua kama kuna kitu. Ndio nikajua hawa umbwa kwanin usiku anakuuma ila ukishtuka kapotea
 
Suluhisho pekee la Kunguni ni Maji ya Moto. Chemsha Maji yapate Moto kwa kiwango cha Juu kabisa halafu kamwagie Sehemu zote zenye Mazalia yao. Fua vitu vyote halaf anika Juani baada ya hapo kunguni utawasikia kwa wengine
Hawa wadudu washenzi sana. Hiyo dawa imenifaa pia. Inapendekezwa maji hayo yawekewe sabuni ya unga. Ifanyike mara kadhaa hata kwa muda wa wiki mbili mpaka tatizo litakapoisha. Aidha, inapofanyika hivyo si budi kuanika baadhi ya vitu nje mfano. Godoro, chaga, n.k
 
Back
Top Bottom