Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
"Wanapenda kuhonga Sana watu wa ngazi za juu Kwa ajiri ya kunyoosha mambo Yao". Ukweli mtupu. Inachangia wabantu wengi kushindwa kufanya biashara ksb hawana pesa ya kufikia dau linalotolewa na wahindi.Wahindi siyo kuwa wanaakili Sana sema Tu pilipili zao zinawafeva Sana kuwa wepesi wa kufikiri na kufanya mambo.
Wananyanyasa Sana hata wao Kwa wao wao
Waongo waongo Sana
Wanapenda kuhonga Sana watu wa ngazi za juu Kwa ajiri ya kunyoosha mambo Yao
.
Hawa jamaa hawafai kabisa, mi kwa sasa hata nikose kazi siwezi ajiriwa kwa mhindiNa unalipwa ujira kwa mkono wa kushoto
Wahindi....niwashirikina balaaa,niwashirikina balaaa,niwashirikina balaaaa..,.......,..,....take it from me hawa jamaaa niwashirikina mnoooooooKwenye short cut ni washirikina sana
Wasomali wako vizuri ...mfano jengo la City Mall pale posta Jirani na Aliba ..mmiliki ni Msomali ....Wauzaji rangi maarufu K.koo Kanda Trading ..ni wasomaliwasomali wana miradi gani hapa bongo?
Wanapua ndefu kuliko mikono yaoSiku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
Duuh balaa tupuUkifanya kazi kwa mhindi ujue unasogeza siku mbele tu
Muhindi anakupa hela ya kula tu ili kesho ufuate ingine hakupi surplus hata nauli unaweza jikuta unaunga unga!Ukifanya kazi kwa mhindi ujue unasogeza siku mbele tu
Uamuzi unakuja baada ya idadi kuzidi. Jamii yoyote haiwi na wote kufanana, sifa huletwa na wengi.Kila jamii ina watu wazuri na watu wabaya,kuna baadhi ya waswahili pia ni washenzi sana.
Kwa huo mfano wako ina maana watu wa Dar ni vibaka kisa Dar kuna vibaka wengi?Uamuzi unakuja baada ya idadi kuzidi. Jamii yoyote haiwi na wote kufanana, sifa huletwa na wengi.
Muhindi yupo radhi aibiwe hela na mbongo lakini si muhindi mwenzake. Maana akipigwa hela na muhindi mwenzake ataenda kufungua kitu kama chake. Na wana matabaka kama unavyosema mkuuWahindi kwao wanaishi kimatabaka lakini wakija hapa bongo wanataka wote wapewe heshima = = na Mo
Uko sahihi, ila hujui, au umesahau kuwa hiyo 10% ndio consumer wa products na huduma zote zinazozalishwa au kutolewa na hao wazungu, wahindu, warabu, wasomali na wakenya japo uliwasahau. Na hamjui kula na vipofu. Unyanyasi mnao wafanyia wazawa ipo siku watachoka na yatawakuta yalio wapata wenzenu Uganda enzi za Amini.Uchumi wa Tz umemilikiwa na wazungu, wahindi, waarabu na wasomali.
Watanzania wanamiliki chini ya 10%.
Hata serikali yako inajua hilo.
Mimi nimegundua wahindi wamemnyanyasa Manara
Nimesoma na wahindi, nimefanya kazi na wahindi, mara ya kwanza nikiwa shule ya msingi, kulikuwa na Muhindi akija kwa kazi za Marketing kila wakati akija nilikuwa naongozana naye, Nimejifunza yafuatayo,Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
May be because of sweetness.
Mkuu utakula nin sasa?[emoji848]Hawa jamaa hawafai kabisa, mi kwa sasa hata nikose kazi siwezi ajiriwa kwa mhindi
Hata mimi nakataa, sema wapo wachache na ndiyo wanawabeba walio wengi,Namba moja sio kweli labda uniambie ni akili ya ujanja ujanja mwingi na kupenda shortcut
Asante..Majority ya wasichana wa kihindi ni wazuri kwa sura lakini ni wachafu wa nywele,wakati unamtyomba dogyyy ukivuta zile nywele lazima zina mbaaaa.
Mkuu nilikuwa niko kwenye kikao muhimu sana, sasa mkuu akawa kastop kidgo nikasema acha nichungulie jf kidgo, hii comments yako imefanya watu wote wanigeukie na kuniona chizi.Ndugu yangu niko nafanya nao kazi hawa jamaa, sina la kusema ni kwamba namuachia MUNGU, ila wewe mtoa post MUNGU anakuonaa hayo unayosema si kweli.
Kazi iendeleee