Nimefukuzwa kwenye duka la Kene Beibure ili apishwe mbunge Festo Sanga kufanya shopping

Litakuwa duka la nyota 5, plus na mambo ya asili si unajua watanzania wenzetu hao hata Kama ujapanga kwenda dukani unaweza jikuta umeenda tu
Yaap anajiamini!anajua mtaenda tu
 
Hiyo royal service yao ndiyo iliyokuponza bloangu,pole sana,wewe sio Royal kwao,umejipendekeza tu kwenda kufanya shopping pale, kwani hujasoma kipeperushi chao??
 
Na zile benki 2 za pale bungeni kwao wangekuwa wanafanya upuuzi kama huo, tungewasusia.
 
BillLugano aka KIDUKULILO atakuja kukueleza alicho kifanya kwa muuza samaki mmoja pale FERRY.
 
Kwanza ubunge ni kujua kusoma na kuandika tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…