asubuhi sana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 1,667
- 1,411
Pole sana homeboy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba hujui kuna corona...?Habari za corona umezitoa wapi?
Unahisi hapa ni sehemu sahihi kwa hili swali lako?[emoji35][emoji35][emoji35][emoji34][emoji34][emoji2959][emoji2959][emoji2959]Queen of Sheba alikufungulia Uzi , unahusika na kumtapeli ,kuna ukweli ktk hilo?
Kwa hiyo tusiongelee korona ? Kwamba haipo au unajaribu kusema nini? Tumeambiwa tuepuke mikusanyiko isiyo ya lazima ila kwa kuwa huu ni msiba lazima watu waende kuzika wameshauriwa wajikinge. Kosa la mdau liko wapi?Habari za corona umezitoa wapi?
Pole sana mkuuHabari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.
Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"
Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.
Nawapenda na Mungu Awabariki.
😄😄We jamaa bhana ..Wagigisi wanasema Bia Yetu ndio alikuwa yule kiongozi wa malaikaPole sana ndugu.
Baba yako alikuwa humu JF? Maana kuna member kafariki, ukute ndiyo mzee wako.
Jamani mtu yupo kwenye majonzi masuala ta kutapeliana baadae kwanza.Queen of Sheba alikufungulia Uzi , unahusika na kumtapeli ,kuna ukweli ktk hilo?
Wewe mtu yupo kwenye majonzi unaanza kuleta porojo za kurudisha pesa eboo..wewe vip wewe?Pole sana, vipi hela ya mrembo wa watu umerudisha?
Wengi "tunauguza" mzee ..tumetulia tu tu napambana na hali zetu..Pole sana mkuu mimi pia nauguza Mzee wangu, ila bado namwamini Mungu
SawaWengi "tunauguza" mzee ..tumetulia tu tu napambana na hali zetu..
Pole sana mkuu,MUNGU aware uvumilivu ktk kipindi hiki kigumuHabari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.
Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"
Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.
Nawapenda na Mungu Awabariki.
Dawa ya deni ni kulipa.Wewe mtu yupo kwenye majonzi unaanza kuleta porojo za kurudisha pesa eboo..wewe vip wewe?
Enewei kuna mtu alishawahi kumtapeli? Mimi siwezi kuamini kabisa.
Hello mama..Pole
Tungekuwa na utaratibu wa kutoa rambirambi humu. Hili jukwaa ni kubwa mno