Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Its the last thing i will do alive
Halafu mkianza kuharisha mnalalamika kuwa mnanyanyapaliwa. Acheni michepuko kwani ni dhambi na ni hatari kiafya.
Kwan housegirl hafai kwa matumizi ya binadamu? acha roho mbaya ww
Wadau hapa juzi kati niliingia tama nikamtawanya housegirl wetu hapa hom. sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa. Duuh Najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!!!
Wadau hapa juzi kati niliingia tama nikamtawanya housegirl wetu hapa hom. sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa. Duuh Najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!!!
Yaan vibichi kama hivyo unavipa kwanza kama miezi 6 ya kupata afya na kubadilisha ngozi..siku kikipata ata mafua unajitolea kukapeleka hospital unampa buku 10 mtu wa mahabara anapima kila kitu....baada ya hapo unajipongeza tu mwenyewe...
..Na huku ndiko unaweza pata vitu brand new ambavyo sikuhizi kwa wake havipo...unajifungulia naniliuu mwenyewe....
Seriously, hivi hizi ni habari za kuleta hadharani kweli?Wadau hapa juzi kati niliingia tamaa nikamtawanya housegirl wetu hapa home.
sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa.
Duuh najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!