TANZIA Nimefiwa na baba yangu mzazi

TANZIA Nimefiwa na baba yangu mzazi

Habari za corona umezitoa wapi?
Kwamba hujui kuna corona...?

Na husambazwa endapo mtu mmoja mwenye virusi asiyejikinga akakutana na mtu mwingine asiyejikinga kiasi cha kubadilishana hewa?

Sasa je huoni ikitokea watu wengi wamekusanyika kuomboleza msiba, umakini wa kujikinga unakuwa ni mchache?
 
Queen of Sheba alikufungulia Uzi , unahusika na kumtapeli ,kuna ukweli ktk hilo?
Unahisi hapa ni sehemu sahihi kwa hili swali lako?[emoji35][emoji35][emoji35][emoji34][emoji34][emoji2959][emoji2959][emoji2959]
 
Habari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.

Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"

Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.

Nawapenda na Mungu Awabariki.
Pole sana mkuu
 
Pole sana, vipi hela ya mrembo wa watu umerudisha?
Wewe mtu yupo kwenye majonzi unaanza kuleta porojo za kurudisha pesa eboo..wewe vip wewe?

Enewei kuna mtu alishawahi kumtapeli? Mimi siwezi kuamini kabisa.
 
kwann useme mzee wetu akiwa kafariki, akati unamuuguza ulimwambia nn

kifo ni sherehe tulitakiwa tushiriki kuuguza ndg
 
Habari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.

Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"

Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.

Nawapenda na Mungu Awabariki.
Pole sana mkuu,MUNGU aware uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu
 
Back
Top Bottom