Nimefedheheka sana na kuamua kuzima Runinga. Yaani walimu wanatumika kisiasa kumpigia kampeni Rais Samia 2025! Huku wamejaa dhiki

Kwani mwalimu wa kiswahili mbona unasumbua watu
Ni swala la uelewa tu ndugu yangu ukiona mtu anatukana mwalimu huyo hana tofauti na anaye utukana uchi wa mama yake ulio mtoa baana ya yeye kujiona kakua.
 
Mi nilikuwa napata sup bar fulani hapa mtaani, mhudumu alikuwa amefungu tbc. Niliposhuhudia yale masifa, ghafla nilitapika. Sup yangu yote imetoka. Ndio nimeondoka hapo kama dk 20 hivi zilizopita.
Labda una mimba changa ndo maana umetapika wala siyo TBC.
 
Ni swala la uelewa tu ndugu yangu ukiona mtu anatukana mwalimu huyo hana tofauti na anaye utukana uchi wa mama yake ulio mtoa baana ya yeye kujiona kakua.

MIMI NILIFAULU KWA AKILI ZANGU MWALIMU HAJACHANGIA CCHTE
 
Wasukuma ndo maana masimangwa kila siku. Hivi hili nalo ni jambo la kuja kuanika mbele ya watu. Unawalingishia watu na diploma?
 

Watazido kudharaulika day in day out mpaka watakapo amka na kutoka usingizini
 
N
Watazido kudharaulika day in day out mpaka watakapo amka na kutoka usingizini
Nani aliyewahi kuamka hapa nchini?Kila mwaka CAG anaanika ufisadi mkubwa, je wananchi wameshaamka kupitia hizo ripoti? Matokeo ya Uchaguzi kuchakachuliwa wananchi wameshaamka? Kule Zanzibar walishafanikiwa kuuvunja Muungano wa kulazimisha? Kwanini Walimu tu ndo muwaone hawajaamka nchini?
 

Hao walimu wanatokea kwenye jamii ipi?
Unachokiona kwa walimu ni reflection ya jamii ya kitanzania.
Kuna tabia ya uchawa (wenyewe wanaita unyenyekev) ambayo imekuwa imprinted tokea ngazi ya familia.
Unless ngazi ya familia ianze kubadilika there will be no change forever
 
Kama wao wameridhika, wewe kinachokuuma nini? Pumbavu!!
 
Sasa kama unajua Walimu ni reflection ya jamii ya Kitanzania (yeye akiwa product ya jamii hiyo) kwanini ukae ukimsakama Mwalimu tu ilhali hilo ni tatizo la jamii nzima?
 
Mzee wa kangara kwan ulikua unategemea kipi toka kwa waalimu? Jus same story hawana impact yoyote juu ya maslahi yao!!
 
Kwahiyo mnyonge wa mwalimu ni jobless?
Mbona unatutisha kuingia huko?
Walimu hawana mnyonge, jobless citizens Wana stress kibao, sasa badala ya kupambana na serikali wao kila siku kupambana na walimu.
 
Wasukuma ndo maana masimangwa kila siku. Hivi hili nalo ni jambo la kuja kuanika mbele ya watu. Unawalingishia watu na diploma?
Anafikiri diploma aliyoenda na failure yake ya 6, hao walimu hawakuwa na Vigezo vya kuusoma!! Kafeli 6 sasa kajipanga kuwasimamga waliomzidi ufaulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…