Nimefuatilia na kujiridhisha kwamba SUKUMA GANG twende na Tundu Lissu hakika 2025 tunachukua dola

CCM inaumiza sana kichwa
 
That's why I am emphasizing: "By Any Means Necessary"; nothing is excluded.
 
Usichanganye kususa na kupuuza. Hakuna haja ya kupoteza muda. Njia nyingine ianze mara moja bila kuchelewa.
 
CCM inaumiza sana kichwa
Sasa imetufikisha pabaya zaidi, sioni ni kwa vipi itasalimika safari hii ikibaki kama ilivyoundwa sasa hivi.
Labda salama yao inawezekana ikapatikana kwa kunyukana wao kwa wao humo humo ndani kwa ndani na kuyatupa nje machicha.

Hili nalo litawezekana tu, kwa uzembe wa vyama vya upinzani, hususani CHADEMA.

Vinginevyo, hata CCM ifanye sarakasi zipi, safari hii haponi.
 
Usichanganye kususa na kupuuza. Hakuna haja ya kupoteza muda. Njia nyingine ianze mara moja bila kuchelewa.
Tofauti ya "kususa na kupuuza", hili nilikuwa sijaliweka maanani.

Hata hivyo nikiri kutojua tofauti yake, na inavyoweza kuleta matokeo tofauti; moja kati ya hayo maneno likitumika kwenye uchaguzi.
 
What if CDM Wana mgombea mpya?

Maana wale Huwa hawarudii mgombea Urais.
 
Tundu, nimnafki sana, alishawahi kusema Magufuri kaitia hasara sana nchi kwakuingia mikataba ya hovyo leo anageuka nakutoa sifa
 
Tundu Lissu kumkubali Mwamba Magufuli atajizolea wazalendo wengi ndani ya CCM wanaochukizwa na ufisadi unaoendelea huko
Si ndani tu ya CCM, bali pia atajizolea umma wa watanzania walioamini ktk falsafa za mzalendo Magufuli
 
Lisu anaweza kutuhumiwa kwa uongo na uzushi anapokuwa kwenye shughuli za kisiasa,lakini siyo mtu anayeogopa kusema kile anachoamini.
Magufuli atabaki kuwa kiongozi bora zaidi TZ kuwahi kupata.
 
Lisu anaweza kutuhumiwa kwa uongo na uzushi anapokuwa kwenye shughuli za kisiasa,lakini siyo mtu anayeogopa kusema kile anachoamini.
Magufuli atabaki kuwa kiongozi bora zaidi TZ kuwahi kupata.
Sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…