Nimefukuzwa na mwenyeji wangu naomba msaada wa hifadhi Dodoma

2016..nimetoka home nimekuja kukaa na mchizi wangu
Getto kwao walikuwa na nyumba mbili
Yeye na getto lake kwao safi kidogo na sisi
Safi kidogo tumejuana ukubwani

Basi nikazoeleka hadi kwao ikawa ni kama kwetu
Kwa tabia nilizo kuwa nazo ikawa hata km sipo nimetoka wataniwekea chakula tu
Na nitaulizwa ulikuwa wapi? Mbn ujaaga
Basi nitakula nitarudi getto
Tumeishi hvyo hadi miaka 2 baadae huyo jamaa yangu alikuwa hawez kula hadi mm niwepo na mm ni km yy hata nikipata mchongo wwte lazma nimpe ela kidogo
Tukawa km ndugu nikaja kuajiriwa hadi sasa
Nina familia ya mtoto 1, sijaacha kwenda
Na wananipenda hadi leo hii,kila nikipita kawe mitaa ya maringo karibu na uwanja wa Tanganyika packers lzm nishuke kwenye gari nikasalimie nimekuta famikia imeongezeka kuna wajukuu wengi pale bs lazma nizame mfukoni niwanunulie japo
Juice juice au ice cream wale wajukuu
Kudumisha love na kulipa fadhila kidogo
Hakika mungu ni mwingi rehema.
 
Pole sana akufukuzae hakuambii toka, jaribu kufuata ushauri uliopewa wa kwenda kituo cha Polisi/Kanisani/Msikitini huko lazima utapata msaada, Mungu akusaidie.
 
Nyie mnalazimisha sana.mtu unaambia kisomi....sasa hivi ratiba zangu zipo tight sana. Unajibu ...nikija wala sitokusumbua sikai sana week 2 tu nashughulikia mambo yangu naondoka. Sasa kwa kuwa sisi hatupendi kupoteza muda tunakubali then....mnayaona.
Mpo wachoyo
 
Nyie mnalazimisha sana.mtu unaambia kisomi....sasa hivi ratiba zangu zipo tight sana. Unajibu ...nikija wala sitokusumbua sikai sana week 2 tu nashughulikia mambo yangu naondoka. Sasa kwa kuwa sisi hatupendi kupoteza muda tunakubali then....mnayaona.
Very true.
 
Mpo wachoyo
Si suala la uchoyo mjini si sawa na huko mikoani. Maisha yamechange sana hata imani hakuna kwa sasa. Sisi wenyewe mjini unakuta mwaka hamwonani na mpo hapa hapa Dar Mwenge na Sinza tu hapo. Mkiwasiliana kwa simu inatosha. Wewe unataka uje then nianze kukutembeza viwanja. .

Mimi huo muda sina. Kama ni demu unakuja tunapatq night moja au mqsaa kqdhaa tunabadilishana jasho. Then tunapeana muda wa kupumzika. Ndo maisha yalivyo si kugandana kama kupe.
 
Ume join JF jana tu ila upo kama unafahamu
 
Kukaa kwa Mtu ni kazi ngumu sana
 
Unaendeleaje kukaa kwa mwanaume mwenzio
Ukiwa na lengo la kutafuta maisha from scratch we fikia stend au sokon
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

ila watu wanachosha sana aisee.
 
lakini maisha magumu sana jamani.

yaani unawezakataliwa na ndugu zako wa damu,sembuse mshikaji tu wa kukutana juu kwa juu!!!

muhimu tujifunze kuwa na exit plan kabla hatujachokwa,yaani kwa mtu ukikaa sana siku 2,tena kwa dharula kweli kweli maana hata uhuru na aman unakosa.
 
Kwanza huyo kijana ajibu amekaa kwa mwenyeji wake muda gani hadi kafukuzwa?
Huenda ukamchukua anasema atakaa siku kadhaa akahamia hadi umfukuze Tena.
 

Ilikuwaje ukatoka Dar ukaenda Jehanamu kutafuta maisha?
 

Huyu ni mfano wa mwana mpotevu. Mwache a post hapa hela ya bundle ikiisha atauza hiyo simu apate nauli ya kurudi nyumbani kwao

Sasahivi bado ana nguvu 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…