love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Hahaha! Mimi nilikuwepo kabla ya hiyo unayoita birthday yangu.Khaa! How absurd is your question. Kwa hiyo birthday yako kwa mfano ina maana gani?
Na Scientifically ulimwengu wote kwa pamoja una mwanzo. Tunatofautiana tu ulianza lini na ulianzaje. Lakini kuwa una mwanzo hilo swali lilishakuwa settled long ago!
Sasa unapinga hadi kuhusu bible ndg?Unaelewa hata ya maana ya nyakati za mwisho?
Naamini hujui kwa sababu wakosoaji wa Biblia wengi wao hawaijui!
Nilijua tu hujui. Biblia imeandikwa na Vatican lini?
Hivi hauoni hata aibu kuandika stori za vijiweni unapoongea kwenye mijadala serious kama huu? Kwamba Vatican iliandika Biblia ambayo imekuwepo kabla ya Vatican? Eeh, kuna eneo jingine ambalo umeamua kuwa kilaza kama hivi? Yaani ukilaza wa hiyari?
Naona napoteza muda tu na mfia dini yake. Naona umegeuka kuwa msemaji wa wanaompenda Mungu duniani!Yani siku biblia ikisema hakuna moto wafia dini hawataimba tena hizi nyimbo za kumpenda Mungu,
Ndio ujinga uliomezeshwa? Mbona kuwa mwongo kama baba yako ibilisi?mnaongozwa na hofu wala sio mapenzi ya dhati na Mungu wenu.
Shtuka ndg.Unaelewa hata ya maana ya nyakati za mwisho?
Naamini hujui kwa sababu wakosoaji wa Biblia wengi wao hawaijui!
Nilijua tu hujui. Biblia imeandikwa na Vatican lini?
Hivi hauoni hata aibu kuandika stori za vijiweni unapoongea kwenye mijadala serious kama huu? Kwamba Vatican iliandika Biblia ambayo imekuwepo kabla ya Vatican? Eeh, kuna eneo jingine ambalo umeamua kuwa kilaza kama hivi? Yaani ukilaza wa hiyari?
Huyo ni mtakatifu Agustino.Nilipata kusimuliwa kisa kimoja,
Kuna bwana mmoja alikua akitembea ufukweni huku akitafakari juu imani ya kikristo ya utatu mtakatifu yaani Mungu baba,Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu,huyu bwana aliona kwamba anapigwa haiwezikani Mungu mmoja nafsi tatu.
Ghafla akakutana na katoto kadogo pake yake kakiwa kanafukua mchanga wa ufukweni akavutwa kuongea nacho kwani kalikuwa peke yake pasipo wazazi.
Huyu bwana akakauliza kanafanya nini pale kakiwa peke yake?
Kale katoto kakamjibu kanachimba shimo ili kahamishe maji yote ya bahari kwenye kishimo anachochimba na bahari itakauka kabisa.
Yule bwana akakaambia kale katoto karudi nyumbani kwani haiwezekani kuhamisha maji ya bahari yaenee kwenye kale kashimo.
Kale katoto kakamjibu kwamba uwezo wa kichwa chake ni mdogo Sana kulielewa fumbo la imani la utatu mtakatifu linalo msumbua kulitafakari,vivyo hivyo ataendelea kuona haiwezekani maji ya bahari kuyahamishia kwenye kale kashimo kwani uwezo wa kichwa chake ni mdogo.
Yule bwana akaingiwa hofu dogo amejuaje kwamba yeye anatafakari juu ya utatu mtakatifu.
Kwa bahati mbaya kale katoto kalitoweka kwenye mazingira yakutatanisha.
Kwa mafano huu ni dhahiri uwezo wa vichwa vyetu ni mdogo Sana kutafakari na kuelewa habari za uwepo wa Mungu.
Samahani kwakujibu kwa hadithi ndefu chief.
Jibu Vatican waliandika Biblia lini? Naona stori za vijiweni kuwa Biblia iliandikwa katika Halmashauri ya Nicea (again hata sio Vatican) mwaka 325 zimekuingia. Inawezekana ulisikia kwa mbali ukaona ni Vatican. Nimekurahisishia anzia hapo kwenye Council of Nicea, 325 halafu endelea kuanzia hapo. Ukishaupata ukweli rudi hapa waambie wenzako...Sasa unapinga hadi kuhusu bible ndg?
Aliye sema aliyeweka hivyo vitabu kwenye biblia na kukiita
kitabu kitakatifu ni nan?
Aliyeamua aweke vitabu gani kwenye biblia ni nan kama sio vatican?
Hahaha!!! ibilisi na moto ni mind illusion ndg.Naona napoteza muda tu na mfia dini yake. Naona umegeuka kuwa msemaji wa wanaompenda Mungu duniani!
Hahahaaaaa!
Ndio ujinga uliomezeshwa? Mbona kuwa mwongo kama baba yako ibilisi?
Kwa taarifa yako moto hata uondoke Yesu ni wangu milele. Huwezi kunitenga naye wala huo moto wako hauwezi!
Utoe kama unaweza, hata sina mpango nao. Anayapaswa kuwa worried na kutishwa na huo moto ni wewe hapo.
Kabla ya mwaka 300AD. kulikuw na biblia?Jibu Vatican waliandika Biblia lini? Naona stori za vijiweni kuwa Biblia iliandikwa katika Halmashauri ya Nicea (again hata sio Vatican) mwaka 325 zimekuingia. Inawezekana ulisikia kwa mbali ukaona ni Vatican. Nimekurahisishia anzia hapo kwenye Council of Nicea, 325 halafu endelea kuanzia hapo. Ukishaupata ukweli rudi hapa waambie wenzako...
Kama unaamini haya unahitaji msaada mkubwa!Hahaha! Mimi nilikuwepo kabla ya hiyo unayoita birthday yangu.
Ulikuwa unaishi wapi kabla ya ulimwengu kuwako? Au ndio ushajiunga na wale wa dini ya mungu ni energy so ulikuwa part of that reservoir?Ulimwengu kuwa na mwanzo haina maana na mimi nina mwanzo.
Possibly hujakaa hata maktaba ya dini yeyote kusoma vitabu ila ni mfia dini mzuri.Jibu Vatican waliandika Biblia lini? Naona stori za vijiweni kuwa Biblia iliandikwa katika Halmashauri ya Nicea (again hata sio Vatican) mwaka 325 zimekuingia. Inawezekana ulisikia kwa mbali ukaona ni Vatican. Nimekurahisishia anzia hapo kwenye Council of Nicea, 325 halafu endelea kuanzia hapo. Ukishaupata ukweli rudi hapa waambie wenzako...
Ndio katafute sasa. Si nimeshakupa hint ambazo ni sahihi badala ya kwenye vijiwe?Kabla ya mwaka 300AD. kulikuw na biblia?
Hahaha! your mind creates illusion kweli.. so wewe unajua kila sehemu unapokuwepo unakuwa unaishiKama unaamini haya unahitaji msaada mkubwa!
Ulikuwa unaishi wapi kabla ya ulimwengu kuwako? Au ndio ushajiunga na wale wa dini ya mungu ni energy so ulikuwa part of that reservoir?
Nimekuuliza kabla ya 300AD bible ilikuwepo?Ndio katafute sasa. Si nimeshakupa hint ambazo ni sahihi badala ya kwenye vijiwe?
Katafute basi halafu uje uwasimulie wenzako findings zako!
Wewe uliyekaa ndio hujui hata kuwa Vatican haikuwepo mwaka 325 ambao ndio ulikuwa unasema kuwa waliandika Biblia?Possibly hujakaa hata maktaba ya dini yeyote kusoma vitabu ila ni mfia dini mzuri.
Hatusemi Mungu hayupo eti kwasababu watu fulani smart wanakubali kua Mungu yupowao na umaarufu wao walikataa uwepo wa Mungu ila baadae walikiri Mungu yupo na kujenga makanisa sasa wewe ni nani ukatae Mungu hayupo?
Unataka iwepo jina au?Wewe uliyekaa ndio hujui hata kuwa Vatican haikuwepo mwaka 325 ambao ndio ulikuwa unasema kuwa waliandika Biblia?
Hiyo library imekusaidiaje kama basics kama hizi unakuwa mweupe?
Halafu kufia dini ubaya uko wapi? Walishauawa Wakristo wengi tu kwa sababu wauaji hawakutaka kusikia ukweli so sioni shida kuifia imani!
Unafiaaje kitu ambacho hakipo?Wewe uliyekaa ndio hujui hata kuwa Vatican haikuwepo mwaka 325 ambao ndio ulikuwa unasema kuwa waliandika Biblia?
Hiyo library imekusaidiaje kama basics kama hizi unakuwa mweupe?
Halafu kufia dini ubaya uko wapi? Walishauawa Wakristo wengi tu kwa sababu wauaji hawakutaka kusikia ukweli so sioni shida kuifia imani!
Nimekujibu katafute jibu! Usitake free rideNimekuuliza kabla ya 300AD bible ilikuwepo?
Si mimi ndio nimekwambia hapo juu baada ya kudai ni Vatican ndio waliandika? Au mara hii umeshasahau?unaujua mkutano wa Nicea?
Acha uvivu. Nikupe hint nyingine (japo utakuja kunipiga nazo mkwara mbuzi). Iranaeus, Tertullian, Clement of RomeAcha kukwepa maswali ndg.
Hapo ndo mnapo feli, mnajenga msingi ambao hamtaki kumaliza naoKwa hiyo unaamini simu imetengenezwa na mtu na yupo, unaamini gari kuna wajapani wameitengeneza ila hayupo aliyekutengeneza wewe na babu zako wote? Mzee kuna eneo lingine tofauti na hili ambapo una ukilaza wa hiyari?
Yaani simu haukumuona mtengenezaji ila kwa confidence kabisa unaamini yupo. Grai unaamini yupo aliyelitengenza japo hujawahi hata kuongea naye. Ila Aliyekutengeneza wewe umeamua kuamini hayupo? Dah, kweli kuna ujinga wa hiyari!
Kwani unafikiri majina yanakuwa ya nini sasa?Unataka iwepo jina au?
Dah, usiku mwema aisee!Vatican ya sasa ndio Roma empire hiyo.