Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Unaenda dom nini?Nashuka hapa Nyang'oro kutoka kwenye basi nirudi kupata ushuhuda wa upangaji foleni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaenda dom nini?Nashuka hapa Nyang'oro kutoka kwenye basi nirudi kupata ushuhuda wa upangaji foleni.
Kwa uzoefu wangu mdogo tu katika mahusiano kwa umri wangu mdogo wa miaka 50+ kuna mambo ambayo nimeyagundua ambayo huwa yananifikirisha sana.
Shughuli zangu za kikazi hunifanya nisafiri kuhama hama kila wakati. Ingawa familia ilisha settle Dar. Mimi huwa nasafiri sana ndani na nje ya nchi. Mara nyingi nakuwa Dodoma pia sababu shughuli za kikazi Serikali zimehamia huko.
Kama una mke wako yupo Dodoma wewe upo Dar. Kwa asilimia 90 hesabu maumivu. Usimchunge. Ujue tu analiwa. La msingi ajiheshimu. Hali ya huku ni mbaya wanawake wengi wana upweke, wanataka sana company. So inatokea ukisalimiana naye mara mbili tatu ukamtoa out. Basi... Anakuganda. Na anakuambia mapema tu ana mume na watoto au mtoto. So mnaanza kuibiana.
Asilimia kubwa ya wanawake ambao huja kikazi mara moja moja Dodoma hasa kipindi cha bunge wanaliwa sana na watu walioko huku na wale ambao walisoma nao Chuo au kufanya nao kazi zamani. Kirahisi sana.
Asilimia kubwa ya wanawake huendelea ku jamiiana na wanaume ambao walikuwa wa mwisho mwisho kabla ya kuolewa au ambao ilikuwa waoane nao. Kwa asilimia hii kubwa pia imenitokea kwa wanawake kama wa 4 hivi. Ambao miaka hiyo tulidanganyana hivyo. So now tunakumbushiana tu na kuendelea na mchezo mchafu.
Sisi wanaume ambao kwa sasa tumemaliza kusomesha au mahangaiko mengine ya duniani. Tuna nafasi kubwa sana ya kula wanawake wengine maana hatuna tena pesa za mawazo. Tumemaliza kila kitu muhimu. Na wanawake wanajua hayo. Wanatuganda sana.
Asilimia kubwa ya wanawake wanaokopa kwa wanaume huwa hawarudishi pesa waliyokopa. Wanarudisha in kind. Wanakupa penzi. Nimefanyiwa hivi na wadada 3 ambao walikuja kukopa kwangu.... Baadaye tukawa wapenzi. Now hawakopi wanaomba tu nawapa. Na wawili ni wake wa watu.
Asilimia kubwa ya marafiki wa kike na kiume huwa wanakuja kulana. Hii nimefanya kwa watu 5 tofauti tofauti tumekulana katika mazingira ambayo hatukutegemea ila tukijificha kwenye pombe kuwa ndo sababu. Kisha tukaendelea na huo mchezo na wa3 wawili hatukurudiana tena.
Sasa hayo yanatokea kwa mimi ambaye si mtu sana wa mademu. Nawaza kwa mtu wa mademu inakuaje? Ukiwaza sana unaweza usioe kabisa. Ukaona bora uwe tu unaponea kwa wanawake ambao hujajimilikisha.
🤗🤗
- Another one man down ❌️
- Another man down ✅️
- One man down ✅️
- A man down ✅️
- Man down ✅️
Hiki kiingereza cha wapi. Another one man donw? Ungetumia tu kiswahili sister.Teacher : Summarise this gazette into one sentence
ME : : ANOTHER ONE MAN DOWN
Hapana. Kwa jinsi ambavyo nimekaa na watu mimi si mzinzi. Wazinzi hata humu wapoSo wewe ni mzinzi?
Huu ujuaji wa mambo ndo unawacost wengi sana ikiwemo na wewe mambo ya yesu na kusurubiwa sijui hapa yameingiaje tena, ulisalitiwa kwa ujuaji kama huu au unataka kutuaminisha kwamba ulkua msafi sana ila ulisalitiwa kimakosa/ulionewa eti.. So na wewe unaona mwanetu anachokifanya ni sahihi? Amini kwamba kila baya na zuri ulifanyalo lina malipo yake tena yana anza hapa uraiani tu...Acha kuogoopesha watu na karma sijui karama,hili kitu haipo labda kwa mpuuzi tu ndo ataamini,mimi nilisalitiwa au nilikataliwa na mpenzi wangu ilihali mimi maishani kwangu sikuwahi kufanya jambo hilo,je hayo ni karma!? Yesu alisurubiwa msalabani je nayo waswma alikuwa analipa gharama za karma!?,kuna matajiri huvamiwa na kuuliwa na majambazi nao ni karma!?
Watu wanapaswa kujifunza hili. But naona sanakomaa tu na petty issues.MaOfisini nimeshuhudia mwenyewe kwa macho yangu wake za watu wakiliwa,na bado ikitokea safari (fieldwork) wanaliwa sana.
Mwanamke wa kiafrika ni wako ukiwa naye kitandani.
Huenda atajaaliwa kuishi mpaka miaka 70+ mkuu anaejua zaidi ni aliyemuumba...Mkuu huyo mtoa mada amedeclare kuwa ana Miaka 50.
Basi jitahidi na wewe uiheshimishe.kama post ndo hizi kila siku, jammiiforum lazima idharaulike tu!!! hakuna namna.
Nimeshangaa tu jamaa wanatokwa mapovu na kusahau ujumbe wa muhimu katika thread.Hajajisia ameonyesha uhalisia wa mambo.mbona huo ujumbe wake hauna maudhui ya kujisifia au una lako jambo.
Acha kunitisha na karma sijui karama,nijibu yesu aliposurubiwa msalabani alikuwa analipa karma/karama ipiHuu ujuaji wa mambo ndo unawacost wengi sana ikiwemo na wewe mambo ya yesu na kusurubiwa sijui hapa yameingiaje tena, ulisalitiwa kwa ujuaji kama huu au unataka kutuaminisha kwamba ulkua msafi sana ila ulisalitiwa kimakosa/ulionewa eti.. So na wewe unaona mwanetu anachokifanya ni sahihi? Amini kwamba kila baya na zuri ulifanyalo lina malipo yake tena yana anza hapa uraiani tu...
Mkuu wewe andika neno lililo sahihi upite na mwingine ajifunze, nimeisha liona sema tu bichwa langu lina kiburi.Hiki kiingereza cha wapi. Another one man donw? Ungetumia tu kiswahili sister.
Mbona unatokwa sana na povu kijana? Una stress za maisha? Makasiriko? Just calm down ni kuendelea kupambana tu ukinikasirikia mimi haikusaidiiNi mtu mzima hovyo huyo
Kwa maelezo yake tayari ni malaya wa kiume
Umemjibu vizuri sana. Sijui kama atakuja tena na habari za Karma.Acha kuogoopesha watu na karma sijui karama,hili kitu haipo labda kwa mpuuzi tu ndo ataamini,mimi nilisalitiwa au nilikataliwa na mpenzi wangu ilihali mimi maishani kwangu sikuwahi kufanya jambo hilo,je hayo ni karma!? Yesu alisurubiwa msalabani je nayo waswma alikuwa analipa gharama za karma!?,kuna matajiri huvamiwa na kuuliwa na majambazi nao ni karma!?
Another man down.Mkuu wewe andika neno lililo sahihi upite na mwingine ajifunze, nimeisha liona sema tu bichwa langu lina kiburi.
Kuna watu wameibiwa hawakuwahi kuiba je nayo ni Karma?Siku sio nyingi karma itakurudia mkuu tubu haraka sana
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app