Wewe jamaa una high spirit ila ukweli ni kwamba Lisu atashindwa vibaya sana.Amini amini nakwambia Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu
Acha kufananisha utopolo wa Zuchu na Nyimbo kali hii wewe!!
Hii nyimbo tutaiimba huku tukibubujika machozi na kukimbia katika maeneo mbalimbali ya Tanzania tukisherekea ushindi hapo mwezi November mwaka huu.
Kama Mungu Mwenyezi Muumba wa mbingu na ardhi aishivyo lazima hili litokee kwa Jina la Yesu!
Take it from me!! Kuliko hii nchi kuwekewa vikwazo na kuwa Zimbabwe part II wenye akili wote wameona bora apewe Lissu wamuongoze aweke mifumo imara ambayo itamdhibiti Raisi.Wewe jamaa una high spirit ila ukweli ni kwamba Lisu atashindwa vibaya sana.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Soma uzi uelewe unaambiwa umefanyiwa remix baada ya michango ya wanachamaMbona wimbo bado unamtaja Msigwa mwanzo mwisho? Inakuwaje uwe wa chama huu?
CHAUMA tunakuja na bonge la song soon.
Utazinduliwa kwenye awamu ya 3 ya kampeni za Lissu. Since amepigwa ban basi utakua released sio muda mrefuWimbo mzuri. Huo ulioboreshwa uko wapi? Katika kuboreshwa ungetaja mikoa yote Tanzania
Mkuu huu ni ule wa iringa this time wanauboresha uwe wa taifa sasa na niliona yeriko alisema uko tayari hope utakuwa hatua za mwisho kabisaSafi sana. Huu wimbo asili yake ni toka kwa mwanamuziki wa nyimbo za injili wa zimbabwe anayeitwa mkhululi bhebhe. Wimbo unaitwa Namata ikiwa na maana ya "pray". Huu wimbo ulipata umaarufu ndani ya Joyous celebration. Huu wimbo ukiusikiliza tafsiri yake ni kwamba wanamkemea shetani. Wanamwambia
"shetani tunakuja kwaajili yako , na mapanga ya injili tukipiga kelele kwasababu wewe huna nguvu."
Mistari yake ya mwanzo hii hapa na tafsiri yake[emoji116][emoji116]
Iwe satani (Hey you Satan!) Hayi!
Tinouya (We're coming) Hayi!
Kwauri (For you) Hayi!
Nomunondo (With the sword) Hayi!
Weshoko (Of the gospel) Hayi!
Tichiti (Shouting) Hayi!
Hauna simba (You have no power) Hayi!
Kuvakomana (On the boys) Hayi!
Nevasikana (And the girls) Hayi!
Vakatengwa (For the've been bought) Hayi!
RaJesu (Of Jesus) Hayi!
Viva Jesu (Long live Jesus) Viva! x4
Naye Jesu (Yes Jesus) Naye! x4.
Hakika aliyefanya hii cover ya huu wimbo kajitahidi sana. Nashauri huu wimbo ungejikita kunadi mgombea urais na kuipraise chadema. Hayo maneno kama 'msigwa' au 'iringa' yanaomdoa radha kwa maeneo mengine mfano arusha. Nawasilisha wadau ni wazo tu.
Wimbo halisi huu hapa
Ok sawa mkuuSoma uzi uelewe unaambiwa umefanyiwa remix baada ya michango ya wanachama
Waongeze ziwe nyingi...Huu wimbo mkali sanaa wauachee huu huu
Mungu ibariki ChademaSiku moja nikiwa mbeya ,ulipigwa kwenye kampeni za sugu da wakinamama wa chadema mbeya wanajua utendea haki Sana wimbo huu,
Labda kwa kufukuza mawakala Wa vyama vya upinzani njeeeMkuu tusubirie October 28 yaani CCM itawapa somo zuri sana.
Ni ushindi wa kishindo kwa JPM.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Ingia websites ya CHADEMA andika haya maoniNapendekeza pia liandaliwe tangazo la dakika 2-3 la Tundu Antiphas Lissu akiongea kwa utulivu kuhusu sera za chadema kwa ujumla. Awe amekaa nyuma yake Kuna bendera ya Tanzania, huku akiwa anawaomba kura watanzania na akitaja sera Kuu na vipaumbele vikuu vya Chadema.
Nyimbo hii iwe sehemu ya Tangazo hili Yaani Soundtrack wakati Lissu anazungumza!!
Tangazo hili likishaandaliwa liipiwe kurushwa kwenye Radio stations hasa za mikoani, na mijini bila kusahau Channel za Video( ITV na Clouds) pamoja na Channel za online.
Najua CCM wakiona hili wataiga na kutengeneza lao Ila Chadema na nyie tengenezeni lenu mkitumia hii nyimbo kama Soundtrack!!
Cc Chadema Diaspora, Tumaini Makene, John Mnyika na CHADEMA
MC Mwingira anaitwa.Ule " Tundu lisu wapeleke mchakamcha " nani kautunga ? Ule wimbo ni babu kubwa maana kweli TL anawapelekesha kuazia mwenyekekit wa chama jiwe, viongozi wa time, IGP hadi makada wa ccm huko chini
Mkuu huu ni ule wa iringa this time wanauboresha uwe wa taifa sasa na niliona yeriko alisema uko tayari hope utakuwa hatua za mwisho kabisa
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app