version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 841
- 2,004
Kitendo tu chakumla mwanamke ambaye tayari unajua ni mke wa mtu si uungwana kabisa, na jiandae lazima ulipie hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa uzoefu wangu mdogo tu katika mahusiano kwa umri wangu mdogo wa miaka 50+ kuna mambo ambayo nimeyagundua ambayo huwa yananifikirisha sana.
Shughuli zangu za kikazi hunifanya nisafiri kuhama hama kila wakati. Ingawa familia ilisha settle Dar. Mimi huwa nasafiri sana ndani na nje ya nchi. Mara nyingi nakuwa Dodoma pia sababu shughuli za kikazi Serikali zimehamia huko.
Kama una mke wako yupo Dodoma wewe upo Dar. Kwa asilimia 90 hesabu maumivu. Usimchunge. Ujue tu analiwa. La msingi ajiheshimu. Hali ya huku ni mbaya wanawake wengi wana upweke, wanataka sana company. So inatokea ukisalimiana naye mara mbili tatu ukamtoa out. Basi... Anakuganda. Na anakuambia mapema tu ana mume na watoto au mtoto. So mnaanza kuibiana.
Asilimia kubwa ya wanawake ambao huja kikazi mara moja moja Dodoma hasa kipindi cha bunge wanaliwa sana na watu walioko huku na wale ambao walisoma nao Chuo au kufanya nao kazi zamani. Kirahisi sana.
Asilimia kubwa ya wanawake huendelea ku jamiiana na wanaume ambao walikuwa wa mwisho mwisho kabla ya kuolewa au ambao ilikuwa waoane nao. Kwa asilimia hii kubwa pia imenitokea kwa wanawake kama wa 4 hivi. Ambao miaka hiyo tulidanganyana hivyo. So now tunakumbushiana tu na kuendelea na mchezo mchafu.
Sisi wanaume ambao kwa sasa tumemaliza kusomesha au mahangaiko mengine ya duniani. Tuna nafasi kubwa sana ya kula wanawake wengine maana hatuna tena pesa za mawazo. Tumemaliza kila kitu muhimu. Na wanawake wanajua hayo. Wanatuganda sana.
Asilimia kubwa ya wanawake wanaokopa kwa wanaume huwa hawarudishi pesa waliyokopa. Wanarudisha in kind. Wanakupa penzi. Nimefanyiwa hivi na wadada 3 ambao walikuja kukopa kwangu.... Baadaye tukawa wapenzi. Now hawakopi wanaomba tu nawapa. Na wawili ni wake wa watu.
Asilimia kubwa ya marafiki wa kike na kiume huwa wanakuja kulana. Hii nimefanya kwa watu 5 tofauti tofauti tumekulana katika mazingira ambayo hatukutegemea ila tukijificha kwenye pombe kuwa ndo sababu. Kisha tukaendelea na huo mchezo na wa3 wawili hatukurudiana tena.
Sasa hayo yanatokea kwa mimi ambaye si mtu sana wa mademu. Nawaza kwa mtu wa mademu inakuaje? Ukiwaza sana unaweza usioe kabisa. Ukaona bora uwe tu unaponea kwa wanawake ambao hujajimilikisha.
Mbwembwe nyingiiiUmemaliza majukumu ?
Jambo la kupingwa alafu we uko mstari wa mbele kulifanyaNi tabia mbaya sana na isiyofaa. Na ndo maana nawaasa vijana watulie. Mimi nimewaelezea katika hali ya kutafuta ukweli nimepitia mengi sana. Ila ni jambo la kupingwa sana
Hivi ikitokea tumekaa chini kwa utulivu na kupatana,utaniuzia hiyo avatar yako pesa ngapi?Maana hayo meno(manjino)yamekaa poa sana kwa kumegea vingamba.Let's do some business,boss!Na mimi nimeona
Oooh.... Kumbe hili wote tujikinge naloKwa kuumwa na mbu asiye na jinsi.
Nije inbox au nitume namba hapa hapa mzee baba🤣..maana sijala ujueHivi ikitokea tumekaa chini kwa utulivu na kupatana,utaniuzia hiyo avatar yako pesa ngapi?Maana hayo meno(manjino)yamekaa poa sana kwa kumegea vingamba.Let's do some business,boss!
Utafwariki bila kelele.Oooh.... Kumbe hili wote tujikinge nalo
Jidanganye dogo kuwa pesa zinatosha. Haijawahi tokea.Mo ni kampuni sio mtu moja, tena yeye anashinda ofisini ameka kusafiri ni private jet au ghari ya kifahari, pia hali wake za watu.
Siku nimeiona hii pic nilikua nalia..niliacha kulia nikacheka kama 10min hivi🤣🤣..nikiwa emotional naichek nachekaaa ..lofe goes on..nimeyatamani mangambaHivi ikitokea tumekaa chini kwa utulivu na kupatana,utaniuzia hiyo avatar yako pesa ngapi?Maana hayo meno(manjino)yamekaa poa sana kwa kumegea vingamba.Let's do some business,boss!
🤣🤣Umefanya utafiti na ukagundua hilo kwa wanawake wengine ukasahau kwa mkeo kua ukiondoka na yeye anabaki mpweke,ukweli ni kwamba ana kiben ten.
Leo ni siku ya kuchinja wanyama.Nimepita nikiwa kwenye basi pale Kibwabwa Iringa wanagawana nyama.PM nitakukaribisha.Nije inbox au nitume namba hapa hapa mzee baba🤣..maana sijala ujue
Sasa ninavyoona mimi na wewe si lazima vifanane. Mimi nimeona hivyo. Tahadhari: Ujenzi unaendelea.Si kweli.MEN AT WORK huwa ni kakibao kadogo chini barabarani.Soma vile vilivyopangwa kwa urefu/wingi vyenye rangi ya bluu na nyeupe.
Haahaaaa na mimi jana nimeskia wanagawa .so tuvae baibui twende msikitini tutapewa??Leo ni siku ya kuchinja wanyama.Nimepita nikiwa kwenye basi pale Kibwabwa Iringa wanagawana nyama.PM nitakukaribisha.
Ndo maana nimetoa tahadhari watu wawe makini ndugu.Jambo la kupingwa alafu we uko mstari wa mbele kulifanya
Tuachen unafki
Jambo la kujua hata wahuni, malaya, na wapumbavu pia huzeeka
Bado haujaona vile vilivyoandikwa "TEMBEA KWA MACHALE,MADEREVA WETU HAWANA LESENI"!Sasa ninavyoona mimi na wewe si lazima vifanane. Mimi nimeona hivyo. Tahadhari: Ujenzi unaendelea.
ANOTHER ONE MAN DOWN
Kapange foleni huku unatia huruma.Watakupa miguu na vichwa.🙏😂😂😂😂😂Haahaaaa na mimi jana nimeskia wanagawa .so tuvae baibui twende msikitini tutapewa??