The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,228
- 1,447
punguza stress na kuwa na matarajio makubwa/matarajio kwa ujumla, utaishi kwa furaha na kwa miaka mingiOfcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Kila siku nmechoka kuwaelekeza...waliokuepo kikao wanakumbuka tuliongea nini na nilisemaje kuhusu hili swala la kusafiri huku umeacha umeyakoroga huko kwenye ndoa zenu fika mnajua kabisa nini kitatokea baada ya ww kuondoka umemuacha mkeo akiwa na jazba...Ofcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Tokomea moja kwa moja usirudiiii.........................Ofcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Cc Mahondaw, duh huyu mwamba anayemaliziaga hivi huwa anajua kunivunja mbavu!!
Umesema mtoto wa kiume? Hao ni wengi sana, lakini WANAUME ni wachache siku hiziKAKA KUNA VITU UKISHAKUWA MTOTO WA KIUME UNAPASWA KUJUA NAMNA YA KUVIHANDLE, HIYO NI CHANGAMOTO ILA ONESHA UANAUME WAKO, WEWE NDO KIONGOZI, UKIMTAFUTA SIO TATIZO.
Hata wewe una jukumu la kumfahamisha kama umefikaOfcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Mpige na upande wa kangaOfcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka..
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Kama vipi nipe namba yake nimseme.Hata wewe una jukumu la kumfahamisha kama umefika
Huna mke hapo kijana, tafuta mke mwingine atakaye kujali wakati woteNifanyaje wakubwa?
I agreeHujaacha hela ya natumizi Mjinga wewe.
Lenyewe hilo popoma lako limeacha limeyakoroga ndiyo maana hata hawana haja ya kulijulia hali!Amekuchoka huyoo, hana hata hofu umefika salama au laa! Na ni mke wa ndoa. Inaumiza kwelikweli,
Familia wote mkijifanya much know hamuwezi kufika popote,mi huwa nashangaa inakuwaje mtu mnagombana mpaka unasafiri unaacha mgogoro,I wish initokee hata siku moja make hapa kwangu hata lisaa halipi ugonvi umeisha.Nashauri mtafute mjulishe kuwa umefika salama safari yako.
Mwenye wajibu wa kutoa taarifa ya mwenendo wa safari ni wewe uliesafiri hata kama hajakuuliza japo mnavyoishi sio kabisa.
Hongera sana kwa mawazo ya kiutuuzima. Ndivyo tufanyavyo. Wengi hupenda kuomba msamaha ili mengine yaishe. Sasa mdau anafeli hata hili kweli?KAKA KUNA VITU UKISHAKUWA MTOTO WA KIUME UNAPASWA KUJUA NAMNA YA KUVIHANDLE, HIYO NI CHANGAMOTO ILA ONESHA UANAUME WAKO, WEWE NDO KIONGOZI, UKIMTAFUTA SIO TATIZO.