Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

"Wanapenda kuhonga Sana watu wa ngazi za juu Kwa ajiri ya kunyoosha mambo Yao". Ukweli mtupu. Inachangia wabantu wengi kushindwa kufanya biashara ksb hawana pesa ya kufikia dau linalotolewa na wahindi.
 
Kwenye short cut ni washirikina sana
Wahindi....niwashirikina balaaa,niwashirikina balaaa,niwashirikina balaaaa..,.......,..,....take it from me hawa jamaaa niwashirikina mnooooooo

Wanafuga sana majini .........
Wanaroga sana usiku kwenye mito ,miti mikubwa n.k

Hela zao wanaweka kwenye chumba special au kabati special tena hawahesabu na huwa kuna Giza Nene na anayeingia kuchukua hizo hela ni MTU mmoja tu katika familiaaa,kiufupi wanaongoza kutoweka pesa benki

Wahindi pia ni wana akili sana za darasani ...nilipata kusoma nao .jamaa ni mwepesi kudaka mambo
 
wasomali wana miradi gani hapa bongo?
Wasomali wako vizuri ...mfano jengo la City Mall pale posta Jirani na Aliba ..mmiliki ni Msomali ....Wauzaji rangi maarufu K.koo Kanda Trading ..ni wasomali
 
Wanapua ndefu kuliko mikono yao
 
Uamuzi unakuja baada ya idadi kuzidi. Jamii yoyote haiwi na wote kufanana, sifa huletwa na wengi.
Kwa huo mfano wako ina maana watu wa Dar ni vibaka kisa Dar kuna vibaka wengi?
Kanda ya ziwa wote ni makatili kisa kuna watu wanaua wazee kwa imani za kishirikina? au wote ni makatili kisa kuna baadhi huwakata Albino viungo wakiwa hai?
 
Wahindi kwao wanaishi kimatabaka lakini wakija hapa bongo wanataka wote wapewe heshima = = na Mo
Muhindi yupo radhi aibiwe hela na mbongo lakini si muhindi mwenzake. Maana akipigwa hela na muhindi mwenzake ataenda kufungua kitu kama chake. Na wana matabaka kama unavyosema mkuu
 
Uchumi wa Tz umemilikiwa na wazungu, wahindi, waarabu na wasomali.

Watanzania wanamiliki chini ya 10%.

Hata serikali yako inajua hilo.
Uko sahihi, ila hujui, au umesahau kuwa hiyo 10% ndio consumer wa products na huduma zote zinazozalishwa au kutolewa na hao wazungu, wahindu, warabu, wasomali na wakenya japo uliwasahau. Na hamjui kula na vipofu. Unyanyasi mnao wafanyia wazawa ipo siku watachoka na yatawakuta yalio wapata wenzenu Uganda enzi za Amini.
 
Yanatuzidi akili bwana, hebu tuwe wakweli.

Hao jamaa wana maarifa na ni wajanja kutuzidi mbali.

Top ten ya matajiri wa nchi hii ni wahindi.hakuna mweusi hata mmoja.

Mhindi ndio ameihold sekta binafs ya tanzania.
kwa maana kwamba biashara zozote kubwa (multi-bilion) ktk nchi hii ni zao.

Ili biashara yako inawiri pale kwny management toa mswahili weka mdosi.

Mhindi ndiye anayekuajiri na kuamua kula yako ktk nchi yako ya asili.

Viwanda ktk mikoa almost yote ni mali yao.

Benki za ndani humfikiria kumkopesha mhindi kuliko mswahili

Mhindi ndio mnunuzi mkuu wa kahawa zenu, korosho zenu, pamba yenu nk

Ukimkuta mhindi ni tajiri leo..ondoka njoo baada ya nusu karne (kama utajaliwa) utakuta bado tajiri vilevile yeye au descendands wake.

Kwa maana nyingne Sisi ni wajisiriamali wahindi ni wafanya biashara.

Sisi ni daraja la wao kufanikiwa
Huwezi kukuta mhindi ni VEO au mwalimu au askari serikalini japo ni watz.
wao wamekamata njia kuu za uchumi
 
Nimesoma na wahindi, nimefanya kazi na wahindi, mara ya kwanza nikiwa shule ya msingi, kulikuwa na Muhindi akija kwa kazi za Marketing kila wakati akija nilikuwa naongozana naye, Nimejifunza yafuatayo,
1.Wahindi ni watu wachunguzi sana, wanachunguza kila kitu
2.Wahindi wanadharau waafrika sana sana
3.Muhindi aliyekulia India ni mara 100 ya Muhindi wa Bongo asili
4.Wahindi ni watu waoga sana
5.Wahindi wana tabaka
6.Muhindi akikuamini hata mkewe anakuachia
7.Ukielewana na Mke wa Muhindi kuliko Mume kila unachoomba kwa Mume utapewa, Mama akisema mume anatekeleza pia
8.Wahindi ni wachafu sana
9.Mke anaogopwa kuliko ukoma
10.Umbea ni tabia yao
11.Kwenye biashara familia yote inahusika.
 
Ndugu yangu niko nafanya nao kazi hawa jamaa, sina la kusema ni kwamba namuachia MUNGU, ila wewe mtoa post MUNGU anakuonaa hayo unayosema si kweli.

Kazi iendeleee
Mkuu nilikuwa niko kwenye kikao muhimu sana, sasa mkuu akawa kastop kidgo nikasema acha nichungulie jf kidgo, hii comments yako imefanya watu wote wanigeukie na kuniona chizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba Mungu anamuona mtoa mada, hawajui wahindi huyu jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…