Nimegundua hili kuhusu wake za watu. Inaweza kukatisha tamaa kuoa

Kijana wa hovyo kwahyo kwenye imagination zako una maisha magumu hivyo sasa kwenye real lofe itakuaje. Tatizo la afya ya akili lipo kwa kiwango kikubwa
Unaweza kusoma na kuandika vizuri ili nikuelewe mzee wangu? Maana ulichoandika hakielewiki kabisa.
 
Mtoa mada amesema kuwa kaashamaliza majukumu ya maendeleo na sasa Hela zake si za mawazo anashea na wengine Kwa gharama ya kuwala na kufurahia maisha na uwekezaji wake.
Kama hahitaji pesa tena kwanini aendelee na kazi ya kusafiri safiri kikazi siange ka dar tu.
 
Sawa.Jitahidi usipate homa ya ini.Na uwe unasoma zile jumbe za mbao za wakandarasi.Fuatilia sana pale palipoandikwa TAHADHARI!
 
Ni sifa? Wako wanawake wachache wanaojiheshimu, wenye hofu ya Mungu, wanaojitunza kwa ajili ya utukufu wake. Hizi fallacy generalizations tunazikuza sana. Mungu ndie yote katika yote, kama kuna mwanamke ama mwanaume anahangaika wakati ana familia, it will eventually payback. Tunaiabudu zinaa..very sad.
 
Ukipiga mke wa mtu jua Mali yako italiwa tu
 
Kama hahitaji pesa tena kwanini aendelee na kazi ya kusafiri safiri kikazi siange ka dar tu.
Kama Mo Dewj bado anatafuta pesa itakuwa mimi? Na wapi imeandikwa hahitaji pesa? Uwe unasoma ukiwa umeondoa mawenge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…