Tena hela ya kula mkate kwa maji. Hata viongozi wanao pata hela ya mhindi ni pale wanapokuwa madarakani. Mhindi akisha jua haupo tena kwenye system hana habari na wewe, ukipiga cm hapokei au anaikata.Muhindi anakupa hela ya kula tu ili kesho ufuate ingine hakupi surplus hata nauli unaweza jikuta unaunga unga!
Wingi ninao uongelea ni comperative, sio conclusive.Kwa huo mfano wako ina maana watu wa Dar ni vibaka kisa Dar kuna vibaka wengi?
Kanda ya ziwa wote ni makatili kisa kuna watu wanaua wazee kwa imani za kishirikina? au wote ni makatili kisa kuna baadhi huwakata Albino viungo wakiwa hai?
Huu ni ukweli dhahir shahir,βKila jamii ina watu wazuri na watu wabaya,kuna baadhi ya waswahili pia ni washenzi sana.
Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
manji ni persian mkuu.Mimi nimegundua wahindi wamemnyanyasa Manara
Mkuu tukumbuke tu ya kwamba hawa Wahindi tulonao Bongo ni wachache sana kulinganisha na hao walobaki makwao (india) hivyo kutumia tabia za baadhi yao waliopo hapa nchini ku-generalize na tabia za Wahindi kwa ujumla ni dhulma kuwadhulumu wahindi.Uamuzi unakuja baada ya idadi kuzidi. Jamii yoyote haiwi na wote kufanana, sifa huletwa na wengi.
Hata kwao wanadhulumiana sana tu,roho mbaya ni toka kwaoMkuu tukumbuke tu ya kwamba hawa Wahindi tulonao Bongo ni wachache sana kulinganisha na hao walobaki makwao (india) hivyo kutumia tabia za baadhi yao waliopo hapa nchini ku-generalize na tabia za Wahindi kwa ujumla ni dhulma kuwadhulumu wahindi.
Ukamilifu ni wa Mwenyeezi Mungu tu!!Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
Ni kweli kabisa kwao wanadhulumiana, kama ambavyo Waafrika hudhulumiana nyumbani na Ughaibuni, kama ambavyo Wazungu walidhulumiana na wanaendelea kudhulumiana Makwao na hapa Afrika, Kama ambavyo Wachina wanadhulumiana, kama ambavyo wajapan hudhulumiana, kma ambavyo Waarabu hudhulumiana na kama ambavyo Wayahudi hudhulumiana.Hata kwao wanadhulumiana sana tu,roho mbaya ni toka kwao
Nikweli ila kufanya nao kazi ni ngumu sana hawa wahindi yataka moyo sana, hawatofautiani sana na wachina........raha ya kazi ufanye na mzungu, anajua haki za binadamu na anajaliNi kweli kabisa kwao wanadhulumiana, kama ambavyo Waafrika hudhulumiana nyumbani na Ughaibuni, kama ambavyo Wazungu walidhulumiana na wanaendelea kudhulumiana Makwao na hapa Afrika, Kama ambavyo Wachina wanadhulumiana, kama ambavyo wajapan hudhulumiana, kma ambavyo Waarabu hudhulumiana na kama ambavyo Wayahudi hudhulumiana.
Ukweli ni kwamba ktk Jamii zote ulimwenguni wapo wadhulumati na wapo wenye roho safi...
Haijalishi mtu anatoka wapi aidha iwe Luanda au London, Baghdad au Berlin, New york au New Delhi, Tehran au Tel Aviv, popote pale watu wema wapo na wabaya wapo.
Nitatafuta kwingine pakujishikiza, wengi wanaofanya kazi kwa wahindi ni kwa sababu hawana jinsi ndo maana hufanya kazi huku wakitafuta michango mingineMkuu utakula nin sasa?[emoji848]
Nikweli kbsaNamba moja sio kweli labda uniambie ni akili ya ujanja ujanja mwingi na kupenda shortcut
basi utakuwa uko peke yako dunia nzima wewe ndiyo unalipwa na wahindi mshahara mkubwa.mimi nina bachelor na ninafanya masters now nalipwa laki 6..dogo wa kihindi ana diploma tu hivi vyuo shenzi ya mitaani analipwa $2000.sisi waswahili wote tuliojiriwa na wahindi huwa tunamsemo wetu'wahindi wote ni mbwa tu"kama wanakulipa vzr kuna mawili ama wanakupapasa makalioni ama wanakufanyia michezo ya marehemu kaoge..period.maana ndiyo zaoSiyo kweli. Wahindi ukifanya nao kazi na kama unadeliver ki weledi watakulipa kiasi chochote mtakachokubaliana. Ila kama ni kazi hizi unskilled lazima wakubane sana sababu ni wafanyabiashara wanajua wanachofanya. Binafsi ninafanya kazi nyingk sana na wahindi sijawahi punjwa kipato. Kama huijui thamani yako utaishia kuwalalamikia tu wahindi kumbe tatizo ni wewe mwenyewe.
Gabachori hawafaiMuhindi anakupa hela ya kula tu ili kesho ufuate ingine hakupi surplus hata nauli unaweza jikuta unaunga unga!
Wasenge sana hawa GhabaCholiiπ π π ila hili jina limenikumbusha mbali sana ππππππππ nimecheka sana nikikumbuka mistari ya inspectaGabachori hawafai
Ni wabaguzi sana jamaa, wanahospital zao, benk, shule nk Nyumba zote za msajiri wametufukuza waswahiliHizi jamii za hawa watu Wahindi na Waarabu zimewanyonya sana Watanzania na kuwafanya masikini tena kimyakimya huku wakijifanya nao ni watanzania huku wakichuma na kuiba hapa na mali kuzihamisha.
Kuna haja ya hawa watu kuangaliwa kwa jicho kali na kuwekewa sheria kali ili sasa waishi kama watanzania kweli na sio hiki comedy wanayoifanya.
Hiyo yote ni deko ila kampala wananaswa vibao na waswahiliKosa dogo ataongea na kulia
Gengeni anafata fresh foods tofauti na supermarket zimesheheni proccessed foods.Kuna daktari mhindi, ni mmoja kati ya wale top doctors. Ananunua bidhaa gengeni tena anakwenda mwenyewe na kapu lake. Waswahili walio chini yake wana nunua bidhaa supermarkt.
Najua umenielewa na ujumbe umefika bila shaka.Wingi ninao uongelea ni comperative, sio conclusive.