Wahindi siyo kuwa wanaakili Sana sema Tu pilipili zao zinawafeva Sana kuwa wepesi wa kufikiri na kufanya mambo.
Kwanini nawewe huli hizo pilipili ili uweze kuwa mwepesi wakufikiri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahindi siyo kuwa wanaakili Sana sema Tu pilipili zao zinawafeva Sana kuwa wepesi wa kufikiri na kufanya mambo.
Kila jamii ina watu wazuri na watu wabaya,kuna baadhi ya waswahili pia ni washenzi sana.
Acha ubaguzi mkuu
wao kutubagua sawa, tukiwabagua sisi wabaguzi....hivi unajua hao unaowatetea wanavyotubagua weusi...
Kiongozi kwani kufanya hilo tukio ni mda gan kisheriamimi nimeishi uhindini Kisutu kabla ya kuingia judiciary na kuhamia morroco; Tabia zao ndio hizo kukazana mchana watoto wakiwa shule.
inategemeana, mostly baada ya maumbile kuingiliana haizidi dakika 5 ila mandalizi yanaweza kuwa marefu ndio maana Biblia inasea "aziniye na mwanamke hana akili kabisa", angalia ukishafanywa unajiona mtupu, huna maana na ni kitu kisicho na faida.Kiongozi kwani kufanya hilo tukio ni mda gan kisheria
Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
Wangekuwa hawana akili,wasingeweza kumudu maisha na kupata utajuri na wabantu tupoNamba moja sio kweli labda uniambie ni akili ya ujanja ujanja mwingi na kupenda shortcut
Nimeuliza hivyoinategemeana, mostly baada ya maumbile kuingiliana haizidi dakika 5 ila mandalizi yanaweza kuwa marefu ndio maana Biblia inasea "aziniye na mwanamke hana akili kabisa", angalia ukishafanywa unajiona mtupu, huna maana na ni kitu kisicho na faida.
Sio kosa ni ratiba zao mana wanaishi nyumba moja karibia ukoo mzima.Nimeuliza hivyo
Sababu unasema wanapenda kufanya mapenzi mchana kama vile ni kosa
Victim mentality😂Umebaguliwa wapi?
ooh, hapana, waposahihi kuliko ninyi mnaopenda kufanyana usiku.Nimeuliza hivyo
Sababu unasema wanapenda kufanya mapenzi mchana kama vile ni kosa
na Serikali ya Museveni imewarudisha kwa heshima zote baada ya kubali kushindwa kuendeleza biashara, mashamba n.kIddi Amini aliliona hili akawatoa nduki mapemma Uganda.
Mhindi ana roho ya kimaskini Kama Mwafrika tu, akifika sehemu hapaendelei Wala nini.na Serikali ya Museveni imewarudisha kwa heshima zote baada ya kubali kushindwa kuendeleza biashara, mashamba n.k
Ni kweli mkuu.Mhindi ana roho ya kimaskini Kama Mwafrika tu, akifika sehemu hapaendelei Wala nini.
Mtu wa kumkaribisha na akutajirishe nu mzungu tu. Aangalie South Africa, Australia, New Zealand.
Na hata nchi za kiarabu zene mafuta zilikubalia kushare rasilimali zao na wazungu katika uzalishaji na mauzo, Leo wanafaidi matunda.
kwani Mskitini, Makanisani ama waumini wao hawatumii udi nyumbani kwao? na wakati wa kuswali hata wewe utamsubiri hadi amalize?Wahindi na ushirikina ni mtoto na nyonyo
Ofisini kwao wamejaza yale madude wanayachoma moto kila asubui na hamna mtu anaruhusiwa kuingia mpaka wamalize mambo yao!
Na pili wana wivu sana na roho za choyo hata awe amefanikiwa vipi mfano halisi modewji!