Nimefanikiwa kuukwepa mzinga wa JWTZ muda huu

Tatizo mna wengi Sasa🙆
 
Tatizo mna wengi Sasa🙆
No
Sio tuna watu wengi

Wanawake mnaomba hela hadi marafiki nowadays tena distant friends

I’ve had a scenario mdada kwenye contact yangu ambaye hatuwasiliani hata mara 2 kwa mwezi nikaombwa hela tena zaidi ya 15k

Mtu unaona kabisa huyu mtu hayupo serious
Na wanawake mnaona sawa kwasababu nowadays ni kama kila kitu kinawasapoti kuomba hela mnaomba ovyo ovyo tu

Afu kuna watu wanalalamika 15k
Hivi mnaijua 15k nyie😁😂
 
Hahahahahahaha...sawa sawa ..15k eti haitoshi...sasa ukiwasoma humu ndio wanadanganyana sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…