Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

basi utakuwa uko peke yako dunia nzima wewe ndiyo unalipwa na wahindi mshahara mkubwa.mimi nina bachelor na ninafanya masters now nalipwa laki 6..dogo wa kihindi ana diploma tu hivi vyuo shenzi ya mitaani analipwa $2000.sisi waswahili wote tuliojiriwa na wahindi huwa tunamsemo wetu'wahindi wote ni mbwa tu"kama wanakulipa vzr kuna mawili ama wanakupapasa makalioni ama wanakufanyia michezo ya marehemu kaoge..period.maana ndiyo zao
Unaweza kuwa na Masters ya kwenye Makaratasi tu ambayo vijana wengi wa Kibongo ndio wanayo ila kiuhalisia umeshindwa kuwashawishi waajiri wako kiutendaji kwamba una Masters. Tatizo kubwa ambalo wengi hatutaki kulielewa ni kwamba hawa wenzetu tukubali au tukatae, they are ahead of us. itakutolea mfano mmoja. Mtoto wa Kibindi anaanza kujifunza Excell tangu akiwa Form Two wewe unaanza kujifunza excell baada ya kumaliza Chuo sasa hapo mnadhani utakuwa sawa nae?
Kingine ni kwenda nao sawa. If you are not smart and sharp huwezi kufanya kazi na wahindi mkaelewana. Nenda Kenya tu hapo huwezi sikia Wahindi wanalalamikiwa kama hapa do you know why?
Na huyo Dogo wa Kihindi unaemsema kasoma vyuo vya mtaani ukimchunvuza anakuwa yupo vizuri kichwani kuliko wewe na BCOm yako ya UDSM au UDOM. sasa kwenye ukweli lazima tukubaliane tuache ubaguzi.
 
Wahindi ni watu Wabaguzi Sana,
Wanatoa Sana rushwa Hasa wakiti shwa Na mamlaka husika, Nilifanya nao Kazi Hotel Fulani Katikati ya Jiji.....
Hizo ni mbinu za Kibiashara hata wewe ukijakuwa mfanyabiashara utafanya hivyohivyo
 
Mnalaumu wahindi wakati na Digrii zetu hata kujieleza tu ni tatizo alafu mnategemea mlipwe Mamilioni🤣🤣🤣
Unakutana na kijana Wa kihindi he is just a high school graduate lakini yuko vizuri sana kichwani...basic computer apps za ofisini zote anazijua vizuri..anajieleza kwa kujiamini kwa kiingereza kizuri, hatetemeki, ana nidhamu ya kazi alafu wewe na Masters yako kila kitu unababaisha. Mwenzio akilipwa mamilioni unasema sababu ni wahindi🤣🤣🤣
Jamani tubadilike tujue kujiongeza. Degree na Masters bila kujiongeza utalipwa vilakilaki hadi unazeeka.
 
Kuwa na akili maana yake ni kufanya jambo lako kwa ufanisi na kwa haraka,wahindi wengi ni kweli wana ufanisi na ni watu wa mipango,ndio maana makampuni mengi makubwa duniani yanaajili ma CEO wahindi au wahasibu na mawakili wa kihindi.Tukubali waafrica wengi ni wavivu hususani sisi waswahili.

Waswahili ni wavivu hatupendi kufanya kazi bila kuongozwa,tuna maneno mengi na muda wote tunawaza ngono, uchawi,majungu na vitu ambavyo havina impact,ikitokea mtu yeyote akawa tofauti na sisi sehemu za kazi hatapigwa vita sana na kuonekana ni mbaya sana.

Ukitaka kuamini angalia hata bungeni ikitokea spika au mbunge ameongea mzaha kitu kinachoashilia ngono utaona wabunge wanavyoshangilia kwa kugonga meza na kuruka ruka, kwa furaha sana, hata kwenye semina za kujengana uwezo maofisini ukitaka waswahili wakuelewe kwa haraka toa mifano ya kingono ndio semina itanoga na kueleweka.

Hata kimalezi chukua mtoto wa kihindi na wa kiswahili, tabia na maono yao ni tofauti kabisa, tusiwachukie wahindi tuwatumie kama mfano kujenga jamii yetu iwe njema na yenye mafanikio.
Wengi wao wana elimu kutushinda kwa sababu aliyeleta mfumo wa elimu aliwatreat kama second class race.Hii ikawajenga kujiamini na kwa ujinga wetu tunawapa ushirikiano wa kutuibia huku aliyewapa hicho kiburi anawatumia vizuri kwa manufaa yake.
 
Na Mo ni mnafiki na muongo sana..ndio maana akafika hapo alipo...

Sema tu labda kagusa maslahi au kaupiga mwingi sehemu...

Matajiri wengi .. wana figisu za maana kuliko huyo msema ovyo jinga flani manara!
Mo katimiza ahadi yake ya kutoa mabilioni klabuni, Manara katoa bilioni ngapi, hata ungekuwa wewe usingemuajiri Manara ndani ya klabu yako
 
Kuna baadhi ya wahindi kujamba hadharani wao sio noma. Anaweza jqmba hata mko boardroom mnafanya kikao. Baadhi wachawi sana. Nilifanya mtihani wa cpa Bunju na mmoja wao aliwekq hirizi zake mezani. Wasimamizi walipomnyang'anya aliacha kufanya pepa mpaka mwisho. Over.
 
Kuna baadhi ya wahindi kujamba hadharani wao sio noma. Anaweza jqmba hata mko boardroom mnafanya kikao. Baadhi wachawi sana. Nilifanya mtihani wa cpa Bunju na mmoja wao aliwekq hirizi zake mezani. Wasimamizi walipomnyang'anya aliacha kufanya pepa mpaka mwisho. Over.
Duh hii kali
 
Hakikisha miaka miwili haiishi kabla hujaondoka hapo mkuu. Usijenge ukaribu wala mazoea yoyote na hao watu. Kinyume na hapo utageuzwa msukule utasahau ndoto zako zote na hutakuja kuondoka tena hapo kamwe!
Ni kweli mkuu ukikakaa vibaya aupo duniani ni wachawi balah
 
Mwaka 2020 nilijitolea kwenye kampuni moja ya kuuza computers maeneo ya Kariakoo hawa jamaa ni balaa Yaani wanaona kama ngozi nyeusi ni punda vile. Ila Mungu Mkubwa ingawa tulikuwa tunachukua mshahara wa 180k ila deals tunazofanya ni almost 450k kwa mwezi tu... niliondoka lakini nimeacha hasara kishezi
 
Duh hii kali
Hiyo ishu nahisi kama ina ukweli hivi.
Nakumbuka nilivyomaliza chuo nilifanya kazi kwa wahindi mwaka mmoja nikasepa sasa kuna washikaji niliowaacha pale wana miaka 10 bado wamezubaa tu kuondoka wanashindwa.
Tangu nimewaacha pale maisha yao ni yaleyale ya kupata kwenye chumba kimoja cha elfu 30,watu tunanunua viwanja tunajenga wao wako vile vile
 
nasikia huo ulikuwa ni makakati wa ccm chini ya utawala wa nyerere. bahati mbaya sana hata jiwe alikuwa na mentality kama hii.

nyerere hakuwa tayari kuona watu wake wanafanikiwa kiuchumi. aliogopa sana kuja kupewa changamoto za kisiasa na matajiri wazawa.

matajiri wazawa walianza kuchipuka enzi za utawala wa mzee ruksa. hiki ndio kipindi alichoibuka mzee Reginald Mengi(RIP).
Hta kwenye kitabu cha mengi amezungumzia sana hili suala!....na mpaka leo kuna sheria japo haipo kwenye maandishi ya kumzuia mswahili yoyote asimiliki benki.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli mkuu ukikakaa vibaya aupo duniani ni wachawi balah
Mimi kuna dingi wangu mkubwa kafanya kazi kwa mhindi tangu kabla sijazaliwa mpaka leo! Kila siku anasema mwaka huu lazma niache kazi siwezi kunyanyaswa namna hii lakini yupo tu hadi karibu anastaafu na cha maana alichofanya hakuna.
 
Back
Top Bottom