zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
- Thread starter
-
- #41
Mbona upo? Umepigwa sana kwenye kampeni hizi. hta kule Tarime, Geita ulipigwa sana hzi kampeni unless unafuatilia kampeni ukiwa unategemea TBC.Hivi ule wimbo wa CHADEMA CHADEMA peoples power mmeupeleka wapi CDM?.
Ulikuwa mzuri zaidi ya huu.
Ila nyimbo zote zitaimbwa lakini CCM mbele kwa mbele wa marehemu Komba ni baba lao.
Acha waisome nambaa eee waisome nambaaa....[emoji3][emoji3]
Hilo la mikutano una maanisha "nyomi" au? Kama ni hivyo waulize waasisi wa kuzungusha mikono 2015.Mipango gani hamna? Kwa mara ya kwanza tuna mawakala kwenye kila kituo cha nchi hii tokea CHADEMA ianzishwe halijawahi tokea.
Kwa mara ya kwanza tumesimamisha wabunge na madiwani wengi kuliko chaguzi yoyote ile.
CHADEMA inatumia zaidi kanda zake kwenye kuandaa kampeni ndio maana kila anapopita mgombea Urais anakuta organization tofauti na kampeni za Slaa kila kitu kinaratibiwa ufipa.
Alafu unadai hatuna mipango? Umeona feedback ya mikutano ya Lissu kote alipopita? Hvi huoni kwa propaganda za Magu miaka 5 amepata serious contender tofauti na wengi tulivyofikiria kuwa upinzani umekufa?
Be serious
Sema atatangazwa tuHilo la mikutano una maanisha "nyomi" au? Kama ni hivyo waulize waasisi wa kuzungusha mikono 2015.
Nyie ngojeni muone Watanzania watakavyompa kura za kishindo JPM na nina imani hili litakuwa funzo mtakalojifunza kwa miaka mingi ijayo.
Ila hilo jisongi uchaguzi ukiisha tutawachangia kama litawasaidia kuwapunguzia machungu.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
YES,,,bonge la idea........Napendekeza pia liandaliwe tangazo la dakika 2-3 la Tundu Antiphas Lissu akiongea kwa utulivu kuhusu sera za chadema kwa ujumla. Awe amekaa nyuma yake Kuna bendera ya Tanzania, huku akiwa anawaomba kura watanzania na akitaja sera Kuu na vipaumbele vikuu vya Chadema.
Nyimbo hii iwe sehemu ya Tangazo hili Yaani Soundtrack wakati Lissu anazungumza!!
Tangazo hili likishaandaliwa liipiwe kurushwa kwenye Radio stations hasa za mikoani, na mijini bila kusahau Channel za Video( ITV na Clouds) pamoja na Channel za online.
Najua CCM wakiona hili wataiga na kutengeneza lao Ila Chadema na nyie tengenezeni lenu mkitumia hii nyimbo kama Soundtrack!!
Cc Chadema Diaspora, Tumaini Makene, John Mnyika na CHADEMA
Mkuu ule wa msigwa ni shida sna sio mbaya zaweza tumika zote ,ila ule wa msigwa ulipigwa mtu abaki ndani mi niliona sikuamini macho yanguHuu wimbo mkali sanaa wauachee huu huu
well NOTED...CHADEMA MAKAO MAKUU KITENGO CHA USHINDIYES,,,bonge la idea........
Natamani wazo hili lifanyiwe kazi, tena kwa haraka zaidi
Nani aliyekwambia 2015 hatukushinda? Mnapenda kurudia hii hoja sana wakati mnajua ukweli wa kilichotokea mlipovamia Tallying center mbili ya UKAWA na THRDC. Kma huna taarifa usiwe unaropoka tu.Hilo la mikutano una maanisha "nyomi" au? Kama ni hivyo waulize waasisi wa kuzungusha mikono 2015.
Nyie ngojeni muone Watanzania watakavyompa kura za kishindo JPM na nina imani hili litakuwa funzo mtakalojifunza kwa miaka mingi ijayo.
Ila hilo jisongi uchaguzi ukiisha tutawachangia kama litawasaidia kuwapunguzia machungu.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Chief, nawezaje kuudownload huo wimbo....?Sio CHADEMA tu taasisi nyingi bongo upande wa TEHAMA tunafeli sana, ukiingia mpaka website za taasisi kubwa unakuta update ya mwisho ni miaka 3 iliyopita.
Nadhani ofisi ya msajili wa vyama ilazimu vyama kuajiri professional IT experts ili waendane na mpango wa taifa wa maendeleo eneo la teknolojia. Nilidhani CHADEMA digital ingesolve hili ila naona bajeti wamepewa ndogo sana.
Magufuli hazidi asilimia 30 za kura za mwaka huu. Kubali kataa. Lissu atamchakaza vibaya saaana!!Hilo la mikutano una maanisha "nyomi" au? Kama ni hivyo waulize waasisi wa kuzungusha mikono 2015.
Nyie ngojeni muone Watanzania watakavyompa kura za kishindo JPM na nina imani hili litakuwa funzo mtakalojifunza kwa miaka mingi ijayo.
Ila hilo jisongi uchaguzi ukiisha tutawachangia kama litawasaidia kuwapunguzia machungu.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Mkuu tusubirie October 28 yaani CCM itawapa somo zuri sana.Magufuli hazidi asilimia 30 za kura za mwaka huu. Kubali kataa. Lissu atamchakaza vibaya saaana!!
Amini amini nakwambia Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas LissuMkuu tusubirie October 28 yaani CCM itawapa somo zuri sana.
Ni ushindi wa kishindo kwa JPM.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Huu mpya bado haujatoka public, utazinduliwa Lissu akisimama tena jukwaani.Chief, nawezaje kuudownload huo wimbo....?
Kiukweli una mzuka sana...tutautumia kwenye kampeni za madiwan wetu huku Mara
Yericko Nyerere toa mchanganuo wa matumizi ya hizo fedha tulizochanga kuboresha wimbo!
Previously nyimbo ilikua ya kampeni za Msigwa ila naona umeboreshwa uwe wa kitaifa. Unanibamba sana, inapaswa baada ya campaign uchukue nafasi ya ''one love'', inasaidia zaidi branding ya chama.
Source:
Unafananisha upuuzi wa zuchu na huu wimbo wa ukombozi?Copy paste from Zuchu
Zuchu hana wimbo mtamu hivi, labda neno high pekeeCopy paste from Zuchu