Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Ni wachafu sana na kwao ni maskini wa kutupwa
Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.

1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)

2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.

3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.

4. Wabahili mno

5. Hawana huruma

Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
 
inategemeana, mostly baada ya maumbile kuingiliana haizidi dakika 5 ila mandalizi yanaweza kuwa marefu ndio maana Biblia inasea "aziniye na mwanamke hana akili kabisa", angalia ukishafanywa unajiona mtupu, huna maana na ni kitu kisicho na faida.
Nimeuliza hivyo
Sababu unasema wanapenda kufanya mapenzi mchana kama vile ni kosa
 
Inategemea na wewe ulivyo kama ukiwa na pontential wana kutreat vizuri tu mbona mimi nilifanya nao kazi vizuri sana walinilipa vizuri wala hawakuwahi kunifanyia jambo lolote baya maisha yangu kiuchumi yalikuwa mazuri na nilifurahi sana kufanya nao kazi kama sio wazazi ningebaki kule yaani niliajiriwa serikalini ila najuta.
 
Kuna ndugu yangu alikuwa mfanyakazi kwa mwarbu sikukuu flani aliomba hela ya nguo kilichotokea alipewa nguo kuukuu za mke wa boss kuna sketi gauni na hata Khadija Kopa hazimtoshi zilivyopana na akati mke wa jamaa ni kimbau mbau likawa bonge la soo na noma kilo kumi
 
na Serikali ya Museveni imewarudisha kwa heshima zote baada ya kubali kushindwa kuendeleza biashara, mashamba n.k
Mhindi ana roho ya kimaskini Kama Mwafrika tu, akifika sehemu hapaendelei Wala nini.

Mtu wa kumkaribisha na akutajirishe nu mzungu tu. Aangalie South Africa, Australia, New Zealand.

Na hata nchi za kiarabu zene mafuta zilikubalia kushare rasilimali zao na wazungu katika uzalishaji na mauzo, Leo wanafaidi matunda.
 
Mhindi ana roho ya kimaskini Kama Mwafrika tu, akifika sehemu hapaendelei Wala nini.

Mtu wa kumkaribisha na akutajirishe nu mzungu tu. Aangalie South Africa, Australia, New Zealand.

Na hata nchi za kiarabu zene mafuta zilikubalia kushare rasilimali zao na wazungu katika uzalishaji na mauzo, Leo wanafaidi matunda.
Ni kweli mkuu.
Shida ya wahindi hawana moyo wa kuvolunteer,ni wagumu sana,anaumia kufanya jambo kwa ajili ya kunufaika wengine
 
Wahindi na ushirikina ni mtoto na nyonyo
Ofisini kwao wamejaza yale madude wanayachoma moto kila asubui na hamna mtu anaruhusiwa kuingia mpaka wamalize mambo yao!
Na pili wana wivu sana na roho za choyo hata awe amefanikiwa vipi mfano halisi modewji!
 
Wahindi na ushirikina ni mtoto na nyonyo
Ofisini kwao wamejaza yale madude wanayachoma moto kila asubui na hamna mtu anaruhusiwa kuingia mpaka wamalize mambo yao!
Na pili wana wivu sana na roho za choyo hata awe amefanikiwa vipi mfano halisi modewji!
kwani Mskitini, Makanisani ama waumini wao hawatumii udi nyumbani kwao? na wakati wa kuswali hata wewe utamsubiri hadi amalize?
 
Back
Top Bottom