Nimegundua hili kuhusu wake za watu. Inaweza kukatisha tamaa kuoa

Nimegundua hili kuhusu wake za watu. Inaweza kukatisha tamaa kuoa

Ni sifa? Wako wanawake wachache wanaojiheshimu, wenye hofu ya Mungu, wanaojitunza kwa ajili ya utukufu wake. Hizi fallacy generalizations tunazikuza sana. Mungu ndie yote katika yote, kama kuna mwanamke ama mwanaume anahangaika wakati ana familia, it will eventually payback. Tunaiabudu zinaa..very sad.
Hao ndo Hatari zaidi wanaliwa haswa.
 
It is a "Man Nature"...

Na kama unayo nafasi wewe chakata tuu, haipunguzi kitu maishani mwako..

Cha msingi tafuta your fu¢kmate ambaye hana attachment na mtu mwingine muendelee kuenjoy, achana na wake za watu watakuletea shida tuu..

Mwanaume hajaumbiwa mwanamke mmoja, thats nature pingana nayo lakini itabaki kuwa hivyo tuu. Mababu zetu hawakuwa wajinga kuoa mitala, hata wanaume wengi waliotajwa kwenye vitabu vitakatifu (vyote) wengi walikuwa na wanawake zaidi ya mmoja.

Achana na hawa the so called wafia dini uchwara, wanajifanya wanaijua biblia, mengine wanayafuata ila ukiwaambia kwa nini mnakataza wanaume kuwa na wake wengi wanaishia kudangidangi tuu bila clear answer.
 
Nikadhani Mimi nina zali,kumbe sio,this is weird.
Iko hivi mwaka huu ni mekuwa na safari kama nne hivi za kwenda kaskazini (to and fro) Kwa mishe flani,na Kila Safari ilikuwa nikifika Dom lazima apande manzi na lazima nimkule,mbili nimezilia Mwanjerwa,mbili Chuga town,Free of charge,nililipia tu lodge,true story
 
Nikadhani Mimi nina zali,kumbe sio,this is weird.
Iko hivi mwaka huu ni mekuwa na safari kama nne hivi za kwenda kaskazini (to and fro) Kwa mishe flani,na Kila Safari ilikuwa nikifika Dom lazima apande manzi na lazima nimkule,mbili nimezilia Mwanjerwa,mbili Chuga town,Free of charge,nililipia tu lodge,true story
Watu wanabisha vitu hawavijui kabisa.
 
Kwa uzoefu wangu mdogo tu katika mahusiano kwa umri wangu mdogo wa miaka 50+ kuna mambo ambayo nimeyagundua ambayo huwa yananifikirisha sana.

Shughuli zangu za kikazi hunifanya nisafiri kuhama hama kila wakati. Ingawa familia ilisha settle Dar. Mimi huwa nasafiri sana ndani na nje ya nchi. Mara nyingi nakuwa Dodoma pia sababu shughuli za kikazi Serikali zimehamia huko.

Kama una mke wako yupo Dodoma wewe upo Dar. Kwa asilimia 90 hesabu maumivu. Usimchunge. Ujue tu analiwa. La msingi ajiheshimu. Hali ya huku ni mbaya wanawake wengi wana upweke, wanataka sana company. So inatokea ukisalimiana naye mara mbili tatu ukamtoa out. Basi... Anakuganda. Na anakuambia mapema tu ana mume na watoto au mtoto. So mnaanza kuibiana.

Asilimia kubwa ya wanawake ambao huja kikazi mara moja moja Dodoma hasa kipindi cha bunge wanaliwa sana na watu walioko huku na wale ambao walisoma nao Chuo au kufanya nao kazi zamani. Kirahisi sana.

Asilimia kubwa ya wanawake huendelea ku jamiiana na wanaume ambao walikuwa wa mwisho mwisho kabla ya kuolewa au ambao ilikuwa waoane nao. Kwa asilimia hii kubwa pia imenitokea kwa wanawake kama wa 4 hivi. Ambao miaka hiyo tulidanganyana hivyo. So now tunakumbushiana tu na kuendelea na mchezo mchafu.

Sisi wanaume ambao kwa sasa tumemaliza kusomesha au mahangaiko mengine ya duniani. Tuna nafasi kubwa sana ya kula wanawake wengine maana hatuna tena pesa za mawazo. Tumemaliza kila kitu muhimu. Na wanawake wanajua hayo. Wanatuganda sana.

Asilimia kubwa ya wanawake wanaokopa kwa wanaume huwa hawarudishi pesa waliyokopa. Wanarudisha in kind. Wanakupa penzi. Nimefanyiwa hivi na wadada 3 ambao walikuja kukopa kwangu.... Baadaye tukawa wapenzi. Now hawakopi wanaomba tu nawapa. Na wawili ni wake wa watu.

Asilimia kubwa ya marafiki wa kike na kiume huwa wanakuja kulana. Hii nimefanya kwa watu 5 tofauti tofauti tumekulana katika mazingira ambayo hatukutegemea ila tukijificha kwenye pombe kuwa ndo sababu. Kisha tukaendelea na huo mchezo na wa3 wawili hatukurudiana tena.

Sasa hayo yanatokea kwa mimi ambaye si mtu sana wa mademu. Nawaza kwa mtu wa mademu inakuaje? Ukiwaza sana unaweza usioe kabisa. Ukaona bora uwe tu unaponea kwa wanawake ambao hujajimilikisha.
Yani nimejikuta napata hasira sana. Hivi miaka 50 ni nini ukijui kwa wanawake, kwann mnahalalisha uzinzi uwe ni kawaida tu?? Baba mzima kabsa bado unang'ang'ania na kuipenda ngono.. kizazi cha hovyo sana hiki... laiti ungekuwa baba angu na ningeyajua haya ungechezea sana fimbo yani fimbo haswa...
 
Hongera Mkuu kuingia kwenye Msululu (Chain) ya kushare Magonjwa, maana katika watu ambao wanatumia dozi asilimia zaidi ya 43.6 ni walio kwenye ndoa.
=======
Hata hivyo, Mwanamke akiamua lake hata kama upo naye beneath unamlinda 24/7 kama kuliwa ataliwa tu.

Muhimu kama ulivyosema ajiheshimu, kwanza ikiwa zamu yako ya kukupea kama Mumewe lazima ataiosha ndiyo akupe🤪
 
Kwa uzoefu wangu mdogo tu katika mahusiano kwa umri wangu mdogo wa miaka 50+ kuna mambo ambayo nimeyagundua ambayo huwa yananifikirisha sana.

Shughuli zangu za kikazi hunifanya nisafiri kuhama hama kila wakati. Ingawa familia ilisha settle Dar. Mimi huwa nasafiri sana ndani na nje ya nchi. Mara nyingi nakuwa Dodoma pia sababu shughuli za kikazi Serikali zimehamia huko.

Kama una mke wako yupo Dodoma wewe upo Dar. Kwa asilimia 90 hesabu maumivu. Usimchunge. Ujue tu analiwa. La msingi ajiheshimu. Hali ya huku ni mbaya wanawake wengi wana upweke, wanataka sana company. So inatokea ukisalimiana naye mara mbili tatu ukamtoa out. Basi... Anakuganda. Na anakuambia mapema tu ana mume na watoto au mtoto. So mnaanza kuibiana.

Asilimia kubwa ya wanawake ambao huja kikazi mara moja moja Dodoma hasa kipindi cha bunge wanaliwa sana na watu walioko huku na wale ambao walisoma nao Chuo au kufanya nao kazi zamani. Kirahisi sana.

Asilimia kubwa ya wanawake huendelea ku jamiiana na wanaume ambao walikuwa wa mwisho mwisho kabla ya kuolewa au ambao ilikuwa waoane nao. Kwa asilimia hii kubwa pia imenitokea kwa wanawake kama wa 4 hivi. Ambao miaka hiyo tulidanganyana hivyo. So now tunakumbushiana tu na kuendelea na mchezo mchafu.

Sisi wanaume ambao kwa sasa tumemaliza kusomesha au mahangaiko mengine ya duniani. Tuna nafasi kubwa sana ya kula wanawake wengine maana hatuna tena pesa za mawazo. Tumemaliza kila kitu muhimu. Na wanawake wanajua hayo. Wanatuganda sana.

Asilimia kubwa ya wanawake wanaokopa kwa wanaume huwa hawarudishi pesa waliyokopa. Wanarudisha in kind. Wanakupa penzi. Nimefanyiwa hivi na wadada 3 ambao walikuja kukopa kwangu.... Baadaye tukawa wapenzi. Now hawakopi wanaomba tu nawapa. Na wawili ni wake wa watu.

Asilimia kubwa ya marafiki wa kike na kiume huwa wanakuja kulana. Hii nimefanya kwa watu 5 tofauti tofauti tumekulana katika mazingira ambayo hatukutegemea ila tukijificha kwenye pombe kuwa ndo sababu. Kisha tukaendelea na huo mchezo na wa3 wawili hatukurudiana tena.

Sasa hayo yanatokea kwa mimi ambaye si mtu sana wa mademu. Nawaza kwa mtu wa mademu inakuaje? Ukiwaza sana unaweza usioe kabisa. Ukaona bora uwe tu unaponea kwa wanawake ambao hujajimilikisha.
kila kitu umesema kweli wake zetu wanaliwa sana na mimi ukweli nawala mno wake za watu,hapa nilipo nakula mke wa mtu mmoja hivi
 
Kwa uzoefu wangu mdogo tu katika mahusiano kwa umri wangu mdogo wa miaka 50+ kuna mambo ambayo nimeyagundua ambayo huwa yananifikirisha sana.

Shughuli zangu za kikazi hunifanya nisafiri kuhama hama kila wakati. Ingawa familia ilisha settle Dar. Mimi huwa nasafiri sana ndani na nje ya nchi. Mara nyingi nakuwa Dodoma pia sababu shughuli za kikazi Serikali zimehamia huko.

Kama una mke wako yupo Dodoma wewe upo Dar. Kwa asilimia 90 hesabu maumivu. Usimchunge. Ujue tu analiwa. La msingi ajiheshimu. Hali ya huku ni mbaya wanawake wengi wana upweke, wanataka sana company. So inatokea ukisalimiana naye mara mbili tatu ukamtoa out. Basi... Anakuganda. Na anakuambia mapema tu ana mume na watoto au mtoto. So mnaanza kuibiana.

Asilimia kubwa ya wanawake ambao huja kikazi mara moja moja Dodoma hasa kipindi cha bunge wanaliwa sana na watu walioko huku na wale ambao walisoma nao Chuo au kufanya nao kazi zamani. Kirahisi sana.

Asilimia kubwa ya wanawake huendelea ku jamiiana na wanaume ambao walikuwa wa mwisho mwisho kabla ya kuolewa au ambao ilikuwa waoane nao. Kwa asilimia hii kubwa pia imenitokea kwa wanawake kama wa 4 hivi. Ambao miaka hiyo tulidanganyana hivyo. So now tunakumbushiana tu na kuendelea na mchezo mchafu.

Sisi wanaume ambao kwa sasa tumemaliza kusomesha au mahangaiko mengine ya duniani. Tuna nafasi kubwa sana ya kula wanawake wengine maana hatuna tena pesa za mawazo. Tumemaliza kila kitu muhimu. Na wanawake wanajua hayo. Wanatuganda sana.

Asilimia kubwa ya wanawake wanaokopa kwa wanaume huwa hawarudishi pesa waliyokopa. Wanarudisha in kind. Wanakupa penzi. Nimefanyiwa hivi na wadada 3 ambao walikuja kukopa kwangu.... Baadaye tukawa wapenzi. Now hawakopi wanaomba tu nawapa. Na wawili ni wake wa watu.

Asilimia kubwa ya marafiki wa kike na kiume huwa wanakuja kulana. Hii nimefanya kwa watu 5 tofauti tofauti tumekulana katika mazingira ambayo hatukutegemea ila tukijificha kwenye pombe kuwa ndo sababu. Kisha tukaendelea na huo mchezo na wa3 wawili hatukurudiana tena.

Sasa hayo yanatokea kwa mimi ambaye si mtu sana wa mademu. Nawaza kwa mtu wa mademu inakuaje? Ukiwaza sana unaweza usioe kabisa. Ukaona bora uwe tu unaponea kwa wanawake ambao hujajimilikisha.
UMEUMIZA WATU HAPA.
 
Kwa uzoefu wangu mdogo tu katika mahusiano kwa umri wangu mdogo wa miaka 50+ kuna mambo ambayo nimeyagundua ambayo huwa yananifikirisha sana.

Shughuli zangu za kikazi hunifanya nisafiri kuhama hama kila wakati. Ingawa familia ilisha settle Dar. Mimi huwa nasafiri sana ndani na nje ya nchi. Mara nyingi nakuwa Dodoma pia sababu shughuli za kikazi Serikali zimehamia huko.

Kama una mke wako yupo Dodoma wewe upo Dar. Kwa asilimia 90 hesabu maumivu. Usimchunge. Ujue tu analiwa. La msingi ajiheshimu. Hali ya huku ni mbaya wanawake wengi wana upweke, wanataka sana company. So inatokea ukisalimiana naye mara mbili tatu ukamtoa out. Basi... Anakuganda. Na anakuambia mapema tu ana mume na watoto au mtoto. So mnaanza kuibiana.

Asilimia kubwa ya wanawake ambao huja kikazi mara moja moja Dodoma hasa kipindi cha bunge wanaliwa sana na watu walioko huku na wale ambao walisoma nao Chuo au kufanya nao kazi zamani. Kirahisi sana.

Asilimia kubwa ya wanawake huendelea ku jamiiana na wanaume ambao walikuwa wa mwisho mwisho kabla ya kuolewa au ambao ilikuwa waoane nao. Kwa asilimia hii kubwa pia imenitokea kwa wanawake kama wa 4 hivi. Ambao miaka hiyo tulidanganyana hivyo. So now tunakumbushiana tu na kuendelea na mchezo mchafu.

Sisi wanaume ambao kwa sasa tumemaliza kusomesha au mahangaiko mengine ya duniani. Tuna nafasi kubwa sana ya kula wanawake wengine maana hatuna tena pesa za mawazo. Tumemaliza kila kitu muhimu. Na wanawake wanajua hayo. Wanatuganda sana.

Asilimia kubwa ya wanawake wanaokopa kwa wanaume huwa hawarudishi pesa waliyokopa. Wanarudisha in kind. Wanakupa penzi. Nimefanyiwa hivi na wadada 3 ambao walikuja kukopa kwangu.... Baadaye tukawa wapenzi. Now hawakopi wanaomba tu nawapa. Na wawili ni wake wa watu.

Asilimia kubwa ya marafiki wa kike na kiume huwa wanakuja kulana. Hii nimefanya kwa watu 5 tofauti tofauti tumekulana katika mazingira ambayo hatukutegemea ila tukijificha kwenye pombe kuwa ndo sababu. Kisha tukaendelea na huo mchezo na wa3 wawili hatukurudiana tena.

Sasa hayo yanatokea kwa mimi ambaye si mtu sana wa mademu. Nawaza kwa mtu wa mademu inakuaje? Ukiwaza sana unaweza usioe kabisa. Ukaona bora uwe tu unaponea kwa wanawake ambao hujajimilikisha.
Ni kawaida hakuna jipya, acha aliwe, kwani wewe umewala wangapi ukifuatilia haya mambo utapoteza muda na stress juu.
 
Ni katika kufanya utafiti huu kama inawezekana nikakuta inawezekana kabisa.
Ukweli ni kwamba wanawake wamejanjaruka na kuamua kufanya kama wanaume wanavyofanya i.e. kuchepuka. Hapo zamani wanaume ndiyo walikuwa wana ''ruksa'' ya kuchepuka na wanawake walikuwa wameaminishwa kuwa wao hawatakiwi kufanya hivyo. Utandawazi umefanya wao kuiga wanaume wao wanavyofanya.
 
Kwa uzoefu wangu mdogo tu katika mahusiano kwa umri wangu mdogo wa miaka 50+ kuna mambo ambayo nimeyagundua ambayo huwa yananifikirisha sana.

Shughuli zangu za kikazi hunifanya nisafiri kuhama hama kila wakati. Ingawa familia ilisha settle Dar. Mimi huwa nasafiri sana ndani na nje ya nchi. Mara nyingi nakuwa Dodoma pia sababu shughuli za kikazi Serikali zimehamia huko.

Kama una mke wako yupo Dodoma wewe upo Dar. Kwa asilimia 90 hesabu maumivu. Usimchunge. Ujue tu analiwa. La msingi ajiheshimu. Hali ya huku ni mbaya wanawake wengi wana upweke, wanataka sana company. So inatokea ukisalimiana naye mara mbili tatu ukamtoa out. Basi... Anakuganda. Na anakuambia mapema tu ana mume na watoto au mtoto. So mnaanza kuibiana.

Asilimia kubwa ya wanawake ambao huja kikazi mara moja moja Dodoma hasa kipindi cha bunge wanaliwa sana na watu walioko huku na wale ambao walisoma nao Chuo au kufanya nao kazi zamani. Kirahisi sana.

Asilimia kubwa ya wanawake huendelea ku jamiiana na wanaume ambao walikuwa wa mwisho mwisho kabla ya kuolewa au ambao ilikuwa waoane nao. Kwa asilimia hii kubwa pia imenitokea kwa wanawake kama wa 4 hivi. Ambao miaka hiyo tulidanganyana hivyo. So now tunakumbushiana tu na kuendelea na mchezo mchafu.

Sisi wanaume ambao kwa sasa tumemaliza kusomesha au mahangaiko mengine ya duniani. Tuna nafasi kubwa sana ya kula wanawake wengine maana hatuna tena pesa za mawazo. Tumemaliza kila kitu muhimu. Na wanawake wanajua hayo. Wanatuganda sana.

Asilimia kubwa ya wanawake wanaokopa kwa wanaume huwa hawarudishi pesa waliyokopa. Wanarudisha in kind. Wanakupa penzi. Nimefanyiwa hivi na wadada 3 ambao walikuja kukopa kwangu.... Baadaye tukawa wapenzi. Now hawakopi wanaomba tu nawapa. Na wawili ni wake wa watu.

Asilimia kubwa ya marafiki wa kike na kiume huwa wanakuja kulana. Hii nimefanya kwa watu 5 tofauti tofauti tumekulana katika mazingira ambayo hatukutegemea ila tukijificha kwenye pombe kuwa ndo sababu. Kisha tukaendelea na huo mchezo na wa3 wawili hatukurudiana tena.

Sasa hayo yanatokea kwa mimi ambaye si mtu sana wa mademu. Nawaza kwa mtu wa mademu inakuaje? Ukiwaza sana unaweza usioe kabisa. Ukaona bora uwe tu unaponea kwa wanawake ambao hujajimilikisha.
Fanya mambo yako acha tabia ya kuchunguza wake za watu.
 
Back
Top Bottom