Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Hao zamadamu walitokea wapi? a de novo synthesis, siyo? au miamba ilipasuka paaaaaaaaaaaa kiumbe kikatokea, waabudu shetani mna shida sana.....πŸ˜€
Yaani unauliza zamadamu walitoka wapi?
Hebu nenda Kasome kwanza mwanzo wa Babu zako waliokua Zamadamu na Primitive pale Oldupai uone kama waliumbwa na huyo Mungu wenu,
Yaani viumbe waliokuwepo millions ya miaka wakaja fanyiwa cloning project na Annunaki zaidi ya miaka 30,000 hapo nyuma na kuanza ustaarabu kama Homo sapiens kamili ndio aliumbwa na Mungu?πŸ˜‚
Kina ANNUNAK na wenzao Leo wamekua Mungu mkuu aliyeumba ulimwengu hivi mna Akili nyinyi hapo ulipo Hata nadharia na ideas za huyo Mungu hujui zilianzia wapi Hata hizo Abrahamic religion hujui chanzo chake Halafu uje hapa unambie
Nyee nyee nyee Mungu,Mungu
Huyo Mungu hayupo hajawahi kuwepo na hatakuja kuwepo kamwe ni Ujinga tu wa watu Kama nyie ndio manaamini mpaka Leo hizo nadharia Uchwara!
😁😁😁
 
Endelea kuchanganyikiwa!
 
Kumbe uumbaji ulifanywa na baba yenu ibilisi, siyo? ni swala la muda utaiona nguvu ya Muumba........au kama unabisha nimwite ajidhihirishe kwako sasa hivi.
 
Hivyo ulivyotaja asili yake ni nini?
 
yeye mwenyewe alisema hivyo au mmesoma tu hadithi za watu?
Ndiyo, ni yeye mwenyewe, vipi hayo mnayoamini yenyewe yalisemwa na nani? au na zenyewe ni hadithi za vijiwe vya gahawa......
 
Wale mnaokana uwezo na mamlaka ya Mungu Mwenyezi, ninamwita sasa Mungu Mwenyezi Muumba wa Mbingu na Ulimwengu ajidhihirishe kwenu, msiache kutuletea mrejesho kwa jinsi tofauti tofauti ambazo Bwana Mungu wa Majeshi kajidhihirisha kwenu.......AMEN.
 
toa ushahidi basi alisema wapi hayo maneno
Tuwekee ushahidi hayo ya kwenu yalisemwa wapi na nani? BTW nimeshamwomba Mungu Mwenyezi ajidhihirishe kwenu, hivyo sitaendelea na huu mjadala, badala yake ninasubiri mrejesho kutoka kwenu kujua namna Mungu alivojidhihirisha kwenu kwa jinsi tofauti tofauti....
 
Kumbe uumbaji ulifanywa na baba yenu ibilisi, siyo? ni swala la muda utaiona nguvu ya Muumba........au kama unabisha nimwite ajidhihirishe kwako sasa hivi.
Ushageuka kioja Sasa,nahisi ushapata ugonjwa wa kukupeleka milembe hivyo vitu unavyodai unaviitisha Hata haviji aisee ni unajifariji na kujidanganya TU!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wale mnaokana uwezo na mamlaka ya Mungu Mwenyezi, ninamwita sasa Mungu Mwenyezi Muumba wa Mbingu na Ulimwengu ajidhihirishe kwenu, msiache kutuletea mrejesho kwa jinsi tofauti tofauti ambazo Bwana Mungu wa Majeshi kajidhihirisha kwenu.......AMEN.
Hallelujah ama kweli wewe ni Nabii wa Mungu huwezi amini now nimefunuliwa ya kwamba wewe Nyumisi umeinuliwa pahali pa juu Sana pale MILEMBE na umekua kiongozi wa wendawazimu Wote
Wanaoamini Kuna Mungu muweza wa yote mwenye ujuzi na maarifa yote aliyemuumba binadamu mwenye Njaa Ili amwabudu na kumtukuza milele Amina na wale watakaokaidi Kwa kushindwa kuabudu na kufuata matakwa Yake sababu ya kuhaingaika kutafuta chochote kufeed njaa zao atawachoma moto wa milele!

Hizo ndio nadharia za wafia dini kama wewe Nyumisi daaa pole aisee mmepigwaaaaaa
😁😁😁😁😁
 
Na mimi nakuita wewe ni MJINGA. Unakataa ?
Hivi unafikiri nina huo uwezo wa kukupangia cha kuandika?

Kivyovyote vile utavyo amua kuniita, hiyo ni personal perpective siwezi kukuzuia wewe kuona hivyo
 
Nakupa miaka kumi ukikosoa nilicho kiandika naacha kutumia hii ID.

Hakuna mjinga anae weza kuandika hiki nilicbokiandika. Sababu nilianza kusoma kwanza na kuelewa kabla ya kuandika.

Naona mada imekushinda kijana.
Kama hakuna, mbona we umeweza?
 
Hii mada ni kwa vile nimeikuta imechafuka ningeiwahi mapema asingeruka mtu.
 
Hivi unafikiri nina huo uwezo wa kukupangia cha kuandika?

Kivyovyote vile utavyo amua kuniita, hiyo ni personal perpective siwezi kukuzuia wewe kuona hivyo
Jibu swali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…