Nimegombana na Mke wangu leo mpaka nimeshangaa

Nimegombana na Mke wangu leo mpaka nimeshangaa

Habar wana JF,

Nashukuru mungu wote ni wazima
Mtanisamehe mimi sio muandishi mzuri sana wakuu.

Nimetoka kugombana na wife mpaka nimebaki nashangaa na kuwaza kwa maneno alioyasema wife, nikwamba wife ni mjamzito wa miezi 4 sasa anatimiza ikifika tarehe 13 sasa leo nimetoka kazini nikawa nimekaa kwenye gari nawaza sana kutokana na maisha na life style anayoishi wife sio kabsa kiupande mwingine.

Kutokana na maisha yalivyo toka wife amebeba mimba anaishi life style ambayo kwa upande mwingine bado haijanivutia lakin ni kawaida sana yeye ni 24hrs/7days yupo ndani amelala akichoka anafungua insta atashinda mitandaoni akichoka sebleni kuangalia TV tamthilia zake mwenyewe.

Ni vizuri kupata muda wa kupumzika kwa hali yake lakini mimba sio mzigo au mimba sio ugonjwa ukufanye ushinde ndani 24hrs. Nikampigia sim kumjulia hali kashindaje leo then nikamuuliza unafanya nini akajibu yupo kitandani amelala.

Nikamwambia kiupole sana na kiutaarabu kuwa mkewangu em bas uwe unatoka na kuchakarika kuna duka la biashara now yupo kijana uwe hata unakwenda basi kuangalia mambo yanaendaje sio hadi mimi nitoke kazini nimechoka nipitie tena huko wakati wewe upo tu nyumbani umetulia vituvingine ni kuichangamsha akili na kupambana kuliko kushinda tu ndani mamaangu wewe sio mgonjwa.

Kusema kwamba huwez kutembea mbona kuna wanawake wana mimba lakini wanachakalika wengine unakutana nao anatumbo kubwa kabeba beseni lake la mboga anatembeza mitaani wengine wanakimbiza maofisi na matumbo yao tena makubwa lakin wanachakalika asubuh na mapema kashafika ofisi nikamwambia hayo siyo maisha uyaotaka kuishi.

Sijajua nihilo tu au kuna mengine ila Alivimba na kuanza kuongea kwa hasira na kuongea maneno mengi sana ambayo sikutegemea na kusema kuwa namnyanyasa mara kisa kubeba mimba naanza kumuona mjinga so nisimfananishe na hao wajinga ye anaakili zake na anajua anachofanya, mara nimeanza kumuona mzigo kwangu kwakuwa kabeba mimba duuh wakuu nilibaki nimeishiwa nguvu maana sikutegemea kama ndo yangekuwa hayo mara sasa ataondoka ataenda kukaa kwao duuh.

Kiukweli sikumjibu chochote nikaamua kutumia hekima tu maana yeye teali alishapanda kaamua kushuka nakumuacha nikakata simu yangu nikawaza sana huyu skuiz amekuaje kwamba ndo mimba inampeleka hivyo au nikaacha kama yalivyo lakin narud nyumbani njiani ninawaza sana yale maneno Nikafika home nikaingia ndani nikamkuta kakaa sebleni, sikumsemesha chochote nikapitiliza jikoni nikamkuta beki 3 anapika nikamuuliza kuwa dadaako kala akasema ndio alikula na saivi ndio napika chakula cha usiku nikasema powa nikapitiliza chumbani nikaingia bafuni nikaoga nikamaliza nikapanda kitandani nikapumzika.

Dakika 3 akaja chumbani kimya sikumsemesha kakaa nikamwambia jiandae kesho nakupa nauli yakuendea huko kwenu iliuepuke hayo manyanyaso unayosema.

Nikainuka nikavaa nikafungua mlango kabla sijatoka nikamwambia natoka napiga simu kwenu kesho wakupokee nikaondoka zangu now nipo somewhere nimetulia kwanza ila kweli nimewaza huyu kesho namsafirisha kweli sioutani acha aende kwanza kwao akatulie akikaribia kujifungua nitamfata wakuu kwasababu najitahdi sana anapopanda namimi nisipande maana minajijua nina hasira sana
Yaani mambo ya mkeo (tena mambo ya mimba) ndo unakuja kuyaanika hapa jf???

Kweli hii nchi imejaa mapoyoyo ya kutosha
 
Mkuu mimba ni uginjwa, and mwanamke akiwa na mimba lolote analoliamua mwache and msaport, sana ukirudi ungemtoa out kutembea naye afanye mazoezi. Ama umchukue mwende dukani, huwezi jua anaweza kufika dukani akapachukia ndo maana haendi

Hapana mkuu kwamba anapachukia dukan sjui lakin anyway
 
Mkuu mimba ni uginjwa, and mwanamke akiwa na mimba lolote analoliamua mwache and msaport, sana ukirudi ungemtoa out kutembea naye afanye mazoezi. Ama umchukue mwende dukani, huwezi jua anaweza kufika dukani akapachukia ndo maana haendi

Hapana mkuu kwamba anapachukia dukan sjui lakin anyway
 
Habar wana JF,

Nashukuru mungu wote ni wazima
Mtanisamehe mimi sio muandishi mzuri sana wakuu.

Nimetoka kugombana na wife mpaka nimebaki nashangaa na kuwaza kwa maneno alioyasema wife, nikwamba wife ni mjamzito wa miezi 4 sasa anatimiza ikifika tarehe 13 sasa leo nimetoka kazini nikawa nimekaa kwenye gari nawaza sana kutokana na maisha na life style anayoishi wife sio kabsa kiupande mwingine.

Kutokana na maisha yalivyo toka wife amebeba mimba anaishi life style ambayo kwa upande mwingine bado haijanivutia lakin ni kawaida sana yeye ni 24hrs/7days yupo ndani amelala akichoka anafungua insta atashinda mitandaoni akichoka sebleni kuangalia TV tamthilia zake mwenyewe.

Ni vizuri kupata muda wa kupumzika kwa hali yake lakini mimba sio mzigo au mimba sio ugonjwa ukufanye ushinde ndani 24hrs. Nikampigia sim kumjulia hali kashindaje leo then nikamuuliza unafanya nini akajibu yupo kitandani amelala.

Nikamwambia kiupole sana na kiutaarabu kuwa mkewangu em bas uwe unatoka na kuchakarika kuna duka la biashara now yupo kijana uwe hata unakwenda basi kuangalia mambo yanaendaje sio hadi mimi nitoke kazini nimechoka nipitie tena huko wakati wewe upo tu nyumbani umetulia vituvingine ni kuichangamsha akili na kupambana kuliko kushinda tu ndani mamaangu wewe sio mgonjwa.

Kusema kwamba huwez kutembea mbona kuna wanawake wana mimba lakini wanachakalika wengine unakutana nao anatumbo kubwa kabeba beseni lake la mboga anatembeza mitaani wengine wanakimbiza maofisi na matumbo yao tena makubwa lakin wanachakalika asubuh na mapema kashafika ofisi nikamwambia hayo siyo maisha uyaotaka kuishi.

Sijajua nihilo tu au kuna mengine ila Alivimba na kuanza kuongea kwa hasira na kuongea maneno mengi sana ambayo sikutegemea na kusema kuwa namnyanyasa mara kisa kubeba mimba naanza kumuona mjinga so nisimfananishe na hao wajinga ye anaakili zake na anajua anachofanya, mara nimeanza kumuona mzigo kwangu kwakuwa kabeba mimba duuh wakuu nilibaki nimeishiwa nguvu maana sikutegemea kama ndo yangekuwa hayo mara sasa ataondoka ataenda kukaa kwao duuh.

Kiukweli sikumjibu chochote nikaamua kutumia hekima tu maana yeye teali alishapanda kaamua kushuka nakumuacha nikakata simu yangu nikawaza sana huyu skuiz amekuaje kwamba ndo mimba inampeleka hivyo au nikaacha kama yalivyo lakin narud nyumbani njiani ninawaza sana yale maneno Nikafika home nikaingia ndani nikamkuta kakaa sebleni, sikumsemesha chochote nikapitiliza jikoni nikamkuta beki 3 anapika nikamuuliza kuwa dadaako kala akasema ndio alikula na saivi ndio napika chakula cha usiku nikasema powa nikapitiliza chumbani nikaingia bafuni nikaoga nikamaliza nikapanda kitandani nikapumzika.

Dakika 3 akaja chumbani kimya sikumsemesha kakaa nikamwambia jiandae kesho nakupa nauli yakuendea huko kwenu iliuepuke hayo manyanyaso unayosema.

Nikainuka nikavaa nikafungua mlango kabla sijatoka nikamwambia natoka napiga simu kwenu kesho wakupokee nikaondoka zangu now nipo somewhere nimetulia kwanza ila kweli nimewaza huyu kesho namsafirisha kweli sioutani acha aende kwanza kwao akatulie akikaribia kujifungua nitamfata wakuu kwasababu najitahdi sana anapopanda namimi nisipande maana minajijua nina hasira sana
Vijana wa kiume mmekuaje siku hizi? Ni hizi shule mna sodoma Au ni ubwege tu wa kuzaliwa?
 
Sijaona kosa lolote kwa mtoa mada ,, kiukweli kaonge ukweli na ndio inatakiwa hivyo,, shida mjini watu wanapenda dezo Sana, hujawahi kuona mtu hana miguu anapambana hana macho anapambana

Sasa wewe mimba tu unajiona mgonjwa hujawahi kuona mtu anamimba ya miezi 7,8 mpka 9 mtu anafanya kazi ilihali ndio mazoezi hayo ,, ndio maana sahizi uzazi wa kisu ndio imekua dili ..

Well said mkuu sjui wanawake waskuiz wamekuaje wanafanya mimba kama ni ukilema frani lakin hayo sio maisha
 
Mkuu ni tabia ya mkeo ila imejificha Kwa mgongo wa mimba.

Kuna jamaa mkewe alikua hampikii Kwa kisingizio mafuta yanampelekea kutapika ila yeye hakuwahi shinda na njaa alikua anajipikia vyakula anavojua yeye[emoji1787][emoji1787] Jamaa Kila akirudi anakuta bila bila afu mke anaangalia tv Hana habari.

Mwamba Kuna siku alimkata makofi na mimba yake mpaka kesho akawa anapikiwa safi na mafuta hayakuwahi mdhuru Tena mkewe[emoji3][emoji3][emoji3]
Mimba sio ugonjwa

[emoji23][emoji23][emoji23] daah sah itakuaje
 
Ila wanawake wengine wanapitia magumu jamani, Ukiachana na kosa alilofanya la kukupandishia sauti, kwanini umemwambia utamrudisha kwako? Hii kurudishwa kwao ni adhabu au maonyo au ni aina nyingine ya unyanyasaji?

Kwao ni kubaya au ni porini?

Mi niliaga kwenda kwetu nikipata likizo sikujibiwa mtu kajifanya hajanisikia kabisa!

Unajua Kwanini hakukujibu lakin?
 
Huyu mwingine alikuwa dada yangu alikuwa ataki ata kuona simu yangu nikiishiwa hela nampigia kupitia mama

Duuh lakini nafikiri ni hali frani za miez ya mwishoni mkuu
 
Sijasoma mpaka mwisho

Shida imeanzia hapa.
"wewe upo tu nyumbani umetulia vituvingine ni kuichangamsha akili na kupambana kuliko kushinda tu ndani "

Na ukweli hapo umemkosea mwenzio.

Maelekezo
 
hata wewe nakushauri, usiamue kwa hisia itakukosti, tumia akili

halafu hiyo heri wapatanishi si imeandikwa kwenye biblia, shtuka!

[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Tumia saikolojia mwambie asikae home atakosa nguvu za kusukuma.
Wanaochakarika hadi mwisho wengi hawachezi na visu yaaani wakifika tu pya.
Mimi wife hadi siku anaenda kushusha alikuwa bandani anahudumia kuku kaamka alfajiri, kufika Saa nne haya twende hospital akagoma kupanda gari tukaenda Mdogo mdogo tukachukua daladala hao Muhimbili, Saa saba, Saa saba na nusu sauti ya kichanga. Kesho yake tumerudi home familia imeongezeka

Daah bravo to your wife mkuu
 
Ni sahihi kabisa lakini haimpendezi mwanamke mjamzito kukaa mda mrefu bila kujishughulisha kwa chochote ,, kwamaana anaweza hata kuumwa au atapata shida wakati wa kujifungua , anatakiwa ajitahidi japo siku moja moja kua anatembea tembea na kufanya kazi yoyote ili kumpa hali nzuri ya ukuaji wa mtoto...

Nikweli mkuu kwani mimba sio ugonjwa
 
Back
Top Bottom