Nimefuatilia na kujiridhisha kwamba SUKUMA GANG twende na Tundu Lissu hakika 2025 tunachukua dola

Anakubalika nyumbani kwako au ?
 
Lissu njia nyeupe hakuna cha sukuma gangi wala nini wananchi tunahitaji lissu kuliko wakati wowote
 
Lissu njia nyeupe hakuna cha sukuma gangi wala nini wananchi tunahitaji lissu kuliko wakati wowote
Bila Sukuma gang ni ngumu ni lazima umoja uwepo
 
Hatutaki chadema yenu hapa, iishie huko huko kaskazini.......kanda ya ziwa na chadema ni mbingu na ardhi, nitamshangaa msukuma aungane na chama hicho.
 
Lisu simuelewi katika hilii...
Mtaalamu wa Sheria za mikataba badala uchambue mkataba unatumia dakika tatu knaongea upuuzi kama huo.
Kusema mkataba ni WA hovyo bila justification ni upumbavu mtupu na ndio maana JPM alimfanyia kazi.
Asuburi aone wale wenzake waliopeleka kesi mahakamani kimihemko watakavyoangukia pia.
Hivi maana ya upinzani ni kupinga kila kitu?
Mbona wenzetu hata waliotuletea vyama vingi ikifika issue ya kitaifa wanaungana?
 
JPM alinfanyia kazi mzuri sio, sasa yuko wapi? Unataka apoteze muda wake ku justify nini hapo? Hivi ukiwa ccm unapoteza uwezo wa kifikiri uoni Lisu kama anakutete wewe na vizazi vyako mbeleni yaani wewe unatafauti gani na mtu anayeuza nyumba ya uridhi ili pate pesa ya kunywa visungura?
 
Ninyi ni wajinga tu huwezi kufungua mdomo wakati huna evidence halafu ujitetee Hana haja ya kujistify..
Leta hoja tumuelewe mbali na hapo ni kelele za kawaida za kisiasa.
Mwanasheria anajenga hoja si porojo kama hivyo.
 
Wewe utakuwa na mental Vibrio Cholera Diarrhoea
 
Kwa jinsi alivyoibeza Maiti ya Magufuli wakati anaagwa, Sina hamu naye tena.
 
Tundu Lisu akitubu na kwenda Chato kumlilia Magufuli kwenye kaburi lake ,tutamkubali
Kabisa
Aombe radhi kwanza, yale maneno maneno alikuwa anaongea wakati wa Msiba wa Magufuli yaliumiza wengi,
Yawezekana kwa sasa nia yake ni njema na ni kweli Lissu ni perfect Candidate ila asawazishe mambo kwanza, wafuasi wa Magu tuondoe vinyongo.
 
Tundu lisu sio predencial presidential material
 
Kabisa
Aombe radhi kwanza, yale maneno maneno alikuwa anaongea wakati wa Msiba wa Magufuli yaliumiza wengi,
Yawezekana kwa sasa nia yake ni njema na ni kweli Lissu ni perfect Candidate ila asawazishe mambo kwanza, wafuasi wa Magu tuondoe vinyongo.
Kumbe mnaoumwa kipindupindu ni wengi yaani huenda ulikuwa milembe wakati magufuli akiwa madarakani
 
Kumbe mnaoumwa kipindupindu ni wengi yaani huenda ulikuwa milembe wakati magufuli akiwa madarakani
Tupo wengi sana kiasi kwamba akisawazisha mambo atakuwa na wafuasi wengine wengi mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…