Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Yaani unauliza zamadamu walitoka wapi?Hao zamadamu walitokea wapi? a de novo synthesis, siyo? au miamba ilipasuka paaaaaaaaaaaa kiumbe kikatokea, waabudu shetani mna shida sana.....😀
Hebu nenda Kasome kwanza mwanzo wa Babu zako waliokua Zamadamu na Primitive pale Oldupai uone kama waliumbwa na huyo Mungu wenu,
Yaani viumbe waliokuwepo millions ya miaka wakaja fanyiwa cloning project na Annunaki zaidi ya miaka 30,000 hapo nyuma na kuanza ustaarabu kama Homo sapiens kamili ndio aliumbwa na Mungu?😂
Kina ANNUNAK na wenzao Leo wamekua Mungu mkuu aliyeumba ulimwengu hivi mna Akili nyinyi hapo ulipo Hata nadharia na ideas za huyo Mungu hujui zilianzia wapi Hata hizo Abrahamic religion hujui chanzo chake Halafu uje hapa unambie
Nyee nyee nyee Mungu,Mungu
Huyo Mungu hayupo hajawahi kuwepo na hatakuja kuwepo kamwe ni Ujinga tu wa watu Kama nyie ndio manaamini mpaka Leo hizo nadharia Uchwara!
😁😁😁